Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Ona hili lioga kweli.Siku nyingine ukinywa pombe kunywa kistaarabu zita kughalimu mkuu,ya ngoswe mwachie ngoswe
Ona hili lioga kweli.Siku nyingine ukinywa pombe kunywa kistaarabu zita kughalimu mkuu,ya ngoswe mwachie ngoswe
Acha ujinga dili gani kila raia anayo kafie mbele.Wapiga Dili utawajua tu
Unadhani hata anapoua kama kule mto Ruvu anatoa taarifa,wewe ni kichaa kama yeye.mpaka sasa hivi ndiyo. Kwa sababu akiagiza jambo lazima mara zote ututaarifu wananchi yeye mwenyewe ama kupitia kurugenzi ya habari Ikulu.
Wewe ndio hujui shida za watanzania.Inawezekana kabisa wengi wetu humu tumeathirika na Viroba, kwa uchangiaji huuu sion staha na U great thinker zaidi ni Uhuni na Usela mavi au Kutafuta umaarufu wa vitu vya ovyo ovyo.
Mwoga kama nini?Be care my son
Sheria gani amekiuka...? Yeye kuomba taarifa binafsi za wateja wake na kukataa ndio kukiuka sheria..?Ila kuna sheria kweli Max amekiuka
unaidhalilisha hiyo avatarKm wewe Mungu upangalo linakuwa bac atashindwa
wewe ndomvamizi hebu angalia kwanza huyu mleta uzi ...........ni naniJukwaa limevamiwa kwa Uzi kama huu litaendelea kuwepo kweli?
Ni kama Game of Thrones, kuna muda diplomacy ikitumika kama ile ya kuongea na Dangote mafikiano yanafikiwa kazi inaenda. Ila udikteta ukianza kutumika mfano huo huo wa Dangote hadi akatishia kufunga kiwanda.
Yaani kuna watu they never learn their lessons kua siku zote diplomacy works just fine, it has worked so for many countries na zikafanikiwa, yeye anajaribu kuiga ya China na Russia, ila anasahau hizo nchi zina sababu yao, kama China hawabani Facebook au Google kwa sababu ya freedom, wanabana kwa sababu ya pesa tu, hizo companies zingeleta competition to local companies kama Baidu na WeChat ambazo ni very popular na zinatengeneza billions of dollars. Russia kuna freedom kuliko Tanzania regardless ya propaganda watu wanazosikia.
2020 nishajua ambaye hapati kura yangu, japo watanzania wanajulikana wakisikia neno mungu kura zote wanampa.
Kuliko yule aliyepiga dili ya kivuko chakavu!Ama kweli wapiga Dili mmeshikwa pabaya.
Haha we jamaa bwana, kwanini usijipambanue na hao wanaotumia ID feki kwa kutumia majina yako "kama yananavyo onekana kwenye vyeti vyako"?Kwani mtu ukitoa maoni yako pasipo kutoa matusi au ukianzisha uzi wenye uhalisia na usio wa kichochezi unakuwa na hofu ya nini?
Tatizo lililopo kuna baadhi yetu tumekuwa maarufu kutunga stori za uongo na kuzijengea hoja then tunataka jamii iamini kama ni kweli kumbe ni upotoshaji
Mtu kama umeanzisha mada yako na ushahidi unao kwa nini uogope? Endapo utahitajika polisi si unapeleka ushahidi?
Fikiria mtu anayeanzisha uzi hapa eti Dangote anahamishia kiwanda Kenya na hizo habari zinasambaa dunia nzima kumbe ni uonge pasipo kufikiria negative impacts kwa wawekezeji walioko huko nje. Mtu kama huyu leo hawezi fanywa kitu sababu tu anatumia ID feki sishangai kesho akaibuka na jambo jingine
Watu wa namna hii lazima washughulikiwe hakuna kulea ujinga. Watanzania tumekuwa maarufu sana wa kupika majungu
Ninakubaliana na wewe kabisa uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe na watawala kwani ni takwa la kikatiba lakini uhuru huo lazima uzingatie utu na nidhamu.
Leo mtu akimchukia mtu flani sababu za kiitikadi za vyama au jambo lolote, kesho anamtungia tuhuma na kusambaza kwenye mitandao. Vitu vya namna hiyo siyo vya kulea