LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Elimu bora ina fanya mambo matatu:
1. It will help you to acquire power.
2. It will help you to maintain power
3. It will help you to protect power.
Kwa bahati mbaya sana mfumo wa elimu yetu ya Tanzania hau guarantee hayo mambo matatu.
As a matter of fact juu ya sayari ya dunia kuna kikundi cha watu wasio pungua elfu 20 ambao ndio wana access na elimu yenye qualities hizo 3 nilizo zitaja hapo juu.
Hawa ndio wanao itawala dunia..
The rest of the world tuna access na elimu ambayo inatusaidia kusurvive.
BACK TO KAYUMBA SCHOOLS CAMPAIGN ( MAKING KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN )
Kwa sisi tulio pata elimu ya Msingi miaka ya tisini. Kaka zetu walio soma elimu ya Msingi miaka ya themanini pamoja na wadogo zetu walio soma elimu ya Msingi mwanzoni mwa miaka ya 2000 wengi wetu tulisoma katika shule zinazo fundisha mtaala wa NECTA kwa lugha ya kiswahili. Shule hizo ndio zilikuja baadae kubatizwa jina na kuitwa Shule za Kayumba.
Shule zenye kufundisha mtaala wa NECTA kwa lugha ya kiingereza zilikuwa chache, Mfano OLYMPIO ( dsm) ARUSHA SCHOOL ( Arusha) na NYAKAHOJA PRIMARY( MWANZA)
Almost watoto wote nchi nzima walisoma kwa lugha ya kiswahili..
KUCHIPUKA KWA SHULE BINAFSI ZA KIINGEREZA ( ENGLISH MEDIUMS)
Kulitokea mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili. Kwa maoni yangu nasema kulichagizwa zaidi na shule za ST.MARYS zilizo kuwa chini ya Mama Rwakatare( R.I.P)
Baada ya shule za St.Marys kufanya vizuri sokoni, Wafanya biashara wengi waliona fursa kwenye biashara ya elimu hivyo waka invest kwenye shule za kiingereza.
Taratibu kuibuka kwa shule za kiingereza kukaanza kutengeneza unyanyapaa dhidi ya shule za kiswahili.
Cha kushangaza zaidi hata wale watu ambao walilelewa kwenye shule hizo zinazo Itwa za Kayumba nao pia wakaingia kwenye mkumbo wa kuzinyanya paa shule za Kayumba.
WE HAVE TO MAKE KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN.
Msomi wa kweli ni yule anae tatua mambo ambayo anayaona ni changamoto kwenye jamii yake na sio kuyakimbia.
Badala ya kuzinyanya Paa shule za Kayumba kwanini tisiziboreshe? Ni kazi ya serikali? Serikali ni mimi na wewe.
Fanya chochote unacho weza kuboresha shule ya Msingi uliyo soma.
Butterfly effect is real. Kitu kidogo kimoja utakacho kifanya kinaweza kuleta impact kubwa kuliko unavyo weza kufikiria..
NILIICHO FANYA HADI SASA KWENYE SHULE NILIYO SOMA.
1. Nimepaka rangi shule nzima ( niliwashawishi alumni wenzangu tukachanga pesa tukapaka rangi shule nzima)
2. Tumepanda miti na maua kwenye shule hiyo.
3. Mwaka jana tuliajiri vijana watatu wahitimu wa kipato cha sita na mmoja mhitimu wa chuo kikuu kuwapiga msasa wanafunzi wa darasa la saba kwenye shule hiyo na matokeo yalikuwa mazuri wanafunzi wote walifaulu kwa wastani mzuri..
4. Tulichangisha michango sisi kama alumni plus kuwashawishi wana mtaa kuchanga pesa kwa ajili ya kujenga matundu mapya ya vyoo na sasa hivi watoto wanajisaidia kwenye vyoo visafi.
Sisi kama alumni wa shule yetu bado tuna mipango mingi sana kwa ajili ya kuboresha shule yetu kimiundombinu na kitaaluma.
Ewe mtanzania mwenzangu popote pale ulipo, fanya unacho weza kufanya kwa ajili ya shule ya kayumba/uliyo soma...Shule hizo ndio urithi wa vizazi vyetu. Hivyo ni jukumu letu kuziboresha .
My vision: Ni kuona shule zote za Msingi NCHINI Tanzania zinazo Itwa shule za Kayumba zinarudi katika hadhi yake ya awali.
1. Ziwe na mazingira mazuri.
2. Ziwe na miundo mbinu bora ya kusomea.
3. Ziwe na maendeleo mazuri kitaaluma.
BACK TO KAYUMBA SCHOOLS CAMPAIGN ( make Kayumba Schools Great AGAIN) ni kampeni ambayo itakuja kuchukiwa sana na wamiliki wa shule za English Medium kwa sababu moja kati ya malengo yake ni pamoja na watoto wanao soma katika shule za Kayumba, mbali na kulelewa kimaadili ya kitanzania lakini pia wanapata uelewa mzuri wa somo la kiingereza ili wanapo fika sekondari wasipate tabu kwenye masomo yao... ( kampeni hii itarejesha hadhi ya shule za Kayumba jambo ambalo wamiliki wa Shule za English Medium hawataki kulisikia)
Kampeni itaanzia hapa hapa Jf itakwenda instagram na am sure as heavens baada ya muda itaenea nchi nzima na hadhi ya shule za Kayumba itarudi tena..
Just keep in touch.
Sijawahi kufeli kwenye mission yoyote ile . Infact I am specialised in doing the things that seems to be impossible to other people.
I LOVE YOU TANZANIA.
God bless
1. It will help you to acquire power.
2. It will help you to maintain power
3. It will help you to protect power.
Kwa bahati mbaya sana mfumo wa elimu yetu ya Tanzania hau guarantee hayo mambo matatu.
As a matter of fact juu ya sayari ya dunia kuna kikundi cha watu wasio pungua elfu 20 ambao ndio wana access na elimu yenye qualities hizo 3 nilizo zitaja hapo juu.
Hawa ndio wanao itawala dunia..
The rest of the world tuna access na elimu ambayo inatusaidia kusurvive.
BACK TO KAYUMBA SCHOOLS CAMPAIGN ( MAKING KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN )
Kwa sisi tulio pata elimu ya Msingi miaka ya tisini. Kaka zetu walio soma elimu ya Msingi miaka ya themanini pamoja na wadogo zetu walio soma elimu ya Msingi mwanzoni mwa miaka ya 2000 wengi wetu tulisoma katika shule zinazo fundisha mtaala wa NECTA kwa lugha ya kiswahili. Shule hizo ndio zilikuja baadae kubatizwa jina na kuitwa Shule za Kayumba.
Shule zenye kufundisha mtaala wa NECTA kwa lugha ya kiingereza zilikuwa chache, Mfano OLYMPIO ( dsm) ARUSHA SCHOOL ( Arusha) na NYAKAHOJA PRIMARY( MWANZA)
Almost watoto wote nchi nzima walisoma kwa lugha ya kiswahili..
KUCHIPUKA KWA SHULE BINAFSI ZA KIINGEREZA ( ENGLISH MEDIUMS)
Kulitokea mwishoni mwa miaka ya tisini na mwanzoni mwa miaka ya elfu mbili. Kwa maoni yangu nasema kulichagizwa zaidi na shule za ST.MARYS zilizo kuwa chini ya Mama Rwakatare( R.I.P)
Baada ya shule za St.Marys kufanya vizuri sokoni, Wafanya biashara wengi waliona fursa kwenye biashara ya elimu hivyo waka invest kwenye shule za kiingereza.
Taratibu kuibuka kwa shule za kiingereza kukaanza kutengeneza unyanyapaa dhidi ya shule za kiswahili.
Cha kushangaza zaidi hata wale watu ambao walilelewa kwenye shule hizo zinazo Itwa za Kayumba nao pia wakaingia kwenye mkumbo wa kuzinyanya paa shule za Kayumba.
WE HAVE TO MAKE KAYUMBA SCHOOLS GREAT AGAIN.
Msomi wa kweli ni yule anae tatua mambo ambayo anayaona ni changamoto kwenye jamii yake na sio kuyakimbia.
Badala ya kuzinyanya Paa shule za Kayumba kwanini tisiziboreshe? Ni kazi ya serikali? Serikali ni mimi na wewe.
Fanya chochote unacho weza kuboresha shule ya Msingi uliyo soma.
Butterfly effect is real. Kitu kidogo kimoja utakacho kifanya kinaweza kuleta impact kubwa kuliko unavyo weza kufikiria..
NILIICHO FANYA HADI SASA KWENYE SHULE NILIYO SOMA.
1. Nimepaka rangi shule nzima ( niliwashawishi alumni wenzangu tukachanga pesa tukapaka rangi shule nzima)
2. Tumepanda miti na maua kwenye shule hiyo.
3. Mwaka jana tuliajiri vijana watatu wahitimu wa kipato cha sita na mmoja mhitimu wa chuo kikuu kuwapiga msasa wanafunzi wa darasa la saba kwenye shule hiyo na matokeo yalikuwa mazuri wanafunzi wote walifaulu kwa wastani mzuri..
4. Tulichangisha michango sisi kama alumni plus kuwashawishi wana mtaa kuchanga pesa kwa ajili ya kujenga matundu mapya ya vyoo na sasa hivi watoto wanajisaidia kwenye vyoo visafi.
Sisi kama alumni wa shule yetu bado tuna mipango mingi sana kwa ajili ya kuboresha shule yetu kimiundombinu na kitaaluma.
Ewe mtanzania mwenzangu popote pale ulipo, fanya unacho weza kufanya kwa ajili ya shule ya kayumba/uliyo soma...Shule hizo ndio urithi wa vizazi vyetu. Hivyo ni jukumu letu kuziboresha .
My vision: Ni kuona shule zote za Msingi NCHINI Tanzania zinazo Itwa shule za Kayumba zinarudi katika hadhi yake ya awali.
1. Ziwe na mazingira mazuri.
2. Ziwe na miundo mbinu bora ya kusomea.
3. Ziwe na maendeleo mazuri kitaaluma.
BACK TO KAYUMBA SCHOOLS CAMPAIGN ( make Kayumba Schools Great AGAIN) ni kampeni ambayo itakuja kuchukiwa sana na wamiliki wa shule za English Medium kwa sababu moja kati ya malengo yake ni pamoja na watoto wanao soma katika shule za Kayumba, mbali na kulelewa kimaadili ya kitanzania lakini pia wanapata uelewa mzuri wa somo la kiingereza ili wanapo fika sekondari wasipate tabu kwenye masomo yao... ( kampeni hii itarejesha hadhi ya shule za Kayumba jambo ambalo wamiliki wa Shule za English Medium hawataki kulisikia)
Kampeni itaanzia hapa hapa Jf itakwenda instagram na am sure as heavens baada ya muda itaenea nchi nzima na hadhi ya shule za Kayumba itarudi tena..
Just keep in touch.
Sijawahi kufeli kwenye mission yoyote ile . Infact I am specialised in doing the things that seems to be impossible to other people.
I LOVE YOU TANZANIA.
God bless