Natamani kuvuta bange!

Bange naiaminia sana! kwetu tnaiita bangi! vuta wala haina matatzo utakuw free sana kimawazo na kfkra! amin usiamin hakna mtu smart ambaye hatumii bange!
Smile usimskilize huyu! angalia hicho anachokifanya kwenye avata yake,

avatar108484_2.gif

then unganisha na location yake aliyoweka kwenye profile yake:

Join Date : 29th October 2012

Location : MIREMBE HOSPITAL

Posts : 663
Rep Power : 464
Likes Received103
Likes Given17
 
Last edited by a moderator:
Smile jitahidi utafute kitabu kinaitwa How To Stop Worrying And Start Living by Dale Carnegie. kitakusaidia sana kama utakihitaki mimi ninacho in soft copy (pdf).
 
drug siwezi kugusa aisee najipenda kuliko chochote...hiyo link haifunguki bwana

andaa na chakula cha kutosha maana BANGHE sio mchezo....
Kwenye hasira kuna post moja ipo JF doctor ni nzuri wadau walitoa mawazo mazuri sema nimeshindwa kuweka link hapa..
 
Dah asante mkuu kwa kunishtua
smile usimskilize huyu! Angalia hicho anachokifanya kwenye avata yake,

avatar108484_2.gif

then unganisha na location yake aliyoweka kwenye profile yake:

Join date : 29th october 2012

location : mirembe hospital

posts : 663
rep power : 464
likes received103
likes given17
 
smile jitahidi utafute kitabu kinaitwa how to stop worrying and start living by dale carnegie. Kitakusaidia sana kama utakihitaki mimi ninacho in soft copy (pdf).
mbona watu wanafaidi ulevi hivo bwanaa
 
yaani unamawazo kama yangu acha nione wanakushauri nn
na mie nitakuwa sina haja ya kuandika thread.
 
andaa na chakula cha kutosha maana banghe sio mchezo....
Kwenye hasira kuna post moja ipo jf dictor ni nzuri wadau walitoa mawazo mazuri sema nimeshindwa kuweka link hapa..
mi sitaki kunenepeana bwana sitaki kula kula ovyo
 
Kwakweli hata mimi nilijigundua kuwa jamii haijui ukweli wowote juu ya Marijuana. Marijuana ina Myths nyingi kuliko kitu chochote hapa duniani. I was brainwashed na watu na maneno.

Nenda YouTube, kuna documentary 3 kubwa zinazoelezea tafiti na maelezo ya madaktari walioanza kufanya utafiti tangu 1973 mpaka leo, utaona na kujifunza mengi sana.

Facts zinasema, Marijuana haiui, Ni safe na salama zaidi ya kahawa, Haileti tatizo kwenye ubongo ikitumika kwa mtumiaji mwenye umri zaidi za 21, Haijawahi kuua mtu, inatibu na kupunguza/kuondoa seli za kansa, inakupa hamu ya kula ndio maana wagonjwa wa kansa na HIV wanatumia, ni relaxant bora kuliko pombe, na sigara.

Hivyo, hakikisha unaitumia peke yake (usichanganye na sigara wala pombe kama wahuni wengi wanavyotumia), hakikisha una miaka zaidi ya 21 (kipindi ambacho Canabinoid Receptors za Ubongo zinakuwa zimekomaa na zinakusaidia kubalance THC). Kila mwanadamu ana hizo receptors na katika evolution zimeanza tangu 65mil years ago, thats how amazing God created us with receptors kwa ajili ya kupokea THC tu, wala hazina kazi nyingine.

Amazing plant, and blessed.
 
Shukrani mkuu nitafata maelekezo
kwakweli hata mimi nilijigundua kuwa jamii haijui ukweli wowote juu ya marijuana. Marijuana ina myths nyingi kuliko kitu chochote hapa duniani. I was brainwashed na watu na maneno.

Nenda youtube, kuna documentary 3 kubwa zinazoelezea tafiti na maelezo ya madaktari walioanza kufanya utafiti tangu 1973 mpaka leo, utaona na kujifunza mengi sana.

Facts zinasema, marijuana haiui, ni safe na salama zaidi ya kahawa, haileti tatizo kwenye ubongo ikitumika kwa mtumiaji mwenye umri zaidi za 21, haijawahi kuua mtu, inatibu na kupunguza/kuondoa seli za kansa, inakupa hamu ya kula ndio maana wagonjwa wa kansa na hiv wanatumia, ni relaxant bora kuliko pombe, na sigara.

Hivyo, hakikisha unaitumia peke yake (usichanganye na sigara wala pombe kama wahuni wengi wanavyotumia), hakikisha una miaka zaidi ya 21 (kipindi ambacho canabinoid receptors za ubongo zinakuwa zimekomaa na zinakusaidia kubalance thc). Kila mwanadamu ana hizo receptors na katika evolution zimeanza tangu 65mil years ago, thats how amazing god created us with receptors kwa ajili ya kupokea thc tu, wala hazina kazi nyingine.

Amazing plant, and blessed.
 
Cjapenda ulivyoiweka profile yng hapa!
Smile usimskilize huyu! angalia hicho anachokifanya kwenye avata yake,

avatar108484_2.gif

then unganisha na location yake aliyoweka kwenye profile yake:

Join Date : 29th October 2012

Location : MIREMBE HOSPITAL

Posts : 663
Rep Power : 464
Likes Received103
Likes Given17
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom