MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
1- Je, CHADEMA Ina amini katika FALSAFA za Mwalimu Nyerere ?
2- Ni upi msimamo was CHADEMA kuhusu Mahakama ya KADHI?
3- Ni upi msimamo wa CHADEMA kuhusu HALI YA MUUNGANO?
- Wanaunga mkono serikali TATU, MBILI, MOJA, MKATABA au KUVUNJA Muungano?
4- Je, CHADEMA Wana amini kipi kuhusu SOKO HURIA?
Je, Serikali iwe inafanya UDHIBITI wa Wafanyabiashara I'll wasiwe wanapandisha Bei za bidhaa na HUDUMA kwa.kuwapangia Bei ya bidhaa au wawache huru Wafanyabiashara SOKO LIAMUE?
5- CHADEMA Wana msimamo gani katika MASLAHI YA WANASIASA vs WANA TAALUMA?
6- Je,. CHADEMA wanaamini MFUMO wetu wa UWAKILISHI wa Wanawake kupitia VITI MAALUM Ni SAHIHI?
Ahsante
2- Ni upi msimamo was CHADEMA kuhusu Mahakama ya KADHI?
3- Ni upi msimamo wa CHADEMA kuhusu HALI YA MUUNGANO?
- Wanaunga mkono serikali TATU, MBILI, MOJA, MKATABA au KUVUNJA Muungano?
4- Je, CHADEMA Wana amini kipi kuhusu SOKO HURIA?
Je, Serikali iwe inafanya UDHIBITI wa Wafanyabiashara I'll wasiwe wanapandisha Bei za bidhaa na HUDUMA kwa.kuwapangia Bei ya bidhaa au wawache huru Wafanyabiashara SOKO LIAMUE?
5- CHADEMA Wana msimamo gani katika MASLAHI YA WANASIASA vs WANA TAALUMA?
6- Je,. CHADEMA wanaamini MFUMO wetu wa UWAKILISHI wa Wanawake kupitia VITI MAALUM Ni SAHIHI?
Ahsante