Watanzania wenzangu nisiwadanganye kwa msoto niliopitia wa kukosa ajira Serikalini tangu nimalize chuo ninawaheshimu sana waliosomea ualimu, wengi sasa hivi wanakula tu mishahara yao mwisho wa mwezi.
Najuta, natamani hata ningesoma ualimu labda maisha yangu yangekuwa na afadhali muda huu ningekuwa nasubiri mshahara wa uhakika mwisho wa mwezi, wenzangu waliokimbilia huko mambo yao sio haba.
NB: Majuto ni mjukuuu
Najuta, natamani hata ningesoma ualimu labda maisha yangu yangekuwa na afadhali muda huu ningekuwa nasubiri mshahara wa uhakika mwisho wa mwezi, wenzangu waliokimbilia huko mambo yao sio haba.
NB: Majuto ni mjukuuu