ACT Wazalendo kushindwa kutoa msimamo kuhusu bandari kimejiondolea sifa. CHADEMA inaitumia fursa hiyo kuwasulubu

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,503
51,099
Chama cha ACT Wazalendo kilijijengea jina kwa kusimama juu ya masuala muhimu na makubwa. Kilitoa chambuzi nyingi juu ya uchumi, hali ya kisiasa na mambo ya uongozi

Hata hivyo chama hicho kimegeuka bubu kwenye suala la Bandari. Chama kimeshindwa kutoa msiamamo wa chama katika suala hilo nyeti. Tunachosikia ni kauli binafsi za kiongozi mmoja mmoja na baadhi ya kauli hizo ziko "out of touch" na msimamo wa Wananchi katika suala hili.

1. Zitto asema mkataba huu wa IGA ni kama karatasi la kufungia vitumbua
Wakati, Wasomi wazito kwenye nchi hii wakionyesha matatizo makubwa ya mkataba huu, Wasomi wa sheria wa TLS, Profesa Shivji, Dr Nshala na wasomi wengine wa sheria , Kioingozi wa ACT Wazalendo ndugu Zitto yeye haoni kuwa huo mkataba ni hatari kwa mustakbali wa nchi yetu, Yeye anasema huo mkataba ni sawa na karatasi la kufungia vitumbua tu. Kauli hii imewashangaza wengi waliokuwa wakimuona Zitto ni mtu serious

2. Ukimya huu wa ACT unaonyesha dhahiri kuwa ACT ni chama cha kutetea maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko Watanganyika
Ukiwasikiliza viongozi wa ACT Wazalendo kuanzia kwa Zitto, Akina Mzee Duni, Jussa, Abdu Nondo, huwa ni wepesi sana kuonyesha madhila ambayo Zanzibar inapata katika muungano, lakini huwa hawajisumbui kuzungumza madhila ambayo Tanganyika inapata katika huu muungano.

Angalau Wazanzibari wa ACT ningewalewa, lakini Viongozi hawa wa kutoka Tanganyika ndani ya ACT wamegeuka kuwa bootlickers wa camp ya Wazanzibari ndani ya chama. Hawana Interest na mustakbali wa Tanganyika, wao wamegeuka kasuku wa kuimba madhila ya Wazanzibari ndani ya chama.

Pengine kwa sababu Ruzuku ya Chama inatoka Zanzibar ndiyo maana inabidi wamtumikie "Kafiri" wapate mradi wao. Lakini hii maana yake ni kwamba wanaonekana mbele ya umma kuwa hawa siyo wanasiasa wa kitaifa kama wanavyojaribu kujiportray bali ni special interest group.

3. Ukimya wa ACT unalenga kumnusuru Samia
Tunaambiwa Zitto yuko karibu sana na Samia, Tunaambiwa Juma Duni ni rafiki wa Samia. Urafiki na Ukaribu wa watu hao kwa raisi umekiteka nyara chama hicho kuacha kukosoa makosa makubwa kabisa anayofanya Samia kwa mustakbali wa nchi.

Matokeo yake hawa wamekigeuza chama kama Mercinery wa kisiasa. Yaani kukitumia chama kama conduit ya kumsaidia Samia kutawala smoothly licha ya makosa makubwa ya kiuonglzi hata ya kisiasa ambayo Samia anafanya. Hali hii imekigharimu sana chama cha ACT Wazalendo kuaminika na kuonekana kuwa ni chama serious chenye nia ya kuiondoa CCM madarakani.

4. CHADEMA wanakisulubu sana chama cha ACT mbele ya wananchi kwa hoja ya bandari
Kwenye ziara ambazo Chadema wanafanya nchi nzima, bila ya kutaja jina la chama chochote, wamekuwa wakiwaambia wananchi kuwa hakuna chama kilichobeba ajenda ya kutetea bandari zetu isipokuwa Chadema.

Message hii imekuwa ikiresonate ipasavyo kwa wananchi kiasi cha kujenga imani kubwa kwa chama hicho kwa kuamini kuwa ni chama kinachobeba ajenda kubwa. ACT itakuwa ni vigumu sana kupenetrate kwa wananchi kwa kupuuza ajenda nzito kama hii kisa tu ya urafiki wa Zitto na Duni Haji kwa Samia.

