Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Mi ntataka game 1 tu... nasepa zangu...
 
mimi napenda accent zao.yale maneno wakiyakandamiza dah hufurahi kwa kweli.ila nasikia mwanamke akiwa mweupe mahari huwa nyingi kuliko ukiwa mweusi.sijui kuna ukweli wa hili?

Alaaaaaa, kumbe eeeh! Haya.....
 
Pia na mabwege halafu ni mashamba na ni mahongaji makubwa tu.Haina haja hata ya limbwata utayaendesha utakavyo.Si ndio raha yenu nyie mabinti.Pambav..


wanadamu hatuna shukrani, yani mwanaume akikupenda kwa dhati na kukujali ndo -----? God forbid.
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

Je kwenye hiyo research yako uliyofanya hujagundua kuwa wanaume wengi Wa kisukuma wana mbo.o kubwa?
 
Sasa hapa tuamini haya uliyoandika hapa au yale uliyoandika kule juu kwenye thread mama....
Kama sio Wasukuma wote, je ni asilimia ngapi iliyokufanya ufikie conclusion?

asilimia kubwa ya niliokutana nao na naowaona kama marafiki, ndugu na jamaa.
 
Pia na mabwege halafu ni mashamba na ni mahongaji makubwa tu.Haina haja hata ya limbwata utayaendesha utakavyo.Si ndio raha yenu nyie mabinti.Pambav..

Hii ndiyo tofauti ya Wasukuma, huwezi wasikia wakitumia maneno kama haya ambayo yanapatikana kwenye kitabu cha misamiati ya matusi.
 
Je kwenye hiyo research yako uliyofanya hujagundua kuwa wanaume wengi Wa kisukuma wana mbo.o kubwa?

sijagundua hilo coz sikuwa na...... nao randomly. nimefanikiwa kuwa na mmoja. kugundua watu wana ...... kubwa ama la inabidi utembee na wasukuma wengi zaidi.
 
habari zenu...

Anyway, sisemi ni wote lakini wanaume wa kisukuma walio wengi wanajua kupenda, wanacare, wataratibu, wastaarabu, wana heshima, etc.

wadada nawashauri jaribu msukuma kama huko kwingine unaona mambo hayaendi.

trust me nimefanya uchunguzi mdogo juu ya hili. i know what am talking about.

NB; sijasema makabila mengine hawajui kupenda...

wazee wa kudoondookea hao!
 
kaka zangu wanastahili hizi sifa aisee,wengi ya walioolewa na wasukuma hawaregreat
 
Yap ni kweli wasukumua ni watu wapole sana by nature na hawapendi makuu...Japo tabia yao ya upole hufanya watu wakawaona washamba na ku-take advantage ila ukimpata msukuma halafu ameenda shule dah mbona utapenda....

Tatizo kubwa la wasukuma ni kuishi African Family life sana yaani wanapenda sana kuendekeza udugu hata na watu wa mbali ilimradi wanakaa kijiji kimoja au wanaundugu wa kuunganisha kwa gundi, hapo hupanua wigo wa utegemezi, familia kuwa kubwa sana na mambo kama hayo ila kama ukiwza kuishi na hii challenge ni watu wzuri sana yaani utapenda.....

hata kwenye six kwa six ni wazima sana
 
Back
Top Bottom