Fundi simu kwa bei nafuu

Epateletech

Member
Jun 17, 2015
41
14
Epateletech tunakuja na hii
Ukikosa hii offer sijui itakuaje
Whatsapp 0757937196
Wateja wetu wa mikoa ya nje na dar fanya utakalo ona linakufaa kati ya yafuatayo.
1.Itume simu moja kwa moja ofisini itengenezwe kisha utatumiwa au unaweza kumtumia mtu kama una mwenyeji dar es salaam
2.Wasiliana na fundi wako katika eneo lako uweze kutumiwa spear ya simu yako
3.Unaweza kuagiza kioo ukatafuta fundi wa kukufungia
KARIBUNI SANA

SIMU:Leo tuzungumuzie vifaa vya mawasiliano tugusie simu
Changamoto kubwa imekuwa ni vioo na touch zake na upande wa pili ni system charge

>Nikupe mchongo leo fahamu zaidi namna ya unavyoweza kumudu gharama za matengenezo ya simu yako.

TECNO
✓Tecno smart bei ya kubadilisha touch ni 17k ambazo zimewahi kubadilishwa na 25k kwa ambazo hazikuwahi kubadilishwa

✓Bei ya vioo inatofautiana kulingana na simu yenyewe mfano:
>Spark 2 40k
>Spark 3 40k
>Spark 4 50k
>Spark 5 50k
>Camon cx 40k
>Camon cx air 40k
>Pop1 pop2 38k
>Pop 3 38k
>F1,F2 38k
>L9 ni 38k
>W5 ni 38k
>W3 ni 28k
>W2 ni 28k
>K7 ni 38k
>K9 ni 40k
>K8 ni 40k
>Camon 12 pro ni 130k
>pouvor 2 ni 38k
>Pouvor 3 ni 40k
>Ca6 ni 40k
>Ca7 ni 45k
>RC6 ni 38k
>Ra6 ni 38k
>S1,S2,S3 ni 28k
>Y6,y3 ni 28k
>J8 ni 45k

INFINIX
✓bei ya kubadilisha touch inatofautiana kwenye infinix za nyuma kidogo ni 20k na za sasa kuanzia hot 8 ni 28k

✓Pia vioo vinatofautiana kulingana na simu yenyewe mfano
>Hot s3 ni 50k
>Hot 5 ni 40k
>Hot 6 ni 40k
>Hot 7 42k
>Hot 8 ni 45k
>Hot 9 ni 55k
>Hot 10 ni 55k
>Smart 4 ni 45k
>Smart 5 ni 45k
>Not 7 ni 70k
>not 5 ni 70k
>not 3 ni 40k
>hot s3 ni 45k
>s5 ni 50k
>S4 ni 45k
>Smart 3 ni 45k
>Smart 2 ni 38k
>Not 8 ni 80k

SAMSUNG
✓Samsung nyingi zinakuwa complete yaani zipo chache zenye touch na touch kwa samsung bei ya kubadilisha ni 20k
✓Bei za vioo ziko tofauti tofauti kulingana na simu mfano:
>j4 ni 80k
>J5 ni 80k
>J6 ni 90k
>J7 ni 65k
>J7 pro ni 80k
>A8 ya 2016 ni 90k
>A8 ya sasa ni 85k
>S6 ni 130k
>S6edge ni 160k
>S7 edge ni 170k
>S7 ni 160k
> S8 ni 230k
>S8+ ni 240k
>S9 ni 250k
> S9+ ni 270k
>S10E ni 300k
>S10 ni 460k
>S10+ ni 490k
>S20 ni 520k
> S20+ ni 520k
>S21 ni 400k
>Note 3 ni 90k
>Note 4 ni 110k
>Note 5 ni 120k
>Note 8 ni 280k
>Note 9 ni 290k
>Note 10 ni 420k
> Note 10+ ni 590k
>Note 20 ni 400k
> Note 20 ultra ni 700k
>A3 ya sasa ni 80k
>A3 ya 2016 ni 100k
>A7 ya 2016 ni 75k
>A7 ya 2018 ni 90k
>A20 ni 100k
>A20s ni 100k
>A21s ni 110k
> A30, A30s ni 120k
>A10,A10s ni 55k
>A40 ni 135k
>A50 ni 130k
>A52 ni 150k
>A02s ni 75k
>A12 ni 90k
>Note 3 ni 90k
>Note 5 ni 140k
>G532F ni 40k
>Grand prime ni 40k
>Grand prime pro 70k

HUAWEI
>Y9 ni 80k
>Y6 ni 65k
>rnd L22 Mate 10 lite ni 85k

SONY
> Z3 ni 70k
>mate 8 ni 80k

IPHONE
✓ Iphone hazina mambo ya touch ila vioo sio gharama sana
Mfano
5 ni 38k
6plain,6s,6plus, ni 55k
7plain,plus ni 70k
8 ni 85k
X130k
Xmax ni 240k