5. Watanganyika waanza kuamini kuwa ACT ni chama cha Wazanzibari
Kitendo cha Juma Duni kutoa kauli za kumtetea Samia kuhusuiana na udalali huu wa bandari zetu, na Kitendo cha Jussa kusema kuwa ishu ya bandari ni ya Watanganyika na watajijua wenyewe.

Huku viongozi watanganyika ndani ya chama hicho kudogosha ubovu wa mkataba huu. Kinawafanya Watanganyika waone kuwa hicho chama si chao, bali ni chama cha Wazanzibari, kwa ajili ya Wazanzibari na kwamba hawa viongozi wa Tanganyika ni front face to ya kumask Lengo halisi la chama hicho.

Mwisho:
Hiki chama cha ACT kilianza vizuri, lakini sasa kinapoteza muelekeo. Kimeshindwa kuwa fair kwenye kutetea pande zote mbili za muungano, bali kimeegemea kuisemea Zanzibar zaidi, wakati na Watanganyika kuna mambo wanayanung'unikia.

Pili uswahiba binafsi wa viongozi wake kwa watawala, umetia ukungu utendaji wa chama hicho kupigia kelele makosa makubwa ya kiuongozi yanayofanywa na watawala nchini.

Kwa muktadha huu nakiona hiki Chama kikiendelea kuwa Chombo cha Uchaguzi zaidi hasa huko Zanzibar badala ya kuwa chombo cha kuwa serikali mbadala nchini chenye kusimamia mambo makubwa kama ambavyo wakti kinaanzishwa kiliahidi au kiujipambanua kufanya.
 
Chama cha ACT Wazalendo kilijijengea jina kwa kusimama juu ya masuala muhimu na makubwa. Kilitoa chambuzi nyingi juu ya uchumi, hali ya kisiasa na mambo ya uongozi
Mkuu Missile of the Nation, kwanza nikupongeze kwa bandiko hili kwasababu watu wenye uwezo wa kufanya analysis kama hizi humu JF, wanahesabika, big up sana kwa hili and keep it up, mabandiko kama haya yanaiheshimisha jf. Pili naunga mkono baadhi ya hoja.
Hata hivyo chama hicho kimegeuka bubu kwenye suala la Bandari. Chama kimeshindwa kutoa msiamamo wa chama katika suala hilo nyeti.
Hivi ndivyo vyama serious vinavyotakiwa kufanya, this is a sign of maturity!. Chama mature, kunapotokea jambo lolote kubwa la chama kutoa kauli ya chama, chama kitakutana to deliberate on the issue, ndipo kinatoa kauli ya chama, kama walivyofanya CCM.

ACT Wazalendo hawajafanya kikao chochote kujadili issue ya Bandari kwasababu ACT Wazalendo sio chama cha matukio!.
Tunachosikia ni kauli binafsi za kiongozi mmoja mmoja na baadhi ya kauli hizo ziko "out of touch" na msimamo wa Wananchi katika suala hili.
Huu ni ukomavu, chama serious hakikurupuki kutoa kauli za chama wala hakilazimiki kufuata mkumbo, kimewapa viongozi wake demokrasia ya uhuru wa maoni yao binafsi, this is very healthy kwenye freedom of expression.
1. Zitto asema mkataba huu wa IGA ni kama karatasi la kufungia vitumbua
Wakati, Wasomi wazito kwenye nchi hii wakionyesha matatizo makubwa ya mkataba huu, Wasomi wa sheria wa TLS, Profesa Shivji, Dr Nshala na wasomi wengine wa sheria
Ni kweli mkataba huu wa DPW na Bandari zetu una. matatizo makubwa ya kisheria
Kioingozi wa ACT Wazalendo ndugu Zitto yeye haoni kuwa huo mkataba ni hatari kwa mustakbali wa nchi yetu,
Sio lazima maoni ya kila mtu yafanane, hivyo Zitto Kabwe hajaiona hiyo hatari
Yeye anasema huo mkataba ni sawa na karatasi la kufungia vitumbua tu
Yeye ameona huo mkataba ni karatasi ya kufungia vitumbua,
Kauli hii imewashangaza wengi waliokuwa wakimuona Zitto ni mtu serious
Sii kweli, labda kwa watu wasiomjua Zitto, lakini wanaomjua wanamjua Zitto ni very serious leader.
2. Ukimya huu wa ACT unaonyesha dhahiri kuwa ACT ni chama cha kutetea maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko Watanganyika
Ukiwasikiliza viongozi wa ACT Wazalendo kuanzia kwa Zitto, Akina Mzee Duni, Jussa, Abdu Nondo, huwa ni wepesi sana kuonyesha madhila ambayo Zanzibar inapata katika muungano, lakini huwa hawajisumbui kuzungumza madhila ambayo Tanganyika inapata katika huu muungano.

