Elerai
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 474
- 139
Napenda nikushaur kama dada yangu kila ninaposoma uzi wako napata majibu kuwa huenda ikawa ngumu wewe kupata Mume ikiwa utaendelea na huyo mume wa m2 anakupotezea muda huoni yeye kaoa wewe hujaolewa yan elimu haikusaidii kuchanganua jambo hili? Najua nw uko hot umri bdo kdg nw kuna wanaume wanakutaka wapo wa kwel na magumashi xaxa ucsubir ufk muda uje kutafuta mume jf coz wa2 wanakuangalia unavinjari kwel lakin angalia kuna future na kama hakuna tafadhal kaa mbali