ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,280
- 15,315
Achana na sisi... tupo kama visisimizi tunapita popote. Na ukitubana sidemirror halali yetuBodaboda wanakera sana. Mtu unawakwepa kulia na kushoto safari nzima!
Achana na sisi... tupo kama visisimizi tunapita popote. Na ukitubana sidemirror halali yetuBodaboda wanakera sana. Mtu unawakwepa kulia na kushoto safari nzima!
Hao unaozungumzia wewe, yaani wenye Vitz,IST halafu nyumbani mmeacha Prado,Fortuner sio walengwa wa Mh alietoa hii kauli.Mie naongea kueleza uhalisia wa mambo na nasimama wanaoendesha Vitz ambao wanadharauliwa sana.
Usimdharau mtu kwa vitu unavyoviona. Kuna jamaa mmoja Kariakoo karibu na kituo cha Mwendokasi uwa anapanda daladala kuja kwenye biashara yake. Yule jamaa kwa siku anauza zaidi ya milioni 10 na ukimuona utadhani Mbwiga fulani tu
Dah hiyo engine anaitesa mno! Yani anaichosha vibaya sana kwa upumbavu tu.
Acha hasira, ungemwelewa kwanZa Bwana LemaMungu akitaka kukushusha anakupa kiburi, dharau, majivuno na mengine kama hayo.
KWELI, leo hii kuna mtanzania mwenye akili zake timamu anaweza kuponda ist zinazomilikiwa na watanzania wenzake?
Labda sio mtanzania anayefahamu hustles halisi za watanzania ambao wengi wetu tunapambania milo mitatu kwa siku.
Wamiliki wa gari mitumba mmeanza kuzodoana? Ngozi nyeusi imelaaniwa.
Anyway sisi wa ist tuendelee kumpa 'Mungu utukufu wake kwa kutuheshimisha na ist zetu'. Amen.
Wanaudhi sana mbwembwe kama zoteWanavaa tishirt za jezi au formsix wakishapiga na kaptura zile za draftidrafti au zile kaptura za pocket pembeni, kuta wanavaa visendoz na soksi na miwani juu, walipokaa vingereza vingi utahisi mipango ya kweli kumbe ni swaga tu hua nacheka sana
😂😂😂🤔🤔Kuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!
Nchi ngumu sana hii. Mtu mpaka unapangiwa gari ya kuendesha na matajiri wanaoendesha ma biemu dabiliyu na ma rolisi roisi. Sijui nikauze tu ka IST kangu nirudi kwenye mwendokasi? Si kwa dharau hizi dadeki!
Hahaaa. Eti kama anarina asalinilikutana na mjuba mmoja na ist yake road ya tunduru-songea akaanza ligi.... hakuchukua hata saa moja namkuta kafungua bonet moshi kama anarina asali....
Masikin huwa na maneno mabaya sana na makali,yanayoumiza mtima.Juzi kuna bodaboda nimegusa, we alitoa maneno, kigari chenyewe cha mkopo, IST nayo gari? Gari gani hii, mimi hata bure sichukui" nikashuka nikamtazama bodaboda mwenyewe anaedharua IST nikaishia kucheka tu.
Sasa unanunua gari mtumba halafu unavimbaNimesikitika sana, wenyewe tunahisi tupo uchumi wa kati kumbe ni masikini wenye nafuu!
Mimi nina vitz old model hata hapa ninaiendesha hiyo gari. Mbali na hayo nina Harrier Hybrid nina Prado na pia nina gari zingine za biashara. Sijawahi kujutia kuwa na Vits.
Mnaowaita maskini ukute wana maisha mazuri mara kumi ya wewe mwenye gari kama Subaru.
Kuna dogo mmoja alinichomekea vits nikamwambia kuwa mwangalifu akasema kwenda zake na gari ya house girl. Gari aliyokuwa anaendesha ni ya chini kuliko niliyomnunulia mwanangu anayeanza chuo kikuu
Kuna siku waliniboa Sana natoka zangu Moroco mbele yangu wako wa 2 wanatamba barabara mzima, kutembea hawatembei na site hawataki kunipa.Hii gari naikubali sana...sema wanaoendesha wana vurugu balaa! Ngoja leo nione wangapi wamevaa kaptura fupi
nilikutana na mjuba mmoja na ist yake road ya tunduru-songea akaanza ligi.... hakuchukua hata saa moja namkuta kafungua bonet moshi kama anarina asali....
Bora huyo mwanasiasa. Kuna yule mama mkwe umempakia unampeleka CCBRT kucheki vijicho vyake vibovu kwa pesa zako. Upo unahangaika kunyata kwenye mashimo na ki-IST chako, linapita V8 , linafukia makorongo likinesanesa. Vruum! Vruuum! Ndukii! Basi mmama unamsikia "mwanaume huyo!" Inakera sana aisee! Eeeh! Tutafute pesa jamani.
Dah kw maneno Ayo unaweza kujikuta mjumbe unauawa yanKuna mwanasiasa kasema mkishanunua IST na VItz na kuanza kuvaa kaptura fupi weekend mnajiona mmepatia sana maisha, mnajihisi ni middle class kumbe ni masikini wenye nafuu! Mjumbe hauwawi, weekend njema!