Angalau Wazanzibari wa ACT ningewalewa, lakini Viongozi hawa wa kutoka Tanganyika ndani ya ACT wamegeuka kuwa bootlickers wa camp ya Wazanzibari ndani ya chama. Hawana Interest na mustakbali wa Tanganyika, wao wamegeuka kasuku wa kuimba madhila ya Wazanzibari ndani ya chama.

Pengine kwa sababu Ruzuku ya Chama inatoka Zanzibar ndiyo maana inabidi wamtumikie "Kafiri" wapate mradi wao. Lakini hii maana yake ni kwamba wanaonekana mbele ya umma kuwa hawa siyo wanasiasa wa kitaifa kama wanavyojaribu kujiportray bali ni special interest group.
Hapa naomba niheshimu tuu mawazo yako japo sikubaliani nawe
3. Ukimya wa ACT unalenga kumnusuru Samia
Tunaambiwa Zitto yuko karibu sana na Samia, Tunaambiwa Juma Duni ni rafiki wa Samia. Urafiki na Ukaribu wa watu hao kwa raisi umekiteka nyara chama hicho kuacha kukosoa makosa makubwa kabisa anayofanya Samia kwa mustakbali wa nchi.

Matokeo yake hawa wamekigeuza chama kama Mercinery wa kisiasa. Yaani kukitumia chama kama conduit ya kumsaidia Samia kutawala smoothly licha ya makosa makubwa ya kiuonglzi hata ya kisiasa ambayo Samia anafanya. Hali hii imekigharimu sana chama cha ACT Wazalendo kuaminika na kuonekana kuwa ni chama serious chenye nia ya kuiondoa CCM madarakani.
Hii ni kitu mpya kwa siasa za Tanzania, inaitwa strategic politicking
4. CHADEMA wanakisulubu sana chama cha ACT mbele ya wananchi kwa hoja ya bandari
Kwenye ziara ambazo Chadema wanafanya nchi nzima, bila ya kutaja jina la chama chochote, wamekuwa wakiwaambia wananchi kuwa hakuna chama kilichobeba ajenda ya kutetea bandari zetu isipokuwa Chadema.

Message hii imekuwa ikiresonate ipasavyo kwa wananchi kiasi cha kujenga imani kubwa kwa chama hicho kwa kuamini kuwa ni chama kinachobeba ajenda kubwa. ACT itakuwa ni vigumu sana kupenetrate kwa wananchi kwa kupuuza ajenda nzito kama hii kisa tu ya urafiki wa Zitto na Duni Haji kwa Samia.
duh...!
5. Watanganyika waanza kuamini kuwa ACT ni chama cha Wazanzibari
Kitendo cha Juma Duni kutoa kauli za kumtetea Samia kuhusuiana na udalali huu wa bandari zetu, na Kitendo cha Jussa kusema kuwa ishu ya bandari ni ya Watanganyika na watajijua wenyewe.

