Nataka Rais Magufuli ashindwe

Nataka Rais Magufuli ashindwe

Status
Not open for further replies.
Inawezekana kabisa wengi wetu humu tumeathirika na Viroba, kwa uchangiaji huuu sion staha na U great thinker zaidi ni Uhuni na Usela mavi au Kutafuta umaarufu wa vitu vya ovyo ovyo.
Hilo ni tatizo la nchi nzima. Kuanzia juu hadi vitoto vidogo. Na wewe pia ni mhusika mkuu naona maneno yamekutoka bila hata kujitambua.
 
Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.

Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.

Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.

Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hizo azma yake iwe muhali.

Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.

Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.

Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.

Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.

Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?
Ashindwe, Alegee, Anyong'onyee na asiamke tena . labda kama atatubu dhambi ya kutupeleka zama za zidumu fikra za Mwenyekiti
 
Km wewe Mungu upangalo linakuwa bac atashindwa
Wewe wataka asisbindwe kutifunga vinywa ? Soma kwa utuo. Anaombewa ashindwe kwenye kuendesha taifa kidikteta na kugawa haki ya kufikiri na kusema kwa wapendwa wake wachache na kuwasakizia majirani asio wapenda ili mradi waumizwe kwa kutafunwa na mbwa wenyewe au waumie wakiwakimbia Mbwa
 
Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.

Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.

Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.

Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hizo azma yake iwe muhali.

Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.

Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.

Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.

Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.

Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?
Lakini pia isije kuwa Max anatumika kama instrument ya political diversion ili tuache kuhoji maiti wa kwenye Sandarusi MTO Ruvu na kutoonekana kwa Wapendwa wetu
 
Miezi michache iliyopita rais Magufuli alisema anatamani malaika ashuke [sijui ashuke toka wapi] aje kuizima mitandao ya kijamii ambayo tumekuwa tukiitumia kupashana habari na kubadilishana maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali.

Baadhi yetu tuliyachukulia maneno hayo kama ishara ya mambo yajayo kuhusu uminywaji wa hii mitandao na haki ya watu kuitumia kwa kujieleza, kutoa maoni, na kuikosoa serikali.

Sasa kitendo kilichotokea jana cha kukamatwa kwa Max kimethibitisha kuwa huu utawala wa Magufuli umeazimia kutuziba midomo kwa kutumia mabavu ya dola.

Kwa hilo mimi nataka huyo Magufuli ashindwe na alegee kabisa. Sitaki kabisa afanikiwe hata kidogo na watu wote wenye akili zao timamu hawana budi kumpinga na kuifanya hizo azma yake iwe muhali.

Kupinga udhalimu ni jambo la adhama. Na huyu mtu tayari keshaonyesha dalili zote za udikteta. Hivyo tumpinge kwa pumzi na nguvu zetu zote. Kwanza ni mtumishi wetu na si vinginevyo.

Hizi siyo zama za kupelekeshana kwa vitisho. Haogopwi mtu zama hizi.

Akichemka tutamkosoa tu. Akichapia Kiingereza tutamcheka tu. Kama hana ngozi nene ya kuweza kumudu na kuvumilia kuongelewa kwa namna yoyote ile basi aondoke. Aachie ngazi.

Mtu mwenyewe kwanza hafai kuwa rais. Hana haiba ya urais, hana hekima wala busara zinazotakiwa mtu wa kiwango cha rais kuwa nazo. Kila akifungua mdomo wake mtu unaanza kuombea asiongee maneno ya kuaibisha.

Sikuwahi hata siku moja kudhani kuna mtu angekuja kumpiku JK kwenye ubomu lakini ndani ya mwaka tu huyu jamaa keshamuacha mbali mno JK. Pata picha hiyo miaka minne iliyobaki hali itakuwaje.

Huyu mtu tumdindie. Tukinywea atavimba kichwa na kujiona ana nguvu nyingi ilhali hana. Hana nguvu za kuweza kuzidi nguvu ya umma.

Kwa hiyo mimi nataka ashindwe. Tena ashindwe vibaya. Je wewe mdau wasemaje?

Police kazi yao ni kuenforce sheria, sheria zinatungwa na bunge na kusainiwa na Raisi. Ni bunge lipi lilipitisha sheria hizi za mitandao? Na Raisi gani alisain sheria hizi?

