Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Haya sister.... usiegemee tu kibanda cha watu usije ukakiangusha.Yaani ujue niko hapa kwenye kibanda cha mpesa tayari nasubiria, hebu rusha fasta.
Angalia salio bathii
Haya sister.... usiegemee tu kibanda cha watu usije ukakiangusha.Yaani ujue niko hapa kwenye kibanda cha mpesa tayari nasubiria, hebu rusha fasta.
Salio bado halisomi, acha uswahili dogo.Haya sister.... usiegemee tu kibanda cha watu usije ukakiangusha.
Angalia salio bathii
Aku mie siwezi hapa!! unataka unipge knock out mchana kweupe kiasi hikihahahahahahah hivi kumbe ni mie ulikuwa unaniita
duuuuh ndani hapana tuongelee hapa hapa nje
jiamin jiaminAku mie siwezi hapa!! unataka unipge knock out mchana kweupe kiasi hiki
Hahah... nimetuma bhana labda kamtandao maana kweli na hizi mvua unasumbua kweliSalio bado halisomi, acha uswahili dogo.
Afu sukari yenyewe ina ngwe ngwe. Patamu hapoDaby sukari ya warembo wallah
serious, niko njema na nko na confidence za kutosha. tatzo tactics n technics zangu zina sehemu zake hahahahaaaajiamin jiamin
Hahahahahahhaaaa nyau weeh, ujue kuna watoto humu wanasoma..... hehehehehehee
I like the kikobekobe style looh..... you are so creative....
Miss you too.... Unajua mambo ya kulea tena....namsaidia mdogo wako Mama p.Kaka shemeji nimekumisimo.
Teh nampenda maana ana mpenda dada yanguMweeeeh!! Umeanza lini kumpenda mume wangu, acha unafiki uende mbinguni mdogo wangu.
Hapo nimeelewa.... basi ntafanya siri na baba yeyooo sitamwambia..... ila nikiwa kwenye kikao mwambie asiwe na wivu wala wasiwasi kuwa niko na wewe....hakina madhara yeyote nataka asijue tu, wooow, kuna fitu fingine ni siri ya wanawake ati (in masai voice)
We acha visingizio huko.Hahah... nimetuma bhana labda kamtandao maana kweli na hizi mvua unasumbua kweli