Huku viongozi watanganyika ndani ya chama hicho kudogosha ubovu wa mkataba huu. Kinawafanya Watanganyika waone kuwa hicho chama si chao, bali ni chama cha Wazanzibari, kwa ajili ya Wazanzibari na kwamba hawa viongozi wa Tanganyika ni front face to ya kumask Lengo halisi la chama hicho.
Sii kweli
Mwisho:
Hiki chama cha ACT kilianza vizuri, lakini sasa kinapoteza muelekeo. Kimeshindwa kuwa fair kwenye kutetea pande zote mbili za muungano, bali kimeegemea kuisemea Zanzibar zaidi, wakati na Watanganyika kuna mambo wanayanung'unikia.
Hili neno!.
Pili uswahiba binafsi wa viongozi wake kwa watawala, umetia ukungu utendaji wa chama hicho kupigia kelele makosa makubwa ya kiuongozi yanayofanywa na watawala nchini.
Hili neno!
Kwa muktadha huu nakiona hiki Chama kikiendelea kuwa Chombo cha Uchaguzi zaidi hasa huko Zanzibar badala ya kuwa chombo cha kuwa serikali mbadala nchini chenye kusimamia mambo makubwa kama ambavyo wakti kinaanzishwa kiliahidi au kiujipambanua kufanya.
Naunga mkono hoja, ACT Wazalendo kilipoanzishwa kilianza vizuri, na mimi nililizungumzia Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza kiukweli Zitto ni very good strategist, ilipojitokeza fursa ya mtafaruku wa CUF, Zitto akaona fursa, akachangamkia fursa, akawameza, sasa nguvu ya ACT Wazalendo ni Zanzibar.

P
 
Zitto mwanzoni kabisa alishasema hatampinga Samia, na hiyo ni kawaida yake, hata enzi za JK alikuwa kimya hivyo hivyo, akawa anadai JK ni kama baba yake, hivyo labda na sasa Samia atakuwa sawa na mama yake pia.

Zaidi ya hapo, ACT kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa na CCM kule Zanzibar kumewafanya wawe kama nyumba ndogo ya CCM, huu ndio ukweli.

Wanajua hawawezi kufurukuta kuwapinga CCM kwa lolote, kisha madai yao yakapewa uzito. Tabia ya Zitto kujikomba kwa viongozi wa CCM, inamshushia heshima yeye binafsi na chama chake, na zaidi, inawapunguzia umaarufu, watanzania sio wajinga.

Mfano kule Zanzibar, wakati ACT walipopinga uteuzi wa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, hakuna chochote CCM walichofanya ili kuyashughulikia yale madai yao, na wao ACT bado wako kimya mpaka leo, ni kama vile wameshakubali matokeo, sasa chama cha namna hii kitaheshimika vipi?
 
Chama cha ACT Wazalendo kilijijengea jina kwa kusimama juu ya masuala muhimu na makubwa. Kilitoa chambuzi nyingi juu ya uchumi, hali ya kisiasa na mambo ya uongozi

Hata hivyo chama hicho kimegeuka bubu kwenye suala la Bandari. Chama kimeshindwa kutoa msiamamo wa chama katika suala hilo nyeti. Tunachosikia ni kauli binafsi za kiongozi mmoja mmoja na baadhi ya kauli hizo ziko "out of touch" na msimamo wa Wananchi katika suala hili.

1. Zitto asema mkataba huu wa IGA ni kama karatasi la kufungia vitumbua
Wakati, Wasomi wazito kwenye nchi hii wakionyesha matatizo makubwa ya mkataba huu, Wasomi wa sheria wa TLS, Profesa Shivji, Dr Nshala na wasomi wengine wa sheria , Kioingozi wa ACT Wazalendo ndugu Zitto yeye haoni kuwa huo mkataba ni hatari kwa mustakbali wa nchi yetu, Yeye anasema huo mkataba ni sawa na karatasi la kufungia vitumbua tu. Kauli hii imewashangaza wengi waliokuwa wakimuona Zitto ni mtu serious

2. Ukimya huu wa ACT unaonyesha dhahiri kuwa ACT ni chama cha kutetea maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko Watanganyika
Ukiwasikiliza viongozi wa ACT Wazalendo kuanzia kwa Zitto, Akina Mzee Duni, Jussa, Abdu Nondo, huwa ni wepesi sana kuonyesha madhila ambayo Zanzibar inapata katika muungano, lakini huwa hawajisumbui kuzungumza madhila ambayo Tanganyika inapata katika huu muungano.

