funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,558
- 21,035
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.
Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu