Nimesikitika sana....nasikia wao wana mashangingi ya mikopo!Nchi ngumu sana hii. Mtu mpaka unapangiwa gari ya kuendesha na matajiri wanaoendesha ma biemu dabiliyu na ma rolisi roisi. Sijui nikauze tu ka IST kangu nirudi kwenye mwendokasi? Basi tu!
Hahaa mkuu ukiwa kigamboni utaniotea huko.Hii gari naikubali sana...sema wanaoendesha wana vurugu balaa! Ngoja leo nione wangapi wamevaa kaptura fupi
Kumuelewa huyo Mwanasiasa ni ngumu, yeye kaamanisha ukipata hicho Ki Ist chako unaona maisha umeyapatia mengine hayakuhusu, Mbowe kuitwa gaidi wew haikuhusu, CCM kuongeza tozo wewe haikuhusu, kumbakia watu kesi wew haikuhusu, unajiona wewe ni tajiri tayari, kumbe ni maskini mwenye nafuu tu.Mungu akitaka kukushusha anakupa kiburi, dharau, majivuno na mengine kama hayo.
KWELI, leo hii kuna mtanzania mwenye akili zake timamu anaweza kuponda ist zinazomilikiwa na watanzania wenzake?
Labda sio mtanzania anayefahamu hustles halisi za watanzania ambao wengi wetu tunapambania milo mitatu kwa siku.
Wamiliki wa gari mitumba mmeanza kuzodoana? Ngozi nyeusi imelaaniwa.
Anyway sisi wa ist tuendelee kumpa 'Mungu utukufu wake kwa kutuheshimisha na ist zetu'. Amen.
Hakuna gari nakuwa very comfortable niwapo kwenye mishe zangu kama 'ist'Juzi kuna bodaboda nimegusa, we alitoa maneno, kigari chenyewe cha mkopo, IST nayo gari? Gari gani hii, mimi hata bure sichukui" nikashuka nikamtazama bodaboda mwenyewe anaedharua IST nikaishia kucheka tu.
Aaaahhhhh nimemuelewa. Ina maana RRONDO umekuwa utopolo kiasi hiki?Kumuelewa huyo Mwanasiasa ni ngumu, yeye kaamanisha ukipata hicho Ki Ist chako unaona maisha umeyapatia mengine hayakuhusu, Mbowe kuitwa gaidi wew haikuhusu, CCM kuongeza tozo wewe haikuhusu, kumbakia watu kesi wew haikuhusu, unajiona wewe ni tajiri tayari, kumbe ni maskini mwenye nafuu tu.
Mkuu weekend Leo tufurahi tuMungu akitaka kukushusha anakupa kiburi, dharau, majivuno na mengine kama hayo.
KWELI, leo hii kuna mtanzania mwenye akili zake timamu anaweza kuponda ist zinazomilikiwa na watanzania wenzake?
Labda sio mtanzania anayefahamu hustles halisi za watanzania ambao wengi wetu tunapambania milo mitatu kwa siku.
Wamiliki wa gari mitumba mmeanza kuzodoana? Ngozi nyeusi imelaaniwa.
Anyway sisi wa ist tuendelee kumpa 'Mungu utukufu wake kwa kutuheshimisha na ist zetu'. Amen.
Kuna bodaboda ashanitukana hivyo hivyo...gari yako yenyewe (gx100) haifikii bei ya bodaboda yangu! Nikacheka Sana Hadi akanishangaa.Juzi kuna bodaboda nimegusa, we alitoa maneno, kigari chenyewe cha mkopo, IST nayo gari? Gari gani hii, mimi hata bure sichukui" nikashuka nikamtazama bodaboda mwenyewe anaedharua IST nikaishia kucheka tu.