Nawaheshimu walimu

Nawaheshimu walimu

Natamani hata ningeenda police Moshi /kilimanjaro niwe hata traffic lakini ndo hivyo umri umenitupa mkono
Pole sana, I can feel your pain

Kama Mwanaume kuishi bila kazi yoyote ya kukuingizia kipato kwakweli ni changamoto kubwa sana...unakosa hata hela ya kukua boxer au vest

Muhimu sana ni kutokata tamaa na Usimwache Mungu, pia jitahidi kujizuia kuingia katika utumiaji wa dawa za kulevya na pombe

Chunga sana hilo, ukipambana na kumwomba Mungu na kumtumaini maisha yatakuja kuwa mazuri.
 
Mchongo sijapata nawaza kusomea french nijikite kwenye utalii labda nitatoboa
Unaweza kuachana na French ukasomea Chinese/Mongolia kama sijakosea

Kuna Dogo aliishia Form IV akasomea lugha ya kichina na sasa ni Mkalimani wa Mainjinia wa Kichina wanaojenga barabara pamoja na wanaoleta bidhaa Tanzania

Kwakweli kwasasa ana maisha
 
Unaweza kuachana na French ukasomea Chinese/Mongolia kama sijakosea

Kuna Dogo aliishia Form IV akasomea lugha ya kichina na sasa ni Mkalimani wa Mainjinia wa Kichina wanaojenga barabara pamoja na wanaoleta bidhaa Tanzania

Kwakweli kwasasa ana maisha
Course ya Chinese inatolewa wapi
 
Back
Top Bottom