Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,353
- 6,979
Aisee ajira inapatikana baada ya muongo mmoja. Kazi ipo.We unazungumzia 2017 juzi hapa, Kuna sister alimaliza 2013 ajira kapata 2023
Aisee ajira inapatikana baada ya muongo mmoja. Kazi ipo.We unazungumzia 2017 juzi hapa, Kuna sister alimaliza 2013 ajira kapata 2023
Kuna muda wakati wetu utafika tu mkuu hakuna mwenye jitihada na mwenye kuamini aliyeandikiwa kukosaHiyo ilikuwa jana. Leo napumzika nivute nguvu
mkuu ulifanya kosa gani??Toka ni graduate mwaka jana 2022 mpaka leo sina Ramani yoyote. Nimeshajitolea miezi sita nikafukuzwa. Now nipo kitaa kijiweni na mishe yangu kuu ni betting. Sipendi kubeti lakini maisha ndiyo yalivyonifikisha hapa. Majungu ni mengi but ndio hivo tushazoea tunaishi humo
sikushauri kubeti ,depression itakutafuna. ile sio main source ,watu wanafanya kama ziada tu otherwise utaona dunia chunguUnabett na kampuni gani chief
Ameen Ameen kaka Mungu ataweka mkono wake inshallah. Aisee huku mtaani tunaishi na madeni, majungu mengi, vibarua hakuna ukipata ujira Mdogo, ajira ndio hivo nazo ngumu, ukisema ujaribu biashara mtaji huna. Dharau majungu mengi mtaani. Ila yote kheriKuna muda wakati wetu utafika tu mkuu hakuna mwenye jitihada na mwenye kuamini aliyeandikiwa kukosa
Mimi naimani tu kaka wakati wetu utafika no matter tunapitia changamoto ganAmeen Ameen kaka Mungu ataweka mkono wake inshaly. Aisee huku mtaani tunaishi na madeni, majungu mengi, vibarua hakuna ukipata ujira Mdogo, ajira ndio hivo nazo ngumu, ukisema ujaribu biashara mtaji huna. Dharau majungu mengi mtaani. Ila yote kheri
Kweli?community development mtu wa social protection annaaply
Mimi ni ke mkuu udereva nitapata kazi kweliKapige veta udereva mzee au hata NIT pale utapitia msoto ila ishu zitakaa sawa tu katika kula na nk
Unaniita mzembe ofisini, sikamilishi Kazi, sitekelezi majukumu kikamilifu. Naonakana mkaidi. Japo nilikuwa sina ujuzi ndio nilikuwa nautafutia humo nikafukuzwa. Yote kherimkuu ulifanya kosa gani??
Hakuna anayependa kubeti ila ndio maisha yalipotufikisha. Kuna muda ni bora uache bahati ichukue nafasi yake pale unapoona juhudi hazifanyi kazisikushauri kubeti ,depression itakutafuna. ile sio main source ,watu wanafanya kama ziada tu otherwise utaona dunia chungu
Yap alisoma diploma ya ualimu shule ya msingiUalimu ama
ndio.ungeapply zile nafasi 800+ labda ungekua ofisini sa hivi uwe unasoma matangazo na kujaribu kuapply..Kweli?
Sawandio.ungeapply zile nafasi 800+ labda ungekua ofisini sa hivi uwe unasoma matangazo na kujaribu kuapply..
Kikubwa hakikisha nafasi Yako Ina Amani mafanikio yatakuja tuu...Biashara nayo siyo rahisi kiivyo unafikiria. Bongo kutoboa ngumu sana labda utumie uchawi au uroge bila hivo hutoboi.
Unapata vizuri tu we nenda kasomeeMimi ni ke mkuu udereva nitapata kazi kweli
Ualimu nao inategemea ni wa somo gani. Nina rafiki yangu kamaliza chuo toka mwaka 2017 kozi za history na kiswahili kasambaza vyeti na CV kila kona lkn ajira hakuna.
Sasa hivi yupo kitaa anakaanga chips na maisha yanasonga!
Nilijisahau nikasoma vingine Sasa najutaKozi za mtoto wa Masikini ni
Ualimu
Afya
Nilisikia hiyo course imefutwa mbonaHiyo social protection kwa tz Haina ishu labda ingekua umemalizia chuo ukanda wa gaza strip ndo ungepata ajira fasta na Hamas ndo wangekua mabosi zako.