do u need to sleep with someone so that u can know his/her behaviour??
Ahh, haya bana, sisi Wanyamwezi wa Kusini (Wadakama) ngoja tujikalie kimya.
Wasukuma mmeshapendwa, kachamkieni deal hizoo.
FirstLady1 dada yangu, anza kukusanya Mawifi kwa kaka zako wa Kisukuma. Wakizidi basi sema wewe Mnyamwezi 🙂
habari zenu...
Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.
wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.
trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.
NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...
Ginehe mami, mhola ahene?
Hamna lolote wanawake wa siku hizi mavyakula ya kizungu yamewafanya msiridhike kingono vitandani so hao shemeji zangu wa kisukuma nimeishi nao karibu miaka 11 mapenzi yao sio yakutegemea nguvu asili za kibanadamu wanamadawa yao ya kuongeza nguvu ,kukuza maungo na mengine mengi so huenda mwenzetu ni hivyo ndo vinavyokufurahisha.....acha kutuongopea hapa kuna wanaume wenye mfumo dume na wababe kwa mwanamke kama hao wa jamii za kifugaji wakiongozwa na wasukuma.....fanya utafiti dada yangu kasererngeti kapya ulikokapata kakisukuma kasikufanye ukapoteza uwezo wako wa kufikiri
Yap hii kwa usukumani ni kama tabia ya asili kwao...kusikia mtu anakwambia fulani ndugu yangu usishangae ukuiliza mna undugu gani akwambie baba yake mdogo alikua mwalimu mkuu wa shule aliyosoma dada....
Na akipata mwanamke wa kinyamwezi ndio itakuwa vizuri zaidi mwanamme anajua kupeenda mnyamwezi kwa mapenzi naye nomahabari zenu...
Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.
wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.
trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.
NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...
whatever. i still like them...
Hamna lolote wanawake wa siku hizi mavyakula ya kizungu yamewafanya msiridhike kingono vitandani so hao shemeji zangu wa kisukuma nimeishi nao karibu miaka 11 mapenzi yao sio yakutegemea nguvu asili za kibanadamu wanamadawa yao ya kuongeza nguvu ,kukuza maungo na mengine mengi so huenda mwenzetu ni hivyo ndo vinavyokufurahisha.....acha kutuongopea hapa kuna wanaume wenye mfumo dume na wababe kwa mwanamke kama hao wa jamii za kifugaji wakiongozwa na wasukuma.....fanya utafiti dada yangu kasererngeti kapya ulikokapata kakisukuma kasikufanye ukapoteza uwezo wako wa kufikiri
wasukuma ni kabila kubwa na moja kati ya mambo ninayowasifu ni wengi na hawana ukabila kivile kama watu fulani ambao nilipta fika ofisi zao wameandikiwa speek kiswahili kwani muda wote wanatwanga masipota na tasipota.....ila swala la msukuma na mwanamke ni kitu ambacho nitakataa mpaka pumzi yangu ya mwisho ...maana usukumani mwanamke ni mnyonge sana nilipata shangaa kijana mmoja wa kisukuma akimwamlisha shemeji yake mtu mzima amletee maji na kumuharss sana na si mara moja kama nilivyosema mimi sio msukuma lakini naishi familia yenye mchanganyiko wasukuma na wafipa na tuko wengi pande zote mbili na wakina dada wa kisukuma wamekuwa wakisifu mahusino ya upande wa pili(fipa) dhidi ya usukuma..... na maswali kibao kwamba mahusiano ya wanaume wa kisukuma na wanawake yanaweka gap kubwa la hofu,ubabe,na unyonge na pia msukuma ni mwiko kuwa na mwanamke mmoja ndugu wa hiyo familia mwenye wake wachache ni 2 au 3 na wanasema bado muda wataongeza......so we queen usilete mauzauza hapa
la mkosaji
Ni kweli sema wana mananii makubwa kama miguu yao.Tolk from experience
hiyo ni experience yako..ya kwangu ni tofauti.
Asante sana mama.habari zenu...
Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.
wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.
trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.
NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...
what do u mean