Natembea na mume wa mtu

Natembea na mume wa mtu

Kweli mme wa mtu sukari, hebu cheki hili nyomi hapa chini.

Mke waujana wangu BADILI TABIA, naisubiri kauli yako nijue moja.



There are currently 148 users browsing this thread. (49 members and 99 guests)


 
We kibabu si ukalale bana, najua unamnyatia kimya kimya huyu mdada teh teh teh
Tatizo we unaniharibia. Utafanya michuchu ituogope waume za watu afu tulale na kiu. K moja haikati kiu ya mwanaume rijali bana.
 
Hahahaha unaweza kumla tigo ukafikiri unamkomoa kumbe ndio burudani yake.

Afu mama watoto umeanza lini tabia ya kuwabania wenzio wasipate utamu? Mme wa mtu siyo sumu bana.


hehehehe hubby hilo nalo neno........ Unaweza kudhani unamkomoa kumbe unampa utamu......

hubby mume wa mtu sumu tena kali...anaweza keketwa kwa kisoda akajuta
 
hehehehe hubby hilo nalo neno........ Unaweza kudhani unamkomoa kumbe unampa utamu......

hubby mume wa mtu sumu tena kali...anaweza keketwa kwa kisoda akajuta
Heheheheheh mbona mitetea haikeketani na inagegedwa na jogoo moja? Hahahahaha hata kuku wanawashinda kuelewa kuwa mme haridhishwi na K moja? LOL nalog off
 
Simulizi yako iko very clear, nakuonea huruma, haya yamewakumba wengi katika maisha. Ikimbie zinaa, unachofanya ni chukizo mbele ya Mungu aliyekuumba (Amri ya sita), Kumbuka unaingilia ndoa ya watu (Ndoa na iheshimiwe na watu wote).

Wewe bado ni kijana sana, mrudie Mungu wako kwa dhati kabisa naye atakubaliki na utapata aliyewako wa pekee ili mkapate kuoana na kuishi pamoja kama mume na mke mkitenda yampendezayo Mungu (Mapenzi ndani ya ndoa) naye atazishusha baraka zake juu yenu.

Jaribu kupiga picha kama wewe ndio ungelikuwa unaingiliwa hivyo ndani ya ndoa yako ingalikuwa vipi dada na mwisho huyu mpenzi wako unayemuita no 1, ipo siku mtaachana na hapo hakika muda utakuwa tayari umekwisha enda sana dada, please usije kumbumbuka shuka ili hali kumekucha.

Piga moyo konde upate kuyatenda mapenzi ya Mungu, achana na mambo ya kufurahisha mwili kwa kipindi kifupi cha maisha yako hapa duniani then ukabaki na majuto kwa kipindi kirefu cha maisha yako hapa duniani na baada ya hapa duniani.

Kama huyu mpenzi wako no 1, kama unavyomtaja anaweza kumsaliti mke wako wa ndoa, hakika jua ya kwamba ipo siku atafanya hivyo kwako tena jeuri kubwa, so is better kukata mahusiano sasa na upate kuwa huru na kuweza kufungua milango kwa mpenzi mpya na mume mtarajiwa,maana kwa jinsi hii sio rahisi hata mtu akikuapproach utamkataa coz already you are full occupied with somebody who is not yours in real.

Fanya uamuzi sahihi juu ya maisha yako dada.
 
Last edited by a moderator:
Angalia usije fanywa kichaa!kutembea na mume wa mtu au mke wa mtu ni hatari zaidi ya ukimwi!
watch out!
 
Huwa ninajaribu kuwaza kwa mtazamo hasi.............Mwanaume anaye mkewe afu anakupenda wewe ila anakwambia kabisa kuwa anaye mke na anampenda mkewe...................Wewe kama mwanamke uliyekamilika (si ndo maana kakufuata?)unajisikiaje?? second hand?? Na unaridhika? penzi lako ni la nguo ya mtumba kulinganisha na ile ya dukani?? Yaani unaridhika na second-hand penzi?? Jiulize wewe kama wewe unadeserve penzi la mtumba? kama alikupenda sana alipaswa kukusubiria au kukutafuta mpaka akupate lah sio wako tena, mwache tafuta wao





Akiweza amwache mkewe kwa talaka tatu akuoe wewe............................... ndo atadhihirisha penzi lake kwako otherwise huyo ni selfish na mfujaji tu anataka afaidi kote....................Samahani lakini
 
Wewe wa wapi??..
Achana na huyo MUME wa mtu..simple and clear!
It takes a woman to make a home even destroying it as well....stuka wewe!
There's no such as 'ananipenda' while the guy has his own wife and family..
Wewe mpe tu K aichakaze ila utaregret sana siku si nyingi.........
 
Wazinzi, waasherati, waongo, wenye hila naam na wote wafananao na hao hakika hawatauona Ufalme wa Mungu.
 
Huyo zaa nae mpe zawadi ya mtoto

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kimbia haraka na ukatubu.
YAK. 1:14-15
Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.

Sent using wireless by wire
 
Hahahha si unajua tena mkuu.... tunajipigia machapuo.

Hata kwenye amri za Mungu tumeambiwa "Usimtamani mwanamke asiye mke wako". Hapo ndipo mke wa mtu ni sumu inapokuja. Wanawake hawajazuiwa kutamani wanaume wasio wao......maana yake ni kuwa Mme wa mtu ni sukari.

CC: Raiza, gfsonwin, BADILI TABIA, Paloma, Kongosho, King'asti, cacico, snowhite Kaunga kwa taarifa

BCC: Kaizer, KakaKiiza, Kipaji Halisi, Fidel80, mzabzab kwa utekelezaji
mume wa ujana wangu!! nimeitika rabekha maana umeniita! nakupenda hubby wangu!
 
Back
Top Bottom