Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,238
- 36,272
Iko hivi.....
Siku zote waswahili husema, wakati ukuta ukipigana nao utaumia. Baada ya kupambana na kubishana sana na mawazo yangu nikasalimu amri.
Hatimae nikakubali ombi la Le Mahabat wa Kasie.. ...
Ombi alilonitumia ni kutaka nimpe mkono wangu, nimuamini tuishi wote pamoja yaani Kasie na Le Mahabat.
".....
Kasie beibe.....
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto beibe Kasie.. .
Nataka tuishi wote pamoja...
Nataka niwe na wewe milele Kasie.. ..
Nataka tuishi wote pamoja.....".
Naanzaje kubisha sasa maana kwa maneno hayo kanikumbusha enzi cha kiuno bila mfupa Ray C.
Le Mahabat wa Kasie.. ... mwaah!!
Siku zote waswahili husema, wakati ukuta ukipigana nao utaumia. Baada ya kupambana na kubishana sana na mawazo yangu nikasalimu amri.
Hatimae nikakubali ombi la Le Mahabat wa Kasie.. ...
Ombi alilonitumia ni kutaka nimpe mkono wangu, nimuamini tuishi wote pamoja yaani Kasie na Le Mahabat.
".....
Kasie beibe.....
Nataka niwe na wewe milele
Nataka tuwe na watoto beibe Kasie.. .
Nataka tuishi wote pamoja...
Nataka niwe na wewe milele Kasie.. ..
Nataka tuishi wote pamoja.....".
Naanzaje kubisha sasa maana kwa maneno hayo kanikumbusha enzi cha kiuno bila mfupa Ray C.
Le Mahabat wa Kasie.. ... mwaah!!