Kweli kabisa. Waulize wana mmuYa kweli haya
Amina my dada. Thats why i love youSinaga tabia mbaya zaidi ya kwenda disco, nimefundwa kwetu kuwa ninapotongozwa shurti nipige hodi kama hakuna mwenyewe basi naingia ndani najimwaya na kama kuna mtu basi nampa zake heshima kwa kutangulia kisha namfahamisha mie ndo mdogo asipoweza ukewenza aniachie himaya. Tatizo langu Kasie ni mbinafsi, nikitangulia mie akija bi mdogo namkaribisha na kumueleza mema na mabaya ya himaya halafu namuachia achambue akili ku mkichwa wake. Akiweza kunivumilia timbwili langu basi tutaishi wote akishindwa anasepa ananiachia himaya. Laah kama mwanaume anaenda tafuta bi mdogo niliyemzidi kwa kila kitu kuanzia uzuri tabia hadi akili.... basi natoka mie kwenye himaya maana najua hapo mwanaume kwisha habari yake anaacha visu anachukua butu....
Pole kwa maneno mengi ya Kasie kama chiriku hehehehee.
Na wewe unafunguka lini CNN?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc Saint Ivuga
Yani ww jamaa, sasa hutaki?Jirani vipi mbona mnatagiana na mdogo wangu. Kuna usalama kweli
Wow!Vygezcgyg hydedf hgddffg
Heeeyyyyy... yooh
Haha....Yani ww jamaa, sasa hutaki?
Ndio maana sitaki ujirani wako . Kasie akuhamishe kabisa
Ahame sasa au njoo ubabe nyumba
Ndio uache kuongea naye. Wewe unatumia waganga na yy hajui siri ya ww kupendwa na all MMu ladies.Haha....
Inna mtoto mzuri saana inabidi umpate akutulize uache kuzunguka
Unahama wewe)):Ahame sasa au njoo ubabe nyumba
HahaNdio uache kuongea naye. Wewe unatumia waganga na yy hajui siri ya ww kupendwa na all MMu ladies.
Stop charting with her
Yaani nimfuate mwanamke! Sio utamaduni wa kilaiguanan. Koh wewe unataka uje uishi na Inna kwake!Unahama wewe)):
Kasie anakuchukua soon
Sio utamaduni wa kizanakiYaani nimfuate mwanamke! Sio utamaduni wa kilaiguanan. Koh wewe unataka uje uishi na Inna kwake!
Haha.... ndugu umeanza umarioSio utamaduni wa kizanaki
Kivipi sasa?Haha.... ndugu umeanza umario
Siunataka nihame ili uje uishi naye! Au unataka kunihamisha tu bure nduguKivipi sasa?
Haha mimi na Inna hatuna madhara ni majirani na wanafahamiana na wifi yake haha
Nishahema kwa nguvu kitaaambo!!!Dady Daby.. ... usipate mawazo ni baba yeyoo