umenitupa wangu! Mzima wewe?? Hebu jiibe basi nionje mume wa mtu na mimi!, ebo?key words: Mme wa mtu sukari, kuchakaza k, kibabu, ndoa naniheshimiwea na watu wote...
Well hapa sisi kama wachangiaji hadi sasa iviz kuna watu wana act the moral side.....highly rational guided with normative rationality. Wachahe sana wamejaribu kuthink outside the box.
Wengi if anything tunamtisha na amri za mungu na mandiko badala ya kumnasihi na kuona the other side of the story. Sad.
Sad kwa sababu wengi wetu tunayafanya haya haya ila hapa ndo tunajipa high moral authority ya kumnanga huyu dada.
Ushauri wangu wa jumla nankutafakarisha ni kwamba kama ndoa ya jamaa ni guided with love kwa nini anamuacha mkewe anaenda kwa huyu dada? Kama alivosema kongosho do we nees to go to basics kujiuliza why watu wanaoana? Kitu gani kinatuhakikishia pasipo shaka kuwa kati yao hakuna mapenzi ya kweli? Je, tuna uhakika gani kuwa ndoa ya jamaa haikuwa a matter of convenience? Je kuna namna ya kuhakikisha kuwa wote wanaofunga ndoa wana mapenzi ya kweli ili kuepuka mambo kama haya mbeleni?
imekaa vizuri hii......usiudanganye moyo wako....jiulize wampenda......wazo zuri sana!tekeleza hili
mume wa mtu mtamu, ngumu kutema ngumu kumeza
Huwa ninajaribu kuwaza kwa mtazamo hasi.............Mwanaume anaye mkewe afu anakupenda wewe ila anakwambia kabisa kuwa anaye mke na anampenda mkewe...................Wewe kama mwanamke uliyekamilika (si ndo maana kakufuata?)unajisikiaje?? second hand?? Na unaridhika? penzi lako ni la nguo ya mtumba kulinganisha na ile ya dukani?? Yaani unaridhika na second-hand penzi?? Jiulize wewe kama wewe unadeserve penzi la mtumba? kama alikupenda sana alipaswa kukusubiria au kukutafuta mpaka akupate lah sio wako tena, mwache tafuta wao
Akiweza amwache mkewe kwa talaka tatu akuoe wewe............................... ndo atadhihirisha penzi lake kwako otherwise huyo ni selfish na mfujaji tu anataka afaidi kote....................Samahani lakini
Siyo lazima awe muislam. Kwani wakristo wangapi wana mke zaidi ya mmoja? Kama vipi nyie halalisheni tu, mkafunge ndoa ya bomani. Sioni ubaya katika hilo. Hii habari ya mke mmoja ni sheria ya kanisa tu, haina madhara yoyote kiimani. Kwa uelewa wangu wa biblia, ni askofu tu ndiyo amezuiwa kuoa mke zaidi ya mmoja.
Nafikiri Lugha nzuri hapa ingekuwa ni kwamba kanisa haliruhusu mke zaidi ya mmoja. Lakini wakristo as individuals wanaoa tu. Sema mme anayeamua kuongeza mke wa pili, plus huyo mwanamke aliyekubali kuwa mke wa pili, watatengwa kwenye meza ya bwana, which is not a big deal.wakristo hawaoi mke zaidi ya mmoja
hua wana vimada visivyo na haki juu yao
tafuta wa kwako uolewe huyo kashakua wa mwingine shoooo!
Key words: mme wa mtu sukari, kuchakaza K, kibabu, ndoa naniheshimiwea na watu wote...
Well hapa sisi kama wachangiaji hadi sasa iviz kuna watu wana act the moral side.....highly rational guided with normative rationality. Wachahe sana wamejaribu kuthink outside the box.
Wengi if anything tunamtisha na amri za Mungu na mandiko badala ya kumnasihi na kuona the other side of the story. Sad.
Sad kwa sababu wengi wetu tunayafanya haya haya ila hapa ndo tunajipa high moral authority ya kumnanga huyu dada.
Ushauri wangu wa jumla nankutafakarisha ni kwamba kama ndoa ya jamaa ni guided with love kwa nini anamuacha mkewe anaenda kwa huyu dada? Kama alivosema Kongosho do we nees to go to basics kujiuliza why watu wanaoana? Kitu gani kinatuhakikishia pasipo shaka kuwa kati yao hakuna mapenzi ya kweli? Je, tuna uhakika gani kuwa ndoa ya jamaa haikuwa a matter of convenience? Je kuna namna ya kuhakikisha kuwa wote wanaofunga ndoa wana mapenzi ya kweli ili kuepuka mambo kama haya mbeleni?
Cc: Asprin Kongosho snowhite gfsonwin Dark City mzabzab Kaunga FP RR Raiza Fidel80 Memo King'asti mimisa Preta ARUshone Mrembo by Nature BADILI TABIA sosoliso saudari Nicas Mtei Mamndenyi Paloma