Natamani kuvuta bange!

Natamani kuvuta bange!

Ahahaaa umesahau jumong
the man called god
ni balaaa
hahahaaaaaaaa! (its not a laughing matter!)

ukisikia yalaaaaaaaah!!!!!! Ujue mtu mzima mwenzio yamemfika na yamemshika pabaya!!!!!!!!!!!!!!!!!

Mi nakushauri uangalie korean movies ni very addictive kuliko bange!

Anza na zifuatazo

worrior don soo

the princess's man

city hunter

the land of wind

the painter!!!!!!!
 
bangi sio suluhisho coz mwisho wa siku utaizoea na utaona haikutoshi afu utaanza kubwia ma drug
drug siwezi kugusa aisee najipenda kuliko chochote...hiyo link haifunguki bwana
 
Ahahaaa umesahau jumong
the man called god
ni balaaa

Jumong ndo the land of wind! A man called God sikuipenda ya kidigitali zaidi! Hamna mibisu na kungfu mule!
 
Ila usitumie kitu cha sudan si salama kwa beginners,lazima uende internship tarime huko utakutana na wenzio na pia utapata fursa kutembelea shamba darasa.
 
jumong ndo the land of wind! A man called god sikuipenda ya kidigitali zaidi! Hamna mibisu na kungfu mule!
iyo a man zipo mbili moja sikuielewa ila iyo ingine nzuri kweli kweli jumong kacheza kidigital lakini ipo pouwa sana nadhani umepata ile ambayo ipo shallow
 
ila usitumie kitu cha sudan si salama kwa beginners,lazima uende internship tarime huko utakutana na wenzio na pia utapata fursa kutembelea shamba darasa.
nipe mchakato ndugu kumbe kuna kitu hadi cha sudan?
 
Bange naiaminia sana! kwetu tnaiita bangi! vuta wala haina matatzo utakuw free sana kimawazo na kfkra! amin usiamin hakna mtu smart ambaye hatumii bange!
 
mi mkristo mkuu
Aaagh!!, samahani, sasa tusemeje,Bwana asifiwe au?
Anyway, achan na hayo.

Siggarate smoking is very dangerous, ni bora mara mia ukawa mlevi, if you are really serious with what you are saying,
Ni hayo tu.
 
bange naiaminia sana! Kwetu tnaiita bangi! Vuta wala haina matatzo utakuw free sana kimawazo na kfkra! Amin usiamin hakna mtu smart ambaye hatumii bange!
wachaaa! Hata presidaa anatumia?
 
aaagh!!, samahani, sasa tusemeje,bwana asifiwe au?
Anyway, achan na hayo.

Siggarate smoking is very dangerous, ni bora mara mia ukawa mlevi, if you are really serious with what you are saying,
ni hayo tu.
mlevi wa nini sasa pombe nimeshindwa ..ngono nayo sifagilii
 
nipe mchakato ndugu kumbe kuna kitu hadi cha sudan?

Ma-bob marley ya sudan ni noma unaweza kujikuta umeenda na taulo ofisini.Anyway ngoja ni check na wale cop wa arusha wakupe kifurushi cha kuanzia maana sidhani kama ule mzigo watakua wameumaliza by now.
 
ma-bob marley ya sudan ni noma unaweza kujikuta umeenda na taulo ofisini.anyway ngoja ni check na wale cop wa arusha wakupe kifurushi cha kuanzia maana sidhani kama ule mzigo watakua wameumaliza by now.
teh teh
 
Back
Top Bottom