Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

kisukari said:
mimi napenda accent zao.yale maneno
wakiyakandamiza dah hufurahi kwa kweli.ila
nasikia mwanamke akiwa mweupe mahari
huwa nyingi kuliko ukiwa mweusi.sijui kuna
ukweli wa hili?

Sangaraaa ni shilingi 5000/=, Mzee Lubigisa alinitumiaga mapesaaa. Isingekua Eateli mane....hiiiii ingekatwaaaa!
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

siwezi kukuamini wakati uchunguzi wenyewe umefanya kidogo tu kwa maana ya kuwa na mwanaume mmoja au wawili nenda kafanye uchunguzi wa kina ndio uje na majibu ya uhakika hapa
 
Can I ask something Queeny? What was/is your sample size please to reach this pretty grand generalization? Two things can be learnt, one if your proposition is true that you had a good sample WEWE NI KICHECHE! if you only tested one, that is fallacy...
 
Yap ni kweli wasukumua ni watu wapole sana by nature na hawapendi makuu...Japo tabia yao ya upole hufanya watu wakawaona washamba na ku-take advantage ila ukimpata msukuma halafu ameenda shule dah mbona utapenda....

Tatizo kubwa la wasukuma ni kuishi African Family life sana yaani wanapenda sana kuendekeza udugu hata na watu wa mbali ilimradi wanakaa kijiji kimoja au wanaundugu wa kuunganisha kwa gundi, hapo hupanua wigo wa utegemezi, familia kuwa kubwa sana na mambo kama hayo ila kama ukiwza kuishi na hii challenge ni watu wzuri sana yaani utapenda.....
Umenena vyema rafiki tatzo ni kuendekeza ndugu hata wa mbali af ndugu wengne maneno
 
Umenena vyema rafiki tatzo ni kuendekeza ndugu hata wa mbali af ndugu wengne maneno
Yap hii kwa usukumani ni kama tabia ya asili kwao...kusikia mtu anakwambia fulani ndugu yangu usishangae ukuiliza mna undugu gani akwambie baba yake mdogo alikua mwalimu mkuu wa shule aliyosoma dada....
 
Can I ask something Queeny? What was/is your sample size please to reach this pretty grand generalization? Two things can be learnt, one if your proposition is true that you had a good sample WEWE NI KICHECHE! if you only tested one, that is fallacy...

do u need to sleep with someone so that u can know his/her behaviour??
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...
uchunguzi mdogo lakini conclusion kubwa kama vile umefanya major research
 
siwezi kukuamini wakati uchunguzi wenyewe umefanya kidogo tu kwa maana ya kuwa na mwanaume mmoja au wawili nenda kafanye uchunguzi wa kina ndio uje na majibu ya uhakika hapa

come up with your own research so that u can challenge mine.
 
wa geita sijui mwanza mi sielewi, namaanisha wa town, wa vijijini nawajulia wapi?

If you do not know the other side of the coin kwanini uliwageneralize? Ulitakiwa useme wanaume wa kisukuma wa mjini wanajua kupenda, kucare etc. Come and test maasai (morans), you will enjoy indefinite care beyond your imagination. Hadi rasta watakusuka bure.
 
If you do not know the other side of the coin kwanini uliwageneralize? Ulitakiwa useme wanaume wa kisukuma wa mjini wanajua kupenda, kucare etc. Come and test maasai (morans), you will enjoy indefinite care beyond your imagination. Hadi rasta watakusuka bure.


kwani kuhusu wamasai nimepinga? mimi nimesema nawapenda wasukuma...period.
 
Wanawake wa kileo hampendi majukumu, na sasa mnataka kila kitu mfanyiwe hayo ndiyo mnaita eti macare ndio maana ndoa hazidumu kabbisa..chukua jukumu lako kama mwanamke sio uige maisha ya watu eti wasukuma wanacare,,,hao ndio unakuta wanaruhusu mwanamke kwenda disco anarudi saa 5 au saa 6 usiku eti linasema aah mimi namwamini thubutuuu!!! na ukisikia mwanaume anaitwa muelewa ujue hilo zuzu...
 
una mapungufu makubwa wewe...........acha jazba, umeweka topic ijadiliwe, ndio mjadala unaenda hivyo, wewe vipi au ulitaka upongezwe tu kwa generalization zako zenye matege?[
then dont criticize mine with empty words..a research is criticized by a new one.
 
Wanawake wa kileo hampendi majukumu, na sasa mnataka kila kitu mfanyiwe hayo ndiyo mnaita eti macare ndio maana ndoa hazidumu kabbisa..chukua jukumu lako kama mwanamke sio uige maisha ya watu eti wasukuma wanacare,,,hao ndio unakuta wanaruhusu mwanamke kwenda disco anarudi saa 5 au saa 6 usiku eti linasema aah mimi namwamini thubutuuu!!! na ukisikia mwanaume anaitwa muelewa ujue hilo zuzu...

care muhimu...kama mwanaume anakunyanyasa, hakujali. awe msukuma au kabila gani, huyo hafai.

tatizo watu wana-take advantage ya upole wa mtu kufanya maovu.. hiyo si nzuri.
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

Yeah my twiny queen...u r cmpltly ryt, i too hv a sukuma guy! hawana matatzo kabxa
 
Back
Top Bottom