Angalau Wazanzibari wa ACT ningewalewa, lakini Viongozi hawa wa kutoka Tanganyika ndani ya ACT wamegeuka kuwa bootlickers wa camp ya Wazanzibari ndani ya chama. Hawana Interest na mustakbali wa Tanganyika, wao wamegeuka kasuku wa kuimba madhila ya Wazanzibari ndani ya chama.

Pengine kwa sababu Ruzuku ya Chama inatoka Zanzibar ndiyo maana inabidi wamtumikie "Kafiri" wapate mradi wao. Lakini hii maana yake ni kwamba wanaonekana mbele ya umma kuwa hawa siyo wanasiasa wa kitaifa kama wanavyojaribu kujiportray bali ni special interest group.

3. Ukimya wa ACT unalenga kumnusuru Samia
Tunaambiwa Zitto yuko karibu sana na Samia, Tunaambiwa Juma Duni ni rafiki wa Samia. Urafiki na Ukaribu wa watu hao kwa raisi umekiteka nyara chama hicho kuacha kukosoa makosa makubwa kabisa anayofanya Samia kwa mustakbali wa nchi.

Matokeo yake hawa wamekigeuza chama kama Mercinery wa kisiasa. Yaani kukitumia chama kama conduit ya kumsaidia Samia kutawala smoothly licha ya makosa makubwa ya kiuonglzi hata ya kisiasa ambayo Samia anafanya. Hali hii imekigharimu sana chama cha ACT Wazalendo kuaminika na kuonekana kuwa ni chama serious chenye nia ya kuiondoa CCM madarakani.

4. CHADEMA wanakisulubu sana chama cha ACT mbele ya wananchi kwa hoja ya bandari
Kwenye ziara ambazo Chadema wanafanya nchi nzima, bila ya kutaja jina la chama chochote, wamekuwa wakiwaambia wananchi kuwa hakuna chama kilichobeba ajenda ya kutetea bandari zetu isipokuwa Chadema.

Message hii imekuwa ikiresonate ipasavyo kwa wananchi kiasi cha kujenga imani kubwa kwa chama hicho kwa kuamini kuwa ni chama kinachobeba ajenda kubwa. ACT itakuwa ni vigumu sana kupenetrate kwa wananchi kwa kupuuza ajenda nzito kama hii kisa tu ya urafiki wa Zitto na Duni Haji kwa Samia.

5. Watanganyika waanza kuamini kuwa ACT ni chama cha Wazanzibari
Kitendo cha Juma Duni kutoa kauli za kumtetea Samia kuhusuiana na udalali huu wa bandari zetu, na Kitendo cha Jussa kusema kuwa ishu ya bandari ni ya Watanganyika na watajijua wenyewe.

Huku viongozi watanganyika ndani ya chama hicho kudogosha ubovu wa mkataba huu. Kinawafanya Watanganyika waone kuwa hicho chama si chao, bali ni chama cha Wazanzibari, kwa ajili ya Wazanzibari na kwamba hawa viongozi wa Tanganyika ni front face to ya kumask Lengo halisi la chama hicho.

Mwisho:
Hiki chama cha ACT kilianza vizuri, lakini sasa kinapoteza muelekeo. Kimeshindwa kuwa fair kwenye kutetea pande zote mbili za muungano, bali kimeegemea kuisemea Zanzibar zaidi, wakati na Watanganyika kuna mambo wanayanung'unikia.

Pili uswahiba binafsi wa viongozi wake kwa watawala, umetia ukungu utendaji wa chama hicho kupigia kelele makosa makubwa ya kiuongozi yanayofanywa na watawala nchini.