Msiwe wanafki Magufuli anaingia vipi hapa? Polisi wana enforce law ambazo magufuli kazikuta.

Acheni unafki.
 
Kwani mtu ukitoa maoni yako pasipo kutoa matusi au ukianzisha uzi wenye uhalisia na usio wa kichochezi unakuwa na hofu ya nini?

Tatizo lililopo kuna baadhi yetu tumekuwa maarufu kutunga stori za uongo na kuzijengea hoja then tunataka jamii iamini kama ni kweli kumbe ni upotoshaji

Mtu kama umeanzisha mada yako na ushahidi unao kwa nini uogope? Endapo utahitajika polisi si unapeleka ushahidi?

Fikiria mtu anayeanzisha uzi hapa eti Dangote anahamishia kiwanda Kenya na hizo habari zinasambaa dunia nzima kumbe ni uonge pasipo kufikiria negative impacts kwa wawekezeji walioko huko nje. Mtu kama huyu leo hawezi fanywa kitu sababu tu anatumia ID feki sishangai kesho akaibuka na jambo jingine

Watu wa namna hii lazima washughulikiwe hakuna kulea ujinga. Watanzania tumekuwa maarufu sana wa kupika majungu

Ninakubaliana na wewe kabisa uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe na watawala kwani ni takwa la kikatiba lakini uhuru huo lazima uzingatie utu na nidhamu.

Leo mtu akimchukia mtu flani sababu za kiitikadi za vyama au jambo lolote, kesho anamtungia tuhuma na kusambaza kwenye mitandao. Vitu vya namna hiyo siyo vya kulea
Unatumia kipimo gani kujua kuwa taarifa ya JF memba ni uwongo ila ya waziri au Rais ni kweli ?
Hoja ijibiwe kwa hoja
Kutumia virungu au Mahakama kujibu hoja ni utoto
Kama umekuwa Attacked in person na JF member ni kitu tofauti na kutopenda hoja inayokinzana na mtazamo wako.
Hata swali la kipumbavu kama lina Sifa ya kuwa swali linatakiwa kujibiwa.
Hii hali ya kutaka fikra zitoke point moja tu ni ushetani uliopitwa na wakati
 
Ndio maana Nagufuli anaamua kuwabana watu wajinga kama ninyi sasa ishu ya viwanda hapa inatoka wapi? Mpinge Magufuli kwa hoja siyo unakuja hapa kwa vimaneno vyako vya jejeli alaf eti unasema ndio unakisoa
Viwanda ndiyo agenda kuu ya nchi yetu kwa sasa wee wa wapi? Sasa kama hutaki tuzungumzie viwanda unataka tuzungumzie nini basi?
 
Inawezekana kabisa wengi wetu humu tumeathirika na Viroba, kwa uchangiaji huuu sion staha na U great thinker zaidi ni Uhuni na Usela mavi au Kutafuta umaarufu wa vitu vya ovyo ovyo.
Nimeona u GT wako kwenye andishi lako. Keep it up
 
Julian Asange hakufanya kosa lolote lakini sasa mwaka wa 3 jua analiona kupitia dirishani pamoja na vyombo vyote vya habari ku report huku ni kujipa moyo tu kuna waandishi wa Aljazeera wapo misri wameswekwa ndani lakini misri inapata misaada kibao kutoka marekani. Mimi ngoja ninyamaze maana nimeona wameanza kuzifuta comments zangu japo situmii lugha chafu na wanawaacha wanaotukana
Tanzania siyo Misri. Usipoipa msaada Misri unataka IS na Muslim Brotherhood washamiri. Madhara ya IS kwa Ulaya ni zaidi ya athari ya waandishi wa habari kusweka ndani bila hatia.

Tanzania mkinyimwa misaada, Amerika na Ulaya wataathirika vipi?
 
Poti,

Umeandika hii kitu umekasirika. Calm down bro. Magufuli akishindwa in Tanzania imeshindwa. Si yeye. Tutakaoumia ni sisi. We should always know Tanzania is bigger kuliko hasira zetu. Uhuru una gharama na bahati mbaya Max ndo amekuwa kafara. Na wengine watafuata.

