miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Aah wapii maskini wenzangu hawa. Sina neno naoAcha wivu wewe
Aah wapii maskini wenzangu hawa. Sina neno naoAcha wivu wewe
Vya mkopo ila bodaboda wananifurahishaga sana. Tuna makasiriko sana. Eti cha mkopo kimkebe chenyewespeaking from expirience!hawa watu huwa korofi sna barabarani,bora hizo gari waachie wake zao waendee sokoni.wao watafute chuma za kibabe
Mwambie aje alipe madeni ya mabenki kwanza ndiyo aongee.Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Lema mkimbizi aliyeko Canada... yaani ametutukana sana! Ngoja aendelee kulelewa huko na wazungu!Hahaa mkuu ukiwa kigamboni utaniotea huko.
Ilaa ni nani huyo katupondea hivo?
Acha kabisaSasa ukikutana na mtu anasukuma discovery kwanza kala jeanz casual, shati au tishet casual kiatu ni american boot, timberland, clacks na hana maneno mengi utaona mezani pana grants, Jackdaniel, gordon, halafu akipigiwa simu haongei kwa sauti kubwa ni kidogo kakata utaona kama sio discovery, VW , Ranger, Range hapo unajua mipango ipo yaani full of civilization
Kuna mmoja huyo anatimua vumbi balaa na taa 'amezimeremetesha' ni vujo Tu.Binafsi nimemuelewa sana Lema. Ni sawa na banker sijui cashier akishapata kibarua bank anahesabu hela nyiingi za watu anavimba mbaya, jioni sijui ijumaa kavaa zake kinjuga na slippers, juu jezi yake na iphone hale second hand, jeuri zote town anamiliki kwakua anamudu kununua bia 2 na kitimoto basi anaona maisha ameyamaliza ilihali amejaa madeni kibao anajiona middle class family wakati kajamba nani mwenzetu tu. Yaan kuna mtu akishakua na kitu kidogo anaona maisha ameyamaliza. Huwezi muelezea masuala ya nchi akakuelewa. Yeye ilimradi kakshahara kake kameingia, IST yake inapata wese basi.. kutwa mliman city
Tuwajuze tu, maisha baado sana. Hamjayapatia. Na vinjuga muvifue hivyo na matishet yenu. Alaaaaa.
😂😂Daddy, tena ukute inaendeshwa na mdada… utasikia gari lenyewe la kuhongwa… mmmxxxiiiieeeeuuuu, naweza mwambia na wewe kahongwe kama rahisi kihivyo
..... siasa za CHADEMA hizo....Mshamba Sana aliyeongea hivyo..
Hana akili..
Watu Wana Range Rover na bado Wana IST ..
Kulazimishana mitazamo ya kisiasa in a very abusive language...
No wonder naamini ana background ya ujambazi...
Mwanasiasa anatakiwa ashawishi watu
Sio Ku attack na kuponda certain group
Nimesikitika sana, wenyewe tunahisi tupo uchumi wa kati kumbe ni masikini wenye nafuu!
Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.
Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.
Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu
Vipi kuhusu kushika smartphones mbilimbili na kuning'iniza funguo kwenye luksi naona hujalizungumzia ndugu mleta madaKuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Mungu akitaka kukushusha anakupa kiburi, dharau, majivuno na mengine kama hayo.
KWELI, leo hii kuna mtanzania mwenye akili zake timamu anaweza kuponda ist zinazomilikiwa na watanzania wenzake?
Labda sio mtanzania anayefahamu hustles halisi za watanzania ambao wengi wetu tunapambania milo mitatu kwa siku.
Wamiliki wa gari mitumba mmeanza kuzodoana? Ngozi nyeusi imelaaniwa.
Anyway sisi wa ist tuendelee kumpa 'Mungu utukufu wake kwa kutuheshimisha na ist zetu'. Amen.