Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Nataka Niwe na Wewe.... Le Mahabat...

Heee kumbe ni kicheko.... mie nikajua ni mwondoko na sauti za viatu zinavogonga sakafu hehehhehheee

Au ni kicheko cha kisandawe bin kibarbaig....
Hahah wifi yako siunajua anafuraha leo nyumbani unakaribishwa anajitahidi kucheka kila aina ya vicheko vyote duniani haha
 
hahahahahahah kama ni mambo ya kumweleza kwanza bhana acha tu basi, ilikuwa mambo yetu ya wanawake ya boma.

BTW new couples ni ngumu kuepusha hili la kutoa siri na kama ataambiwa naghairi mkutano.

CC. Daby

Mie sina hiyana kama kikao hicho hakitaleta madhara kwa afya ya mahusiano yaDaby na Kasie. Na kama haina madhara sidhani kama Daby atapinga mamy wake apate maelezo na jinsi ya kuenenda kwenye BOMA la baba yeyooo.
 
Mie sina hiyana kama kikao hicho hakitaleta madhara kwa afya ya mahusiano yaDaby na Kasie. Na kama haina madhara sidhani kama Daby atapinga mamy wake apate maelezo na jinsi ya kuenenda kwenye BOMA la baba yeyooo.
hakina madhara yeyote nataka asijue tu, wooow, kuna fitu fingine ni siri ya wanawake ati (in masai voice)
 
Halafu dogo unekua eeh... shemeji yako kasie sawa!
I admire the girl.
Anajua sana kuwa sina plan ya step yoyote kwa sasa.
Ila najua nitakapomkatatia..

Sina haraka bado kidogo nimiliki X5 BM.....

Kasie anajua ninachomaanisha... Wewe endelea na vibebi walker vyako uone kama atabaki kuwa shemeji.
 
Hahahahahaaa
Waalaaah, Le Mahabat wa Kasie hata sio siri mbona anajulikana sana tuu.... wataka nirudie kumtaja hapaa?

Maadam haina madhara, Le Mahabat wa Kasie ni...... Daby ♡♡♡

Kama ni wako pole maana utakuwa ushaachwa au ndo kaniacha mie kaja kwako...... ngoja aje aweke msisitizo hapa.
Ila naona unamuita shemeji, natumai haulagi.... au hainaga ushemeji... hehehehehe

Gooday miss.
Hahaha
Nimepumua kwa sauti...
Hongera mwaya
 
I admire the girl.
Anajua sana kuwa sina plan ya step yoyote kwa sasa.
Ila najua nitakapomkatatia..

Sina haraka bado kidogo nimiliki X5 BM.....

Kasie anajua ninachomaanisha... Wewe endelea na vibebi walker vyako uone kama atabaki kuwa shemeji.
To me She don't believe in shoes and cars but she believes in shooting stars. Vibaby runner sijui nini ni bonus.


Ila dreaming is free bro keep on hahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom