Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Ujue umenishika love.. usitegemee uke wenza wala mchepuko....

Sasa hivi labda viwine na vibeer ndiyo adui wa mmeo

Aaameeennn!!!!! ♡♡♡♡ mmwaaah!!
 
Hapo nimeelewa.... basi ntafanya siri na baba yeyooo sitamwambia..... ila nikiwa kwenye kikao mwambie asiwe na wivu wala wasiwasi kuwa niko na wewe....
hapo sawa kabisa. naanza kukupenda zaidi
 
[emoji16][emoji16] crazy wewe.

Halafu toka umekuja naona haujamsalimia wifi yako kulikoni
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Abomination(in Nigerian voice)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom