Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,773
Jaribu ku-volunteer /internship kampuni za bima mkuu.Naumia napitwa mpaka na wadogo zangu wenye certificate za ualimu nyumbani saivi ni full dharau
Naumia naumia naumia
Jaribu ku-volunteer /internship kampuni za bima mkuu.Naumia napitwa mpaka na wadogo zangu wenye certificate za ualimu nyumbani saivi ni full dharau
Naumia naumia naumia
Nimeomba internship lakini sijapatajaribu ku volunteer /internship kampuni za bima mkuu
Sawa sawaKwa ushauri wangu jitahidi usomee hata driving inachukua miezi miwili au mitatu, huwezi lala njaaa
Pia jaribu kujichanganya mtaani usijifungie sana ndani mbona ramani zipo kibao mtaani, Anza na hizi hizi za kawaida kadri siku zinavoenda utapata sehemu nzuri
Kauli ya kukata tamaa hii.Najuta natamani hata ningesoma ualimu labda maisha yangu yamgekua na afadhali muda huu ningekua nasubiri mshahara wa uhakika mwisho wa mwezi wenzangu waliokimbilia huko mambo yao sio haba
Think of plan B mfano kozi za ujasiriamali unazoweza kujiajiri.Naumia napitwa mpaka na wadogo zangu wenye certificate za ualimu nyumbani saivi ni full dharau
Naumia naumia naumia
Samahan mkuu unaweza kunisaidia mfano wa hizo course pleaseThink of plan B mfano kozi za ujasiriamali unazoweza kujiajiri.
Mliosoma posta kipaumbele chenu ni nini?We jamaa🤔 umekosa namna kbs ndugu!! Tuliosoma posta ajira Sio kipaumbele
Online or physcally?Nimeomba internship lakini sijapata
🤣🤣🤣🙌Hiyo social protection kwa tz Haina ishu labda ingekua umemalizia chuo ukanda wa gaza strip ndo ungepata ajira fasta na Hamas ndo wangekua mabosi zako.
Huko Linked huwa naona watu wanajisifia tu, bora ajichanganye pia mambo mengineAchana nao mkuu we pambana mkuu tafuta mishe.
1.Jisajili TAESA unaweza pata internship.
2.Jisajili Linked follow kampun za tumbaku wanatoaga nafas za watu kama nyie.
Kampuni izo ni JTI,Mkwawa, Alliance one,Magefa and G4.
Kwa kozi yako cheza na NGO mkuu ingia JTI tengeneza profile utege michongo mkuu
Kiukweli huo mtandao kila mtu ni CEOhuko Linked huwa naona watu wanajisifia tu, bora ajichanganye pia mambo mengine
Haha hatari sana, siku hizi umeingiliwa na matapelikiukweli huo mtandao kila mtu ni CEO
Nakapiga masters USA
Si bora uende veta ukapate ujuzi, hiyo tour guide itakufikisha wapi!Sina ujuzi mwingine Nina waza nikasomee tour guide lakini ada nayo changamoto
Kasome kozi moja ya OSHA ni wiki mbili tuIfm social protection
Hiyo social protection kwa tz Haina ishu labda ingekua umemalizia chuo ukanda wa gaza strip ndo ungepata ajira fasta na Hamas ndo wangekua mabosi zako.



nimecheka wallahKwa course zinazotolewa na vyuo vya posta vinatoa fursa ya mtu kujiajiri, na pia hata kama sio kujiajiri lkn Kwa mtu mjanja ni rahis kuchora ramani mapema tangu kipindi anaanza field ya kwanza.Basi ajira zipo kimboka
Online mkuuonline or physcally?
Inapatikana wapi hii course mkuuKasome kozi moja ya OSHA ni wiki mbili tu
Utakuja simulia hapa