Possibly members humu na kwingineko tuanzishe fund ya kuwatetea akina Max. In fact it is good ameenda mahakamani tutajua mbichi na mbivu.
Read between lines. Context context context ...
 
Mkuu,huyu kiongozi sio mbaya ila kuna vitu vichache anakosea kama binaadam kwa kuruhusu mihemko yake binafsi iliyopitiliza kwenye mambo ya msingi,anatakiwa ajicontrol sana kwani mara nyingi jambo hili humuaribia,abadilishe mindset yake juu ya wanaomkosoa,naamini kwa uchapakazi wake akisikiliza hoja zao na kupata ushauri wa watu wake wa karibu anaowaamini zaidi,anaweza kutoboa sana,kwani sio wote wanaokukosoa hawana hoja,akilitambua hilo atafanya mambo makubwa sana

Akizipanga vizuri karata zake,anaweza kuwa the best president ever happened in our country
Hoja yako ni self defeating ...sio mbaya lakini kuna vitu...
Kama sio mbaya atakuwa sio mbaya Tu. Sio mbaya lakini mbaya ...self defeating ;a statement
 
Vijana wa Kitanzania mnaongoza kwa UNAFIKI ulimwenguni. Unatumia Fake ID humu JF wakati huo huo unahoji Uhalali na Utendaji wa Rais wa Jamhuri ya Muungano! Ama kweli wapiga Dili mmeshikwa pabaya.
Your Id tells a lot
 
Police kazi yao ni kuenforce sheria, sheria zinatungwa na bunge na kusainiwa na Raisi. Ni bunge lipi lilipitisha sheria hizi za mitandao? Na Raisi gani alisain sheria hizi?

Msiwe wanafki Magufuli anaingia vipi hapa? Polisi wana enforce law ambazo magufuli kazikuta.

Acheni unafki.
Aliyezisaini hizi sheria kwa sasa keshageuka malaika na mmojawapo wa marais bora kabisa tuliowahi kuwa nao tangu tupate uhuru. Walikuwa wanamwita Mkwere Mr. Dhaifu Vasco da Gama wanamtukana mitandaoni anawachekea na kuwaita ikulu kunywa chai kumbe ndo anatumaliza. Leo utekelezaji wa sheria zake umeanza povu kila kona mwenyewe yuko zake Msoga anatumbua. Mitanzania (na mimi nikiwemo) hovyo kabisa!
adf576319955439e75739ba75c577d5b.jpg
3ddaf87892ee4b4bda267f78391c57e5.jpg
 
Kwa maoni ya wadau inaonekana watu wameshaanza kumchoka mh rais wetu hivyo basi ni jambo la kujihoji kwa nini raisi wetu mpendwa wamchoke ghafla ila nakumbuka mzee mmoja wa ccm bila kukosea alishawai kusema jf ndiyo imeimaliza ccm na akawashauri vijaba wenzangu wa ccm tujiuunge kwenye mitandao ya kijamii na tujibu mapigo kwa hali hiyo siwez kushangaa na haya yanayo tokea.
 
Kwa nini usimdindie wewe mmeo na watoto wako nyumbani kwako mpaka utuhusishe sisi. Chuki binafsi ni matapishi tu unayotuletea hapa. Hatuna muda nazo. Kama umeshindwa maisha hapa duniani kwa nini usijaribu ahera !
unamuda umependa na ndio maana umejbu
 
Watu wa aina yako ni wengi ktk Africa na Tanzania binafsi sioni shaka inawezekana upo kazini ni sehemu ya maisha yako.
Kwa kizazi cha aina yako Africa na Tanzania inahitaji miaka 10000 kufikia Dunia ya kistaarabu.
Sasa ndugu katika akili ya kawaida hili jukwaa la siasa unaona kuna u-great thinker wowote(Niko tayari kukosolewa)
 
