Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Nawapenda Wanaume Wa Kisukuma

Tena mwanamke akiwa mweupe ndo basi kabisa msukuma anachanganyikiwa....!!!
 
sijasema wasukuma wote wanajua kupenda na wala sijasema makabila mengine hawajui kupenda

Sasa hapa tuamini haya uliyoandika hapa au yale uliyoandika kule juu kwenye thread mama....
Kama sio Wasukuma wote, je ni asilimia ngapi iliyokufanya ufikie conclusion?
 
Ni kweli sema wana mananii makubwa kama miguu yao.Tolk from experience
 
Hakuna kama sisi warabu we tujaribu tu, we huoni wanawake wakisukuma lazima wazae na warabu ndo wanaona sifa :A S shade:

tena ukute mwarabu wa kisukuma/nyamwezi weee
 
mimisa, watu8 platozoom njooni mjibu tuhuma hii!

Honesty wasukuma wengi ni wastaarabu,

Tunajua kuchapa kazi.
Wavumilivu wa shida lakini hatujali sana
Wapole lakini tuna nguvu ajabu
Sio wachoyo, chakula ni cha wote........Kuna makabila mengine wakila wanajificha
Tuna miili ya kushiba na energy ya kutosha.

Mwanamke gani asiyetaka hizi sifa?
 
Mi mmasai bana... na shule nimeenda enda...
Tuko, sitanii ukweli im inlove na wamasai naturally......ukimpata anaetafuta jiko but alieenda shule ata least diploma muelekeze kwangu nimsome then nifanye kweli....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom