Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Mie nashangaa
Ukitaka kujua haya, nenda pale pa kupimia DNA, wanamme wanalea mamluki kibao toka kwa wake zao.
DUnia hii lazima uwe unajua unachotaka, kama ni kujilipua na uko comfortable unajilipua, mme wa mtu kitu gani, watu wanajilipua na akina baba paroko!!!
KAma ndoa ni ya Romeo ana Julieth, huyu Romeo anafuata nini kwa Fatuma??
Umeona eeh Kongosho....haya yote yanatokea kwenye jamii ambayo sote yunaishi. Kwa nini tunajitia upofu?
Last edited by a moderator: