Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Mazingira yanayotengenezwa sasa ndio chachu na ramani ya kujenga mjengo wa kitunisia na kimisri japo wewe waona kuwa udikteta ndiyo kinga kwa yaliyotokea misri. We are building an evil society
 
 
Nimefurahika sana kwa jibu baada ya kusoma majibu ya wadau hapo juu. Huu ndio ukosoaji wa kizalendo. Lakini tumumbwa tofauti lazima wadau kama hao hapo juu wawepo.
 
Sheria IPI anayoilinda na iliyompa mamlaka ya kupiga marufuku mikutano ya halaiki ya vyama vya Siasa
Unaweza kuwa ulijitayarisha kwa kuweka Hoja nzuri. Lakini pale moyo unapotangulia akili ndipo palipo kukisesha Tu.
Sio mzimamizi mzuri wa sheria
Msimamizi mzuri wa sheria ni yule anayetumia sheria zinazomruhusu kutenda au kuacha kutenda huku akiheshimu zile zinazomkataza kutenda au kutotenda jambo
 
NN sidhani kama ana maana alegee kwenye mapambano dhidi ya Ufisadi na uvivu lah. Mapambano dhidi ya wenye mawazo kinzani na yake ndio anayombewa ashindwe na alegee
Mapambano dhidi ya ufisadii Hureeeeee
 
Where we dare to talk openly
JF yenu inaslogan gani ?
Amini ya kuwa jambo laweza kuwa la kijinga kwako kwa sababu Tu huna taarifa sahihi. Mkianza kuchuja mtachuja kwa kutegemea nini ?
Objectivity itakuwa wapi ? Chukua linalokufaaa achana na lisilokufaa wewe lakini kuna mty mahali au wakati furani litamfaa.
Maana ya uhuru wa kuroploka iko hapo Mkuu
 
Uhuru wangu wa kufikiri na kusema ninachofikiri unapita umuhimu wa mengine yote. Mengine yote yangekuwa na maana kama angelinda uhuru wangu wa mawazo na kutoa niwaxacho pasipo kijibiwa kwa polisi kunikamata bali kwa mawazo pia
Kwenye Equation ya maendeleo ya taifa lolote uhuru wa kutoa maoni ndiyo msingi wa mafanikio katika nyanja zingine zote
 
endeleeni kubwabwaja tu...huu uzi ni kwa ajili ya wtu wnye green card
 
Magufuli naye ni binadamu ana mazuri yake na mapungufu, tusamehane kwenye mapungufu.
Ukiweza kumfanya atambue hilo utakuwa umetatua tatizo kubwa sanaaa
Wewe unawaza hivyo kuhusu yeye ! Je ? Na yeye anajitambua hivyo ?
 
Sasa uzuri wa forum kama hii ni pale ambapo wewe unayejua kweli tofauti na ya mwingine unaweka ili wengine wapata chakula ya ubongo kukuchambueni hoja zenu. Kuzia hilo ni kufanya watu wasifikiri Bali wanene Yale wanayosikilizishwa Tu.
Hoja ijibiwe kwa hoja na sio kwa polisi na virungu. Personal attack kwa yeyote ziwe handled inavyotakiwa na watu waelimishwa namna ya kujadili na kuwakilisha mawazo pasipo kulenga nafsi
 
Mfano
Sio jambo ukisema ni la uzushi ili mradi linakufedhejesha basi kweli linakuwa na uzushi. MTU akiandika kuwa ulibaka mtoto.wawza kusema la uzushi kwa kuwa Tu unatambua kuwa hukuonwa! Kusema kuhusu jambo hakulifanyi kuwa kweli kama sio kweli na halulifanyi kuwa la uwongo kama ni la kweli.
Truth is objective bro
 
Hii tabia ya kutaka kuweka taasisi ya Urais juu ya kila kitu ni aina ya udhaifu na madhara yake ni makubwa sana.
Kama inakaliwa na binadam utukufu inaopewa ni batili ndugu yangu. Nakubaliana nawe kuhusu staha sio kwenda kwa rais pekee Bali kwa binadam wote kuwa na staha dhidi ya bibadam mwingine ypyote pasipo kihali hali take yoyote.
Tuache kujenga matabaka kwa kukuza taasisi kupita Mungu
Atheist wanayo haki na Mungu anawapenda pasipo kijali namna wanamsema au kumwandika
Kwa nini Taasisi ya Urais ambayo twamini iko chini ya Mungu ipewe utisho ambao Mungu hajajipa ?
 
Atokeee, tumemchoka jamani, kama vipi nipeni bomu nikajitoe mhanga, nipo tayari kwa sababu sina furaha yoyote duniani hapa,, nipeni bomu
Wewe ndiye mbaya kuliko. Hoja inajibiwa kwa hoja
Paza sauti habari ya kutumia vitu unavyosema ni matokeo ya ukichaaa ndugu yangu. Jenga hoja za kujenga na kurekebisha matumizi ya dhana dhidi ya binadam mwenzako ni ujuha perse
 
Hivi kwa nini mlalamika awe Polisi, Mkamataji awe Polisi pia ?
Tunafanya nini Tz
 
Kushindwa kwa Magufuli ni kushindwa kwa watanzania wote, kufanikiwa kwa Magufuli ni mafanikio kwa watanzania wote. Nawaomba ndugu zangu tuweke utaifa mbele. Ni mawazo yangu lakini nisiwakwaze
Read between lines uelewe maana ya "ashindwe"
 
Wewe ndiye mbaya kuliko. Hoja inajibiwa kwa hoja
Paza sauti habari ya kutumia vitu unavyosema ni matokeo ya ukichaaa ndugu yangu. Jenga hoja za kujenga na kurekebisha matumizi ya dhana dhidi ya binadam mwenzako ni ujuha perse
Duh!

Mshikaji vipi?

Naona umeamua kweli kweli leo.
 
Ashindwe kwenye kuwaziba watu midomo au ashindwe kwenye kila jambo?
Naamini kwenye kuminya uhuru wa maoni kwa mapana yake Tu. Wanaofikiri kuwa ashindwe kufanya kazi njema hawajaelewa bandiko la NN
 
Umesahau kuwa kusema mtu wa chombo cha usalama kapokea Rushwa ni jambo Jema kwa mchukia Rushwa lakini ni jambo baya kwa asiyetaka ijulikane
Hoja ijibiwe kwa hoja watu wasifungwe midomo !
 
Unajua sio siri najaribu sana kumpenda Magufuli lakni nashindwa. Kuna baadhi ya mambo anafanya vizuri lakni mengi ni hovyo. Sisi sio wasukuma wote kuna makabila 120 na dini na wasiokuwa na dini. Nchi inahitaji busara zaidi kuongoza sio sifa za kijinga au hasira.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…