Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Tuko, sitanii ukweli im inlove na wamasai naturally......ukimpata anaetafuta jiko but alieenda shule ata least diploma muelekeze kwangu nimsome then nifanye kweli....

Hahahahahahah! Mbona hujazungumzia fleva ya kifagio? Naona unazunguka zunguka tuu, wapi bhana ndoa si chakula wala mavazi, ndoa ni tendo!!!
 
queeny watu wana hasira hawataki wenzao wasifiwe kuna mtu hapo nadhani hasira aliyonayo anatamani akikutana na msukuma ampige

mkuu tofautisha hasira na kukataa hoja......jitahidini mnapoweka post humu kupokea yote upinzani na uungwaji mkono tunachobisha baadhi yetu ni uwalakini wa methodology ya dada yangu queeny so tunachotaka ni yeye kutushawishi maana mwenye busala uhoji penye shaka na si kukubali ,mwenzangu huenda ni msukuma so unaintrest na hili au sio msukuma lakini amekushawishi hivyo anishawishi na mama kwa hoja mahususi sio stori
 
yani hasira mpaka unahisi mkono wake unaweza kutokeza kwenye keyboard ghafla ukakukaba...
vijana wenzangu wa kibongo huwa hatuko tayari kabisa kupokea challenge hasira gani kwani kuna ugomvi, kwa mentality hiyo sasa nasoma jambo hapa kuwa kuna watu huwa hawako tayali kukosolewa na kupingwa....si kihivyo ndugu zanga....hebu mwacheni huyo mrembo adadavue......................twende kazi queeny!
 
mkuu tofautisha hasira na kukataa hoja......jitahidini mnapoweka post humu kupokea yote upinzani na uungwaji mkono tunachobisha baadhi yetu ni uwalakini wa methodology ya dada yangu queeny so tunachotaka ni yeye kutushawishi maana mwenye busala uhoji penye shaka na si kukubali ,mwenzangu huenda ni msukuma so unaintrest na hili au sio msukuma lakini amekushawishi hivyo anishawishi na mama kwa hoja mahususi sio stori

sio lazima kuamini nilichosema, elewa huo ni mtazamo wangu. kama una mtazamo tofauti poa.
 
eti wasukuma wanamoyo wa kujali? Wewe mtoa mada umebemendwa.

Unawajua wanyantuzo wewe?endelea kukariri
 
sio lazima kuamini nilichosema, elewa huo ni mtazamo wangu. kama una mtazamo tofauti poa.
Hao ndo watanzania unatoa hoja unashindwa kuitetea ,kazi ipo tanzania watafiti hamna ila tunawanasiasa na wanamahaba ,ila sina chuki nawe kadadaa usinelewe vibaya ukaninyima bure mdogo wako au hata wewe mwenyewe siku yakikushinda kwa watani wangu na shemeji zangu wasukuma.
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

Wala hujakosea upo sawa kabisa,ngosha tunajua kupenda kwa dhati ila kwa wasiotuelewa wanadhani sie ni mabwege!
 
eti wasukuma wanamoyo wa kujali? Wewe mtoa mada umebemendwa.

Unawajua wanyantuzo wewe?endelea kukariri

mkuu huyu dada mi mwenyewe kaniacha hoi mi si msukuma ila nimekulia na bado naishi nao .nawafahamu mwanamke kwa msukuma ni duni sana kama ilivyo kwa wayahudi
 
mkuu huyu dada mi mwenyewe kaniacha hoi mi si msukuma ila nimekulia na bado naishi nao .nawafahamu mwanamke kwa msukuma ni duni sana kama ilivyo kwa wayahudi

mi ndo nshafika hivyo...na huo uduni wa mwanamke bado sijauona.
 
Tunajua kuchapa kazi.
Wavumilivu wa shida lakini hatujali sana
Wapole lakini tuna nguvu ajabu
Sio wachoyo, chakula ni cha wote........Kuna makabila mengine wakila wanajificha
Tuna miili ya kushiba na energy ya kutosha.

Mwanamke gani asiyetaka hizi sifa?

Wawelaghe
 
Back
Top Bottom