DAH, mkuu umeongea POINT sana ,tatizo watu wanaendeshwa ka mihemko badala ya kuufikirisha ubongo na tafakuri za kina,kweli kuna haja ya uwepo wa uhuru wa maoni tena mpana na usio na mwisho lakini uhuru huo usiwe wa mtu kaamka na mindoto yake anakuja humu anatoa stori za ajabu ajabu za kutunga tunga kisha aachiwe tu,

hata huko kwa wenzetu uhuru hupo ila wanautumia kwa nji ipasavyo,mfano kuna mijitu hapa Jf lazima kila siku iweke uzi ambao hauna kichwa wa miguu mradi tu naye aonekane ameweka uzi,kwa kweli ukifikiria sana unaona sisi wenyewe ndio tunajikosea heshima na kuifanya serikali itafute nji ya kuminya uo uhuru,ikumbukwe haijakatazwa kukosoa,kaa kukosoa tukosoe sana tena bila aibu wala hiyana yeyote lakini katika kosoa hiyo tuzingatia ukweli,staha na madhara ya huo ukosoaji wake,

wakati mwingine unasoma uzi unajiuliza huyu ni mtanania kweliii au ni pandikizi la mataifa jirani? ndugu zanguni machafuko ya Misri,Tunisia Libya na nchi nyingin za kiarabu kwa kaisi kikubwa yalitokana na watu kulishana matango pori juu ya serikali zao na hiyo ilikuwa ni mikakati ya nnchi za ng'ambo kuziharibu nchi za kiarabu,atokeo yake watu wakaamini propaganda na kuamua kujiweka rehani kwa kitu ambacho hakina ukweli wowote ule,leo hii hata hawajielewi .

Leo hii walibya wanalia,wamisri wanalia,watunisia wanalia ,wamepoteza ndugu na jamaa zao kwa ujinga ,kwa kudanganywa na kuchonganishwa,

Kuhusu suala la mmiliki wa Jf kukamatwa na leo inasemekana atafikiswa mahakamani,nazani watanzania hapa hatuahitaji kuwa kama WEHU,tusio jua nini maana ya mahakama,maadamu imebainika kile kilichosababisha akakamatwa na kuzuiliwa ndani ,vema tukawa watulivu huku tukiacha mahakama kazi yake ,ndio tuanze kuja na hayo malalamiko yetu mara baada ya maamuzi kutoka kwani ukitazama sheria Mmiliki wa JF na polisi wote wako sawa katika madai yao.

Mwisho watanzania nchi hii ni yetu sote,hakuna mwenye kusema hii ni nchi yangu,kama umezaliwa tanzania mkono wako wa kulia unaalama ya ndui,ni wajibu wako kuilinda tanzania dhidi ya wanapropaganda wanaoishi kwa kueneza maneno ya ajabu ajabu juu ya Tanzania,maneno ambayo hayana hata tone la ukweli.

Tukikubali hali hii mwisho wa siku tutajikuta tunalia na kujutia,mifano ya misri,libya na tunusia sio ya kubeza,tunachotakiwa kuzingatia hapa tusikubali yaliyotokea huko yanatokea hata hapa kwetu,japo kweli kuna baadhi ya maeneo ambapo serikali haijafanya vema lakini subra na utulivu ulio na uvumilivu vibaki kuwa mioyoni mwetu, wenzetu wa Ghana walivumilia mwisho akafanya maamuzi ya kistarabu na maisha yanaendelea,so na sisi hatuna budi kufanya hivyo kama tu tumewachoka watawala hawa tulio nao.
Uhuru unaotakiwa ni sawa na wa kujiunga JF Mkuu. Kwa kuwa kungekuwa na usaili kuhusu reasoning wewe usingejiunga shukuru ni garbage in garbage out
Unachosema kwenye andiko lako ni sensorship jambo ambalo linapigwa vita
Wajua kuwa naweza ongea jambo ambalo kila MTU atakuwa na tafsiri yake kutegemea rationality ya kila mmoja. Wengine waweza srma ni nonsense huku wrngine wakisema ni no nonsenses
Ukiweka mipaka utakuwa ama unawafanya wenye uwezo wa kutambua no nonsenses wasiweze kunisoma nikabaki kusomwa na wenye malyenge ya kuona non senses Tu
Waafrika wengi na watz wengi sana tunaongozwa na machale (imagination ) kuliko fikra (reasoning ) rejea andishi lako na utafakari tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom