Nauliza tu: Lowassa ana nini jamani?

Nauliza tu: Lowassa ana nini jamani?

Ngoja Nionyeshe Tu Matusi aliyotukanwa Lowassa, Ya Kuumiza Mno lakini akanyamaza Kimyaaa! Lowassa ana Roho ya Ajabu sana. Sijui Litawapata Nini hawa lakini Hii Ni list na Ushahidi!

1)
2)
3)
4)
5)
6) Na wapo waliowatuma.

By The way Kama Kweli Lowassa alikuwa Mgonjwa na Hakuna Badget ya Mazishi Ikulu Mbona Hili Tukio halikufanya Wamkatae Kikwete Mafisi hawa? Nawapongeza Chadema Wakati huo Hawakumchuria Kikwete na Kumtukania afya yake.
 
Wanajamvi wenzangu humu ndani kumezuka tabia ambayoa hata kichaa anaweza kutushangaa,ikitokea amefariki mwanasiasa fulan ambaye hayuko upande wa lowassa utasikia watu wa viroba wanakuja na kebehi eti alimtukana lowassa,upuuzi mkubwa sana huu,bila evidence ya kutuonesha kua kweli alitukanwa,lakini hata hivyo lowasa ni nani asitukanwe?asisemwe?tuache kazi za MUNGU ziendelee,mambo ya kuhusisha kifo cha mtu na sababu za kijinga tuache ni dhambi.

Note:nipo kagera kwenye kuwafariji waliotapeliwa,sitaki mabishano.

Mkuu mwishoni umemalizia kama baba anavyomaliziaga, your say is final hutaki majibizano.
Mimi ndiye mwenye nchi hii.....
 
Mungu mwema. Imeandikwa katika Gal 6:7 nanukuu, "Msidanganyike, Mungu hadhiakiwi, kwa kuwa chochote apandacho mtu ndicho atakachovuna" mwisho wa kunukuu. Huwezi panda kunde ukavuna maharagwe!
 
Hamjambo wajukuu zangu.

Tangu nimeanza kuwa mtu mzima(18yrs) katika miaka ya 1970s sijawai ona maajabu kama haya yanayotokea sasa katika medani za siasa ya nchi ya viwanda na kutumbua majipu.

Namzungumzia Mhe Edward Ngoyai Lowasa, nguli la siasa tangu enzi za Mwlm JK Nyerere. Edward Lowasa ni mwanasiasa aliyepitia magumu mengi pengine kuliko mwanasiasa yeyote katika siasa za Tanzania. Lowasa aliwahi kuhusishwa na kashfa ya ubadhirifu AICC, Richmond, Jengo la UVCCM na kashfa nyingine nyingi nje ndani ya ccm na serikali ya Tanzania.

Ajabu lenyewe ni hili hapa. Lowasa baada ya kuhama CCM na kugombea urais kupitia UKAWA amekua ni nyota inayong'aa ambayo ina tumaini tele mbele ya watanzania wanyonge. Amekuwa kama Musa aliyewatoa wanawaisrael utumwani Misri kuelekea nchi ya ahadi.

Linalonishangaza zaidi kila aliyeinua/anayeinua kinywa chake na kumnena vibaya mtu huyu maono huwa yanamrudia mwenyewe. Kumbukeni kauli za mawaziri mbalimbali waliomtusi na kukashifu afya mtu huyu lkn wao ndo wamekuwa wa kwanza kuchungulia kaburi. Lakini pia chunguzeni kwa makini matamko yenye utata ya Mhe RC ambaye alitumia muda mwingi kumnanga na kumsimanga Lowasa ndani ya UVCCM. Mhe RC hv sasa ameanza kupoteza mwelekeo kila kauli inayotoka kinywani mwake ina ukakasi dhidi ya wananchi ama watumishi wenzake.

Namuhurumia sana mjukuu wangu wa ACT aliyemtukana Lowasa pale mwembeyanga sijui naye itakuaje tusubiri muda tu.

Babu yenu
Tanaluza
 
Voicemail zilizonaswa wakati wa kampeni majukwaani zipo mfano mmoja alimtukana Lowassa from jukwaa la Sokoine Mbeya kasema ikulu siyo ICU
 
Wanajamvi wenzangu humu ndani kumezuka tabia ambayoa hata kichaa anaweza kutushangaa,ikitokea amefariki mwanasiasa fulan ambaye hayuko upande wa lowassa utasikia watu wa viroba wanakuja na kebehi eti alimtukana lowassa,upuuzi mkubwa sana huu,bila evidence ya kutuonesha kua kweli alitukanwa,lakini hata hivyo lowasa ni nani asitukanwe?asisemwe?tuache kazi za MUNGU ziendelee,mambo ya kuhusisha kifo cha mtu na sababu za kijinga tuache ni dhambi.

