Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Yap ni kweli wasukumua ni watu wapole sana by nature na hawapendi makuu...Japo tabia yao ya upole hufanya watu wakawaona washamba na ku-take advantage ila ukimpata msukuma halafu ameenda shule dah mbona utapenda....

Tatizo kubwa la wasukuma ni kuishi African Family life sana yaani wanapenda sana kuendekeza udugu hata na watu wa mbali ilimradi wanakaa kijiji kimoja au wanaundugu wa kuunganisha kwa gundi, hapo hupanua wigo wa utegemezi, familia kuwa kubwa sana na mambo kama hayo ila kama ukiwza kuishi na hii challenge ni watu wzuri sana yaani utapenda.....
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua
kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo
hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking
about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

kwa ubwege wanaume wa kisukuma wanongoza wanawake wanawapenda kwa sababu wanatawalika kirahisi halafu wakioona k nirahisi kutelekeza mke.
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

Mimi binafsi ni Msukuma, lakini nina wasiwasi na ulichoandika hapo juu. Jaribu kufanya uchunguzi mkubwa katika hili; wewe umefanya uchunguzi mdogo juu ya hili!
 
Wabheja maayo . . . . . . !! Kaunga alihe????
 
Last edited by a moderator:
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

Labda wasukuma uliowapata wametoka bush.Na nakubali wasukuma kwa wanawake weupe ni mazoba
 
iselemagazi ule nsukuma wa hale??Umanile chagulaga??
 
Last edited by a moderator:
kweli aisee ukiolewa na msukuma,huwezi juta aisee.ila olewa na mhutu wa kirundi anaejiita muha utajuta kuzaliwa.
 
Yap ni kweli wasukumua ni watu wapole sana by nature na hawapendi makuu...Japo tabia yao ya upole hufanya watu wakawaona washamba na ku-take advantage ila ukimpata msukuma halafu ameenda shule dah mbona utapenda....

Tatizo kubwa la wasukuma ni kuishi African Family life sana yaani wanapenda sana kuendekeza udugu hata na watu wa mbali ilimradi wanakaa kijiji kimoja au wanaundugu wa kuunganisha kwa gundi, hapo hupanua wigo wa utegemezi, familia kuwa kubwa sana na mambo kama hayo ila kama ukiwza kuishi na hii challenge ni watu wzuri sana yaani utapenda.....


kwa undugu hata wa kuvuta na kamba umelenga...
 
Mimi binafsi ni Msukuma, lakini nina wasiwasi na ulichoandika hapo juu. Jaribu kufanya uchunguzi mkubwa katika hili; wewe umefanya uchunguzi mdogo juu ya hili!

huo ni mtazamo wangu, sio mtazamo wa watu wote...its ok if u have a different encounter with these pple.
 
hi queeny! ...how about circumcision? Not among your factors? I understand men from that 'area' are predominantly not circumcise!
 
hi queeny! ...how about circumcision? Not among your factors? I understand men from that 'area' are predominantly not circumcise!


honestly...its not a factor. nature is beautiful.
 
kwa undugu hata wa kuvuta na kamba umelenga...
Ha ha ha ni kweli..Ni tabia ya wasukuma sana hii..atkutajia fulani ni dada yangu nkwenda kumsalimia mjini ukidadisi unakuta hawana udugu ispokua wanatokea kitongoji kimoja au kaka zao walisoma shule moja ...ila hii life kwao ni normal sana japo wanapokuja kuchangamana na makabila mengine lazima tafrani itokeee
 
Back
Top Bottom