Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
Mkuu katika biblia kuna watu walipata mapigo kwa kuwadhihaki wanadamu tu ambao walikuwa watumishi wa Mungu achilia mbali habari ya Yesu.Kimsingi watu walipitiliza waliichukua nafasi ya yule mwenye mamlaka juu ya uhai.Mfano kauli za mama Kwelina Kombania,ndugu yetu dodas masabuni,Mchungaji Mtwikila hata huyu ndugu yetu wa juzi kimsingi walinena vibaya juu ya huyu mtu ambaye kimsingi hakurudisha neno.Unajua heri angekuwa anawarudishia lakini yeye hakuwa anarudisha kwa vyovyote vile lazima mwenye mamlaka juu yetu atasimama amtetee.Kumbuka ni mwaka mmoja tu tangu watu wamnenee hivyo lakini ni namba kubwa ya viongozi hawa waliolala mauti.Kwa vyovyote ninashauri aliyemnenea vibaya hadharani kwenye majukwaa hima akatengeneze naye,Husisubiri yakufike hutokuwa na nafasi ya kutengeneza naye tena huko uendako hakuna shauri.
Lowassa ni fisadi, sasa kwa akili zako timamu kama unamfananisha na yeyote katika biblia kwa kuandika maneno mengi ya kipuuzi pole sana
Lowassa na fisadi, Lissu na chadema wenzake wamemsema kwa uthibitisho kwa miaka tisa, mpaka kila mtu mpaka mbwa wako na paka wako, kama sio Panya wanajua
Mbowe , lissu na chadema wamemkubali na kumkumbatia Lowassa for commercial advantages wala sio eti kwa sababu ana virtue, characters na attributes unazofikiria au kudhania kuwa anazo
pole sana mkuu,
Mama yako akigundua kuwa ni wewe , atajua kwa nn hakukutoa kama mimba ulipokuwa na wiki 2
Hakuna na hakutatokea uhusiano wowote wa kauli za watu kumsema vibaya Lowassa na watu wakafa, waliosemwa duniani sio mafisadi tu kama lowassa mpaka mitume