Note:nipo kagera kwenye kuwafariji waliotapeliwa,sitaki mabishano.
Nimepitia comment yako nikawa naona nyotanyota nimekuja kupaelewa hapo mwishoni tu
 
Wanajamvi wenzangu humu ndani kumezuka tabia ambayoa hata kichaa anaweza kutushangaa,ikitokea amefariki mwanasiasa fulan ambaye hayuko upande wa lowassa utasikia watu wa viroba wanakuja na kebehi eti alimtukana lowassa,upuuzi mkubwa sana huu,bila evidence ya kutuonesha kua kweli alitukanwa,lakini hata hivyo lowasa ni nani asitukanwe?asisemwe?tuache kazi za MUNGU ziendelee,mambo ya kuhusisha kifo cha mtu na sababu za kijinga tuache ni dhambi.

Note:nipo kagera kwenye kuwafariji waliotapeliwa,sitaki mabishano.
Ni vizuri waliomtukana Lowassa orodha yao itajwe kabla ya kufa. Sio wakifa ndio mnasema
 
Linalonishangaza zaidi kila aliyeinua/anayeinua kinywa chake na kumnena vibaya mtu huyu maono huwa yanamrudia mwenyewe. Kumbukeni kauli za mawaziri mbalimbali waliomtusi na kukashifu afya mtu huyu lkn wao ndo wamekuwa wa kwanza kuchungulia kaburi. Lakini pia chunguzeni kwa makini matamko yenye utata ya Mhe RC ambaye alitumia muda mwingi kumnanga na kumsimanga Lowasa ndani ya UVCCM. Mhe RC hv sasa ameanza kupoteza mwelekeo kila kauli inayotoka kinywani mwake ina ukakasi dhidi ya wananchi ama watumishi wenzake.

babu tunaluza hili umeliweka katika wakati uliopita, uliopo au ujao?
 
Wanajamvi wenzangu humu ndani kumezuka tabia ambayoa hata kichaa anaweza kutushangaa,ikitokea amefariki mwanasiasa fulan ambaye hayuko upande wa lowassa utasikia watu wa viroba wanakuja na kebehi eti alimtukana lowassa,upuuzi mkubwa sana huu,bila evidence ya kutuonesha kua kweli alitukanwa,lakini hata hivyo lowasa ni nani asitukanwe?asisemwe?tuache kazi za MUNGU ziendelee,mambo ya kuhusisha kifo cha mtu na sababu za kijinga tuache ni dhambi.

Note:nipo kagera kwenye kuwafariji waliotapeliwa,sitaki mabishano.
Sio wote, baadhi
Nb:suala la afya na uzima tumuachie Mungu tu.
 
Mungu hupigana na kuwatetea walio wake, tenda mema babu uishi miaka mingi.
 
Vijana wa ufipa kweli akili hakuna wamebaki kumuabudu Lowasa.. Nazani itakua waliambiwa na mzee wa miujiza Mbowe.. Mbowe nani alimpendekeza kua Kiongozi wa kambi Rasmi ya upinzani.. Naomba nijibiwe. Ili swali mpaka Leo sijapata jibu.. Tokea 2010 mpaka Leo.. Nataka kujua nani alitoa wazo au mwenyewe Mbowe
Kile kichwa hanampinzani. Anakili kuliko wale jamaa waliowekwa mfuko na mtukufu. Kila kitu ndiyoooooo........
.
 
Hamjambo wajukuu zangu.

Tangu nimeanza kuwa mtu mzima(18yrs) katika miaka ya 1970s sijawai ona maajabu kama haya yanayotokea sasa katika medani za siasa ya nchi ya viwanda na kutumbua majipu.

Namzungumzia Mhe Edward Ngoyai Lowasa, nguli la siasa tangu enzi za Mwlm JK Nyerere. Edward Lowasa ni mwanasiasa aliyepitia magumu mengi pengine kuliko mwanasiasa yeyote katika siasa za Tanzania. Lowasa aliwahi kuhusishwa na kashfa ya ubadhirifu AICC, Richmond, Jengo la UVCCM na kashfa nyingine nyingi nje ndani ya ccm na serikali ya Tanzania.

Ajabu lenyewe ni hili hapa. Lowasa baada ya kuhama CCM na kugombea urais kupitia UKAWA amekua ni nyota inayong'aa ambayo ina tumaini tele mbele ya watanzania wanyonge. Amekuwa kama Musa aliyewatoa wanawaisrael utumwani Misri kuelekea nchi ya ahadi.

Linalonishangaza zaidi kila aliyeinua/anayeinua kinywa chake na kumnena vibaya mtu huyu maono huwa yanamrudia mwenyewe. Kumbukeni kauli za mawaziri mbalimbali waliomtusi na kukashifu afya mtu huyu lkn wao ndo wamekuwa wa kwanza kuchungulia kaburi. Lakini pia chunguzeni kwa makini matamko yenye utata ya Mhe RC ambaye alitumia muda mwingi kumnanga na kumsimanga Lowasa ndani ya UVCCM. Mhe RC hv sasa ameanza kupoteza mwelekeo kila kauli inayotoka kinywani mwake ina ukakasi dhidi ya wananchi ama watumishi wenzake.

Namuhurumia sana mjukuu wangu wa ACT aliyemtukana Lowasa pale mwembeyanga sijui naye itakuaje tusubiri muda tu.

Babu yenu
Tanaluza

hahaa na nape , mbona alimpa makavu kabisa kuwa lowasa hawezi kabidhiwa nchi , mbona yeye anadunda tu
 
Back
Top Bottom