HERUFI "K" INA MAANA YA 1000 YAANI ELFU MOJA HIVYO MFANO 50K NI ELFU HAMSINI

VIOO VYA SIMU NDOGO
hivi navyo vinarofautiana kwa njia zake
Mfano
Njia 16,20,24 ndogo ni 6k
Njia 37 ndogo ni 8 na kubwa 12

HIZO BEI NI PAMOJA NA KUBADILISHA YAANI UFUNDI

SYSTEM CHARGE
Kwa simu ndogo ni 3k
Smart za kawaida ni 5k
Na smart samsung ni 15k

PROTECTOR
3D ni 3k
5D ni 5k

KUFLASH SIMU
Samsung ni 20k
Tecno na infinix ni 10k
Itel 10k
Vivvo 20k
Oppo 20k

KUTOA FRP
Samsung 20k
Tecno na infinix ni 10k
Itel 10k
Oppo 20k
Vivo 20k

KU UNLOCK
Hapa inategemea na simu bei ubadilikabadilika

Tuna tatua matatizo mengi ya simu ikiwamo zilizoingia maji,zilizozima ghafla, zinazowaka hazimalizi,zinazosumbua network,
>>Kwa Wateja walioko mbali unaweza kutuma simu yako ikafanyiwa kazi.

Kwa mafundi walioko mbali accessories zote zipo unaweza kutumiwa kwa bei ya jumla
Accessories zote zipo
Chager
Vioo
Touch
Protector
Solder wire
Receiver
Mic
Mifuniko
Frame
Battery
Vibao
System charge
Gundi
Paste
Usb
Speaker
Earphones
Gun
Lamination

TUNAFANYA KAZI NA MAFUNDI WALIOKO MBALI KWA KUWATUMIA VIFAA AU MSAADA WA SOFTWARE

TUPO UDSM CHANGANYIKENI,GOBA DAR ES SALAAM WASILIANA NASI
0757937196

KARIBUNI SANA
 
Epateletech tunakuja na hii
Ukikosa hii offer sijui itakuaje
Whatsapp 0757937196
Wateja wetu wa mikoa ya nje na dar fanya utakalo ona linakufaa kati ya yafuatayo.
1.Itume simu moja kwa moja ofisini itengenezwe kisha utatumiwa au unaweza kumtumia mtu kama una mwenyeji dar es salaam
2.Wasiliana na fundi wako katika eneo lako uweze kutumiwa spear ya simu yako
3.Unaweza kuagiza kioo ukatafuta fundi wa kukufungia
KARIBUNI SANA

SIMU:Leo tuzungumuzie vifaa vya mawasiliano tugusie simu
Changamoto kubwa imekuwa ni vioo na touch zake na upande wa pili ni system charge

>Nikupe mchongo leo fahamu zaidi namna ya unavyoweza kumudu gharama za matengenezo ya simu yako.

TECNO
✓Tecno smart bei ya kubadilisha touch ni 17k ambazo zimewahi kubadilishwa na 25k kwa ambazo hazikuwahi kubadilishwa

✓Bei ya vioo inatofautiana kulingana na simu yenyewe mfano:
>Spark 2 40k
>Spark 3 40k
>Spark 4 50k
>Spark 5 50k
>Camon cx 40k
>Camon cx air 40k
>Pop1 pop2 38k
>Pop 3 38k
>F1,F2 38k
>L9 ni 38k
>W5 ni 38k
>W3 ni 28k
>W2 ni 28k
>K7 ni 38k
>K9 ni 40k
>K8 ni 40k
>Camon 12 pro ni 130k
>pouvor 2 ni 38k
>Pouvor 3 ni 40k
>Ca6 ni 40k
>Ca7 ni 45k
>RC6 ni 38k
>Ra6 ni 38k
>S1,S2,S3 ni 28k
>Y6,y3 ni 28k
>J8 ni 45k

INFINIX
✓bei ya kubadilisha touch inatofautiana kwenye infinix za nyuma kidogo ni 20k na za sasa kuanzia hot 8 ni 28k

✓Pia vioo vinatofautiana kulingana na simu yenyewe mfano
>Hot s3 ni 50k
>Hot 5 ni 40k
>Hot 6 ni 40k
>Hot 7 42k
>Hot 8 ni 45k
>Hot 9 ni 55k
>Hot 10 ni 55k
>Smart 4 ni 45k
>Smart 5 ni 45k
>Not 7 ni 70k
>not 5 ni 70k
>not 3 ni 40k
>hot s3 ni 45k
>s5 ni 50k
>S4 ni 45k
>Smart 3 ni 45k
>Smart 2 ni 38k
>Not 8 ni 80k

SAMSUNG
✓Samsung nyingi zinakuwa complete yaani zipo chache zenye touch na touch kwa samsung bei ya kubadilisha ni 20k
✓Bei za vioo ziko tofauti tofauti kulingana na simu mfano:
>j4 ni 80k
>J5 ni 80k
>J6 ni 90k
>J7 ni 65k
>J7 pro ni 80k
>A8 ya 2016 ni 90k
>A8 ya sasa ni 85k
>S6 ni 130k
>S6edge ni 160k
>S7 edge ni 170k
>S7 ni 160k
> S8 ni 230k
>S8+ ni 240k
>S9 ni 250k
> S9+ ni 270k
>S10E ni 300k
>S10 ni 460k
>S10+ ni 490k
>S20 ni 520k
> S20+ ni 520k
>S21 ni 400k
>Note 3 ni 90k
>Note 4 ni 110k
>Note 5 ni 120k
>Note 8 ni 280k
>Note 9 ni 290k
>Note 10 ni 420k
> Note 10+ ni 590k
>Note 20 ni 400k
> Note 20 ultra ni 700k
>A3 ya sasa ni 80k
>A3 ya 2016 ni 100k
>A7 ya 2016 ni 75k
>A7 ya 2018 ni 90k
>A20 ni 100k
>A20s ni 100k
>A21s ni 110k
> A30, A30s ni 120k
>A10,A10s ni 55k
>A40 ni 135k
>A50 ni 130k
>A52 ni 150k
>A02s ni 75k
>A12 ni 90k
>Note 3 ni 90k
>Note 5 ni 140k
>G532F ni 40k
>Grand prime ni 40k
>Grand prime pro 70k

HUAWEI
>Y9 ni 80k
>Y6 ni 65k
>rnd L22 Mate 10 lite ni 85k

SONY
> Z3 ni 70k
>mate 8 ni 80k

IPHONE
✓ Iphone hazina mambo ya touch ila vioo sio gharama sana
Mfano
5 ni 38k
6plain,6s,6plus, ni 55k
7plain,plus ni 70k
8 ni 85k
X130k
Xmax ni 240k

HERUFI "K" INA MAANA YA 1000 YAANI ELFU MOJA HIVYO MFANO 50K NI ELFU HAMSINI

VIOO VYA SIMU NDOGO
hivi navyo vinarofautiana kwa njia zake
Mfano
Njia 16,20,24 ndogo ni 6k
Njia 37 ndogo ni 8 na kubwa 12

HIZO BEI NI PAMOJA NA KUBADILISHA YAANI UFUNDI

SYSTEM CHARGE
Kwa simu ndogo ni 3k
Smart za kawaida ni 5k
Na smart samsung ni 15k

PROTECTOR
3D ni 3k
5D ni 5k

KUFLASH SIMU
Samsung ni 20k
Tecno na infinix ni 10k
Itel 10k
Vivvo 20k
Oppo 20k

KUTOA FRP
Samsung 20k
Tecno na infinix ni 10k
Itel 10k
Oppo 20k
Vivo 20k

KU UNLOCK
Hapa inategemea na simu bei ubadilikabadilika

Tuna tatua matatizo mengi ya simu ikiwamo zilizoingia maji,zilizozima ghafla, zinazowaka hazimalizi,zinazosumbua network,
>>Kwa Wateja walioko mbali unaweza kutuma simu yako ikafanyiwa kazi.

Kwa mafundi walioko mbali accessories zote zipo unaweza kutumiwa kwa bei ya jumla
Accessories zote zipo
Chager
Vioo
Touch
Protector
Solder wire
Receiver
Mic
Mifuniko
Frame
Battery
Vibao
System charge
Gundi
Paste
Usb
Speaker
Earphones
Gun
Lamination

TUNAFANYA KAZI NA MAFUNDI WALIOKO MBALI KWA KUWATUMIA VIFAA AU MSAADA WA SOFTWARE

TUPO UDSM CHANGANYIKENI,GOBA DAR ES SALAAM WASILIANA NASI
0757937196

KARIBUNI SANA
 
Huduma nzuri Sana. Ukiwa mwaminifu utafanya kazi Sana mkuu. Mungu akupe hekima na heshima kwa wateja wako.
 
Ahsante kwa taarifa...

Uwe na kale ka speaker kanachorudia rudia matangazo kwa sauti ya kelele...
 
Infinix samrt 6 frp tools,
Kwa mwenye nayo hiyo tool au tool itakayoondoa frp kwenye infinix smart 6.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom