Jo Assistant
Senior Member
- Jun 20, 2014
- 195
- 197
- Thread starter
- #21
Dah! 😢 Nilijua upo tayari madam! Halafu kuna vitu vingi vya ku'set ujue... Accounts Backup, 2FA kwenye social media accounts, kuweka modded apps, and more. Tungeonana ungenielewa vizuri. Bei ni fair, na kwa uwezo wako inaonekana unaweza kumnunulia hata mtoto/ndugu yako. Ni'PM ili unitajie una Shs. ngapi nikuachie S8 a.s.a.paIla wewe dogo unafurahisha😆..kipi kigeni kuset hizo ishu? hhaaah...sina shida ya simu ila nimeshangaa bei na ukimeo wake