Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nisije? Kwanin? Hivi wewe umezaliwa pamoja na MO11 au na mimi?

Unataka kunitubua sasa
Yaani kwasasa ni kama nimezaliwa nae, si unajua vile nampenda MO11 wangu, yaani sijui hata kanipa nini huyu mwanaume, nampenda mpaka sijielewi.

Ndio na neno lake kwangu ni sheria, hivyo nalitekeleza tu, we ni kaka yangu tu tutaonana nyumbani.
 
Yaani kwasasa ni kama nimezaliwa nae, si unajua vile nampenda MO11 wangu, yaani sijui hata kanipa nini huyu mwanaume, nampenda mpaka sijielewi.

Ndio na neno lake kwangu ni sheria, hivyo nalitekeleza tu, we ni kaka yangu tu tutaonana nyumbani.
Kweli mwanamke sio ndugu yako.

Haya kaanzishe ukoo mwingine huko acha niendeleze wa kwetu
 
Mimi sio wa kisport sport jirani nikimpenda mtu lazima aitishe press..


Kesho wifi yako atakuwa BBC mchana kunitangaza rasmi hapa ni mwanzo tu

Cc espy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nijikute tu, nitatangaza nitakapopewa go ahead na ukoo, ila sio ndoa za utotoni, si unajua ni ubakaji eeh!!
 
Hahahahah .....ulijua bi Kasie keshakupindua......?

Sinaga tabia mbaya zaidi ya kwenda disco, nimefundwa kwetu kuwa ninapotongozwa shurti nipige hodi kama hakuna mwenyewe basi naingia ndani najimwaya na kama kuna mtu basi nampa zake heshima kwa kutangulia kisha namfahamisha mie ndo mdogo asipoweza ukewenza aniachie himaya. Tatizo langu Kasie ni mbinafsi, nikitangulia mie akija bi mdogo namkaribisha na kumueleza mema na mabaya ya himaya halafu namuachia achambue akili ku mkichwa wake. Akiweza kunivumilia timbwili langu basi tutaishi wote akishindwa anasepa ananiachia himaya. Laah kama mwanaume anaenda tafuta bi mdogo niliyemzidi kwa kila kitu kuanzia uzuri tabia hadi akili.... basi natoka mie kwenye himaya maana najua hapo mwanaume kwisha habari yake anaacha visu anachukua butu....

Pole kwa maneno mengi ya Kasie kama chiriku hehehehee.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nijikute tu, nitatangaza nitakapopewa go ahead na ukoo, ila sio ndoa za utotoni, si unajua ni ubakaji eeh!!
Wewe na wee.
Wifi yako kasie sio wewe. Wewe nimekutag tu uone mahabat
 
Sinaga tabia mbaya zaidi ya kwenda disco, nimefundwa kwetu kuwa ninapotongozwa shurti nipige hodi kama hakuna mwenyewe basi naingia ndani najimwaya na kama kuna mtu basi nampa zake heshima kwa kutangulia kisha namfahamisha mie ndo mdogo asipoweza ukewenza aniachie himaya. Tatizo langu Kasie ni mbinafsi, nikitangulia mie akija bi mdogo namkaribisha na kumueleza mema na mabaya ya himaya halafu namuachia achambue akili ku mkichwa wake. Akiweza kunivumilia timbwili langu basi tutaishi wote akishindwa anasepa ananiachia himaya. Laah kama mwanaume anaenda tafuta bi mdogo niliyemzidi kwa kila kitu kuanzia uzuri tabia hadi akili.... basi natoka mie kwenye himaya maana najua hapo mwanaume kwisha habari yake anaacha visu anachukua butu....

Pole kwa maneno mengi ya Kasie kama chiriku hehehehee.
Ujue umenishika love.. usitegemee uke wenza wala mchepuko....

Sasa hivi labda viwine na vibeer ndiyo adui wa mmeo
 
Bro mbona mnapenda kumpa shemeji yenu presha lakin wakati yupo alone

Usihofu Daby, Kasie ni chotara wa kinyamwezi na mkoa wa Tanga. Haya maneno hawawezi kuacha kuyasema watasema tuu na kuwazuia hatuwezi, mradi tuu wasituingilie tukiwa chumbani maana hapo ndo tunapolizana na kubembelezana na kufurahishana. Sina hata presha niko fresh Kasie wa Dady.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom