NYOLODO
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 11,763
- 26,748
Mzee watu weusi tuna laana. Laana ya milele... Yani muomba ushauri hapa ajitafute kwelikweli. Mana hata mifumo ya intern hasa kwa ofisi private sio rafiki.Bongo nyoso sana aisee niliona volunteer tasisi ya serikal wanawafukuza Sasa mtu anakaz na salary anayo ila anamuwekea vikwazo intern/volunteer aisee.
Binafsi nashauri awekeze sana kwenye competency. Ajitahidi kusaka uwelewa wa chochote ili kusavaivu na ajiimarishe hapo. Huku kwingine Kuna matatizo ambayo hayavumiliki