Kwa muktadha huu nakiona hiki Chama kikiendelea kuwa Chombo cha Uchaguzi zaidi hasa huko Zanzibar badala ya kuwa chombo cha kuwa serikali mbadala nchini chenye kusimamia mambo makubwa kama ambavyo wakti kinaanzishwa kiliahidi au kiujipambanua kufanya.
ACT Wazalendo ni shina la ccM Zitto hajawahi kuwa mwana mageuzi wala hajawahi kuwa mpinzani
 
Act kina nasaba na ccm
20220925_003728.jpg
 
Chama cha ACT Wazalendo kilijijengea jina kwa kusimama juu ya masuala muhimu na makubwa. Kilitoa chambuzi nyingi juu ya uchumi, hali ya kisiasa na mambo ya uongozi

Hata hivyo chama hicho kimegeuka bubu kwenye suala la Bandari. Chama kimeshindwa kutoa msiamamo wa chama katika suala hilo nyeti. Tunachosikia ni kauli binafsi za kiongozi mmoja mmoja na baadhi ya kauli hizo ziko "out of touch" na msimamo wa Wananchi katika suala hili.

1. Zitto asema mkataba huu wa IGA ni kama karatasi la kufungia vitumbua
Wakati, Wasomi wazito kwenye nchi hii wakionyesha matatizo makubwa ya mkataba huu, Wasomi wa sheria wa TLS, Profesa Shivji, Dr Nshala na wasomi wengine wa sheria , Kioingozi wa ACT Wazalendo ndugu Zitto yeye haoni kuwa huo mkataba ni hatari kwa mustakbali wa nchi yetu, Yeye anasema huo mkataba ni sawa na karatasi la kufungia vitumbua tu. Kauli hii imewashangaza wengi waliokuwa wakimuona Zitto ni mtu serious

2. Ukimya huu wa ACT unaonyesha dhahiri kuwa ACT ni chama cha kutetea maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko Watanganyika
Ukiwasikiliza viongozi wa ACT Wazalendo kuanzia kwa Zitto, Akina Mzee Duni, Jussa, Abdu Nondo, huwa ni wepesi sana kuonyesha madhila ambayo Zanzibar inapata katika muungano, lakini huwa hawajisumbui kuzungumza madhila ambayo Tanganyika inapata katika huu muungano.

Angalau Wazanzibari wa ACT ningewalewa, lakini Viongozi hawa wa kutoka Tanganyika ndani ya ACT wamegeuka kuwa bootlickers wa camp ya Wazanzibari ndani ya chama. Hawana Interest na mustakbali wa Tanganyika, wao wamegeuka kasuku wa kuimba madhila ya Wazanzibari ndani ya chama.

Pengine kwa sababu Ruzuku ya Chama inatoka Zanzibar ndiyo maana inabidi wamtumikie "Kafiri" wapate mradi wao. Lakini hii maana yake ni kwamba wanaonekana mbele ya umma kuwa hawa siyo wanasiasa wa kitaifa kama wanavyojaribu kujiportray bali ni special interest group.

3. Ukimya wa ACT unalenga kumnusuru Samia
Tunaambiwa Zitto yuko karibu sana na Samia, Tunaambiwa Juma Duni ni rafiki wa Samia. Urafiki na Ukaribu wa watu hao kwa raisi umekiteka nyara chama hicho kuacha kukosoa makosa makubwa kabisa anayofanya Samia kwa mustakbali wa nchi.

Matokeo yake hawa wamekigeuza chama kama Mercinery wa kisiasa. Yaani kukitumia chama kama conduit ya kumsaidia Samia kutawala smoothly licha ya makosa makubwa ya kiuonglzi hata ya kisiasa ambayo Samia anafanya. Hali hii imekigharimu sana chama cha ACT Wazalendo kuaminika na kuonekana kuwa ni chama serious chenye nia ya kuiondoa CCM madarakani.

4. CHADEMA wanakisulubu sana chama cha ACT mbele ya wananchi kwa hoja ya bandari
Kwenye ziara ambazo Chadema wanafanya nchi nzima, bila ya kutaja jina la chama chochote, wamekuwa wakiwaambia wananchi kuwa hakuna chama kilichobeba ajenda ya kutetea bandari zetu isipokuwa Chadema.

Message hii imekuwa ikiresonate ipasavyo kwa wananchi kiasi cha kujenga imani kubwa kwa chama hicho kwa kuamini kuwa ni chama kinachobeba ajenda kubwa. ACT itakuwa ni vigumu sana kupenetrate kwa wananchi kwa kupuuza ajenda nzito kama hii kisa tu ya urafiki wa Zitto na Duni Haji kwa Samia.

