Nawafikishieni Ujumbe Mnaoendesha IST na Vitz

Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.

Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.

Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu
 
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.

Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.

Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu
Mjumbe hauwawi mkuu. Mimi hata gari sina nimefikisha ujumbe tu.
 
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.

Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.

Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu
Kwahiyo mkuu wewe unaendasha ist kwa recreation or fun? Wegine mnamagari makubwa lakini hamna uwezo wa kumudi fuel consumption zake, hapo nikama kulazimshwa utajiri
 
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.

Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.

Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu
We umeyapatia maisha aisee dah! Tupeane mbinu jamani
 
Kumuelewa huyo Mwanasiasa ni ngumu, yeye kaamanisha ukipata hicho Ki Ist chako unaona maisha umeyapatia mengine hayakuhusu, Mbowe kuitwa gaidi wew haikuhusu, CCM kuongeza tozo wewe haikuhusu, kumbakia watu kesi wew haikuhusu, unajiona wewe ni tajiri tayari, kumbe ni maskini mwenye nafuu tu.
Ila Lema kasema ukweli mtupu middle class ya hapa Tanzania ndio angalau kwenye elimu ya kuanzia degree 1 na vi IST wanaona mambo ya siasa hayawahusu,huku ndugu zao wanaumia huko vijijini.
 
Mshamba Sana aliyeongea hivyo..
Hana akili..
Watu Wana Range Rover na bado Wana IST ..

Kulazimishana mitazamo ya kisiasa in a very abusive language...

No wonder naamini ana background ya ujambazi...

Mwanasiasa anatakiwa ashawishi watu
Sio Ku attack na kuponda certain group
Ha ha ha kawalenga wale wenye IST tu kama main car
 
Ila Lema kasema ukweli mtupu middle class ya hapa Tanzania ndio angalau kwenye elimu ya kuanzia degree 1 na vi IST wanaona mambo ya siasa hayawahusu,huku ndugu zao wanaumia huko vijijini.
Watu wameshikilia point moja tu.
 
Binafsi nimemuelewa sana Lema. Ni sawa na banker sijui cashier akishapata kibarua bank anahesabu hela nyiingi za watu anavimba mbaya, jioni sijui ijumaa kavaa zake kinjuga na slippers, juu jezi yake na iphone hale second hand, jeuri zote town anamiliki kwakua anamudu kununua bia 2 na kitimoto basi anaona maisha ameyamaliza ilihali amejaa madeni kibao anajiona middle class family wakati kajamba nani mwenzetu tu. Yaan kuna mtu akishakua na kitu kidogo anaona maisha ameyamaliza. Huwezi muelezea masuala ya nchi akakuelewa. Yeye ilimradi kakshahara kake kameingia, IST yake inapata wese basi.. kutwa mliman city

Tuwajuze tu, maisha baado sana. Hamjayapatia. Na vinjuga muvifue hivyo na matishet yenu. Alaaaaa.
 
wanavaa night dress ili wakiaga wake zao ionekane hawaendi mbali...
dume kubwa mapumbuu makubwa unaendesha IST je ukiyakalia utamlaumu nani??!!halafu unakuta linakupigia honi kwenye mataa ukiwa ndani land cruiser long base fabricated body abuse for africa!!bullshiiitin
Mbali na kwamba maneno yako makali ilaaaaa
 
Binafsi nimemuelewa sana Lema. Ni sawa na banker sijui cashier akishapata kibarua bank anahesabu hela nyiingi za watu anavimba mbaya, jioni sijui ijumaa kavaa zake kinjuga na slippers, juu jezi yake na iphone hale second hand, jeuri zote town anamiliki kwakua anamudu kununua bia 2 na kitimoto basi anaona maisha ameyamaliza ilihali amejaa madeni kibao anajiona middle class family wakati kajamba nani mwenzetu tu. Yaan kuna mtu akishakua na kitu kidogo anaona maisha ameyamaliza. Huwezi muelezea masuala ya nchi akakuelewa. Yeye ilimradi kakshahara kake kameingia, IST yake inapata wese basi.. kutwa mliman city

Tuwajuze tu, maisha baado sana. Hamjayapatia. Na vinjuga muvifue hivyo na matishet yenu. Alaaaaa.
Acha wivu wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom