Kama upo competent na upi miji mikubwa anza kufundisha. Hapo hapo ulipo.
TFuta wanafunzi wape huduma ya jioni, watembelee wazazi wao tangaza huduma yako.
Kama wewe ni mkiristo tangaza huduma yako kanisani kama ni muiskamu tangaza huduma yako msikitini.
Fanya utafiti juu ya mwamko wa elimu mtaa i kwenu, majibu yote ni fursa kwako kama hawapendi elimu ni fursa na kama wanapenda ni fursa zaidi.
Anza na watoto hata 10 usichague yaani cheke chea mpaka high school. Wakusanye chumba hutakosa.
Walio mambo safi wafuate uwape huduma nyumbani kwao. Wapo wazazi wanapenda watoto wao wafundishwe tuition nyumbani(wahindi na warabu wakiwemi).
Mwezi ujao form form four wanamaliza, watafute anzisha kituo cha pre form five.
Sajili ki NGO kidogo ambacho kitakuwa na malengo ya kielimu ya kusaidia marginalized pupils kama watoto yatima, wasiojiweza, walemavu, drop out nk kisha access fund kwenye mashirika.
Zingatia uwe tayari unatoa hudima nilizotaja pale juu. Hii miaka ya nyuma ndio ilikuwa dili kwa wanachuo X huko temeke.
Mkuu mambo ni mengi embu tembelea wenzio huko Dar wskupe uzoefu mikoani huwa hamna hizi mambo.
Social protection yako unaweza fanya vuzuri sana ukianzusha NGO ku protect watoto na nazingira yao. Snxusga BFO ya kwenye brifcase japo serilali siku hizi ipo macho haijalala.
Mkuu tumia hio elimu kwa vitendo., kama huba oa kuanzia tafuta mtu anae endesha masuala ya kijamii mtembelee kwake na ak
Fundisha. Ntakupa mbinu za kupata wateja wako.
Social protection unaweza kujiari kama mseminishaji wa watoto, serikdli inafanya seminar nyingi mashuleni hasa hichi kopinfi cha ushoga.
Zimefanywa seminar nyingi sana mwaka jana. Utafute mlango wa wewe kuwa mseminishaji, digrii yako ni trending kabisa cha ajabu hizo seminar zinafanywa na walimu badala ya watu kama wewe