5. Watanganyika waanza kuamini kuwa ACT ni chama cha Wazanzibari
Kitendo cha Juma Duni kutoa kauli za kumtetea Samia kuhusuiana na udalali huu wa bandari zetu, na Kitendo cha Jussa kusema kuwa ishu ya bandari ni ya Watanganyika na watajijua wenyewe.

Huku viongozi watanganyika ndani ya chama hicho kudogosha ubovu wa mkataba huu. Kinawafanya Watanganyika waone kuwa hicho chama si chao, bali ni chama cha Wazanzibari, kwa ajili ya Wazanzibari na kwamba hawa viongozi wa Tanganyika ni front face to ya kumask Lengo halisi la chama hicho.

Mwisho:
Hiki chama cha ACT kilianza vizuri, lakini sasa kinapoteza muelekeo. Kimeshindwa kuwa fair kwenye kutetea pande zote mbili za muungano, bali kimeegemea kuisemea Zanzibar zaidi, wakati na Watanganyika kuna mambo wanayanung'unikia.

Pili uswahiba binafsi wa viongozi wake kwa watawala, umetia ukungu utendaji wa chama hicho kupigia kelele makosa makubwa ya kiuongozi yanayofanywa na watawala nchini.

Kwa muktadha huu nakiona hiki Chama kikiendelea kuwa Chombo cha Uchaguzi zaidi hasa huko Zanzibar badala ya kuwa chombo cha kuwa serikali mbadala nchini chenye kusimamia mambo makubwa kama ambavyo wakti kinaanzishwa kiliahidi au kiujipambanua kufanya.
ACT wazalendo ni ccm B kwa hiyo ni wanufaika huyu Zito hakuwahi kuona tatizo Kwa ccm ila mchezaji mzuri wa akili za watz

Jamaa huwa ni opportunist mzuri sana
 
Chama cha ACT Wazalendo kilijijengea jina kwa kusimama juu ya masuala muhimu na makubwa. Kilitoa chambuzi nyingi juu ya uchumi, hali ya kisiasa na mambo ya uongozi

Hata hivyo chama hicho kimegeuka bubu kwenye suala la Bandari. Chama kimeshindwa kutoa msiamamo wa chama katika suala hilo nyeti. Tunachosikia ni kauli binafsi za kiongozi mmoja mmoja na baadhi ya kauli hizo ziko "out of touch" na msimamo wa Wananchi katika suala hili.

1. Zitto asema mkataba huu wa IGA ni kama karatasi la kufungia vitumbua
Wakati, Wasomi wazito kwenye nchi hii wakionyesha matatizo makubwa ya mkataba huu, Wasomi wa sheria wa TLS, Profesa Shivji, Dr Nshala na wasomi wengine wa sheria , Kioingozi wa ACT Wazalendo ndugu Zitto yeye haoni kuwa huo mkataba ni hatari kwa mustakbali wa nchi yetu, Yeye anasema huo mkataba ni sawa na karatasi la kufungia vitumbua tu. Kauli hii imewashangaza wengi waliokuwa wakimuona Zitto ni mtu serious

2. Ukimya huu wa ACT unaonyesha dhahiri kuwa ACT ni chama cha kutetea maslahi ya Wazanzibari zaidi kuliko Watanganyika
Ukiwasikiliza viongozi wa ACT Wazalendo kuanzia kwa Zitto, Akina Mzee Duni, Jussa, Abdu Nondo, huwa ni wepesi sana kuonyesha madhila ambayo Zanzibar inapata katika muungano, lakini huwa hawajisumbui kuzungumza madhila ambayo Tanganyika inapata katika huu muungano.

Angalau Wazanzibari wa ACT ningewalewa, lakini Viongozi hawa wa kutoka Tanganyika ndani ya ACT wamegeuka kuwa bootlickers wa camp ya Wazanzibari ndani ya chama. Hawana Interest na mustakbali wa Tanganyika, wao wamegeuka kasuku wa kuimba madhila ya Wazanzibari ndani ya chama.

