Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Teh nimeshakusamehe ila toka umwache swahiba.. acha tu nisiseme.

Asante hongera na wewe maana kule makapuku kila nikichunguliaga nakuta umelegea [emoji16][emoji16]
Hahaha
Hapana bhana, mie sio wa kulegea!!
Acha tabia ya kumchungulia shemeji yako bhana!!!

Swahiba wako alinishinda tabia
 
Hapana. Na kwa nn umeniwazia mabaya?
Wakati nimekuona ww ni consultant mzuri kweli nataka upeleke meseji kwa Inna umwambie moyo wa ivuga hausukumi damu tena.
hahahahahahah kwanza kabisa shem nisamehe kuwaza mabaya juu yako,

pili ujumbe utafika muda sio mrefu na nitakujibu (feedback muhimu wewe subiri)
 
Hahaha
Hapana bhana, mie sio wa kulegea!!
Acha tabia ya kumchungulia shemeji yako bhana!!!

Swahiba wako alinishinda tabia
Haya nitaacha ni vyema muwe mnalegezeshana vyumbani maana mnasababisha tutende dhambi.


Kwa hiyo na mimi watanishindwa maana yule pacha wangu.
 
hahahahahahah kwanza kabisa shem nisamehe kuwaza mabaya juu yako,

pili ujumbe utafika muda sio mrefu na nitakujibu (feedback muhimu wewe subiri)
Yaaani lazima nikupeleke kfc ukale chiken wingz baada ya hapo tunaingia pale century cinema utachagua 3d unayoitaka wewe gharama zote kwangu
 
Hapana. Na kwa nn umeniwazia mabaya?
Wakati nimekuona ww ni consultant mzuri kweli nataka upeleke meseji kwa Inna umwambie moyo wa ivuga hausukumi damu tena.
Mkuuu Inna please kuja mapema ulete maneno hapo na sio muziki, maana huwezi simamisha moyo ya shem wangu huku wewe una raha zako.

Please tiba ya moyo ya Saint Ivuga kuja mapema kabla moyo yake haijasimama kabisa.


wooooow Inna
 
Haya nitaacha ni vyema muwe mnalegezeshana vyumbani maana mnasababisha tutende dhambi.


Kwa hiyo na mimi watanishindwa maana yule pacha wangu.
Dhambi gani shem jamani!!!
Halafu ni muda huwa unakuja kule???!

Lazima wakushindwe tuu maana mwendo wa swahiba wako sio wa nchi hii jamani
 
Back
Top Bottom