Pengine kwa sababu Ruzuku ya Chama inatoka Zanzibar ndiyo maana inabidi wamtumikie "Kafiri" wapate mradi wao. Lakini hii maana yake ni kwamba wanaonekana mbele ya umma kuwa hawa siyo wanasiasa wa kitaifa kama wanavyojaribu kujiportray bali ni special interest group.

3. Ukimya wa ACT unalenga kumnusuru Samia
Tunaambiwa Zitto yuko karibu sana na Samia, Tunaambiwa Juma Duni ni rafiki wa Samia. Urafiki na Ukaribu wa watu hao kwa raisi umekiteka nyara chama hicho kuacha kukosoa makosa makubwa kabisa anayofanya Samia kwa mustakbali wa nchi.

Matokeo yake hawa wamekigeuza chama kama Mercinery wa kisiasa. Yaani kukitumia chama kama conduit ya kumsaidia Samia kutawala smoothly licha ya makosa makubwa ya kiuonglzi hata ya kisiasa ambayo Samia anafanya. Hali hii imekigharimu sana chama cha ACT Wazalendo kuaminika na kuonekana kuwa ni chama serious chenye nia ya kuiondoa CCM madarakani.

4. CHADEMA wanakisulubu sana chama cha ACT mbele ya wananchi kwa hoja ya bandari
Kwenye ziara ambazo Chadema wanafanya nchi nzima, bila ya kutaja jina la chama chochote, wamekuwa wakiwaambia wananchi kuwa hakuna chama kilichobeba ajenda ya kutetea bandari zetu isipokuwa Chadema.

Message hii imekuwa ikiresonate ipasavyo kwa wananchi kiasi cha kujenga imani kubwa kwa chama hicho kwa kuamini kuwa ni chama kinachobeba ajenda kubwa. ACT itakuwa ni vigumu sana kupenetrate kwa wananchi kwa kupuuza ajenda nzito kama hii kisa tu ya urafiki wa Zitto na Duni Haji kwa Samia.

5. Watanganyika waanza kuamini kuwa ACT ni chama cha Wazanzibari
Kitendo cha Juma Duni kutoa kauli za kumtetea Samia kuhusuiana na udalali huu wa bandari zetu, na Kitendo cha Jussa kusema kuwa ishu ya bandari ni ya Watanganyika na watajijua wenyewe.

Huku viongozi watanganyika ndani ya chama hicho kudogosha ubovu wa mkataba huu. Kinawafanya Watanganyika waone kuwa hicho chama si chao, bali ni chama cha Wazanzibari, kwa ajili ya Wazanzibari na kwamba hawa viongozi wa Tanganyika ni front face to ya kumask Lengo halisi la chama hicho.

Mwisho:
Hiki chama cha ACT kilianza vizuri, lakini sasa kinapoteza muelekeo. Kimeshindwa kuwa fair kwenye kutetea pande zote mbili za muungano, bali kimeegemea kuisemea Zanzibar zaidi, wakati na Watanganyika kuna mambo wanayanung'unikia.

Pili uswahiba binafsi wa viongozi wake kwa watawala, umetia ukungu utendaji wa chama hicho kupigia kelele makosa makubwa ya kiuongozi yanayofanywa na watawala nchini.

Kwa muktadha huu nakiona hiki Chama kikiendelea kuwa Chombo cha Uchaguzi zaidi hasa huko Zanzibar badala ya kuwa chombo cha kuwa serikali mbadala nchini chenye kusimamia mambo makubwa kama ambavyo wakti kinaanzishwa kiliahidi au kiujipambanua kufanya.
Ajabu ni kwamba,pamoja na kelele mingi za cdm,watanzania wengi ,wanawaona useless, wengi wanaona ACT,ndipo mahala sahihi,
N.b,Ndimi za kutukana,kudhalilisha,kufedhehesha,zinashabikiwa tu na wavuta bangi na wenye upungufu wa akili,wenye akili zao timamu wanatulia na Ku digest.
 
Huwezi kuitenganisha ACT na Zanzibar -- Base kubwa ya ACT ipo Zanzibar hivyo Zitto lazima afuate wazanzibar(Jusa,Duni,Masoud ) wanataka nini.
 
Back
Top Bottom