Heshima yenu wakubwa.
Wakubwa nina mil 10 ya kwenda kununua nguo china na kuja kuuza hapa mjini. Yupo rafiki yangu ambaye nyumba zetu zimepakana ameahidi kwenda na mimi na kunisadia huko China na mpaka tunarudi nitaweka nguo kwenye stoo yake palemwenge kwa muda na kuziuza kwa wateja wake hapa dsm ambao ni wateja wake wa zamani.
Huyu jamaa ni rafiki yangu sana hata watoto wake watatu wanakaa sana kwangu na mtoto wangu anachezna kwake.wanasoma shule moja. Sote tunaishi mbezi Tangi mbovu.
Yeye ni mfanyabiashara alianza na nguo akaja simu sasa yuko kwenye magari. Fedha zimemkubali. China anaenda mara mbili au tatu kwa mwezi. Anachukua vitu tofauti tofauti sana. Ana wateja wengi wa kila bidhaa.
Sasa naombeni ushauri wenu mtu ambaye watoto wetu ni marafiki, mimi na yeye na marafik, wake zetu ni marafiki nyumba zetu zimepakana na tuna miaka zaidi ya 6 kama majirani anaweza kunitapeli kweli? Au naombeni mnishauri risk ambazo zinaweza kunikuta ktk biashara hii. kwa wazoefu.Nimewahi kwenda nje ya bara la afrika lakini siyo kwa biashara. Asanteni kwa msaada wenu.
Wakubwa nina mil 10 ya kwenda kununua nguo china na kuja kuuza hapa mjini. Yupo rafiki yangu ambaye nyumba zetu zimepakana ameahidi kwenda na mimi na kunisadia huko China na mpaka tunarudi nitaweka nguo kwenye stoo yake palemwenge kwa muda na kuziuza kwa wateja wake hapa dsm ambao ni wateja wake wa zamani.
Huyu jamaa ni rafiki yangu sana hata watoto wake watatu wanakaa sana kwangu na mtoto wangu anachezna kwake.wanasoma shule moja. Sote tunaishi mbezi Tangi mbovu.
Yeye ni mfanyabiashara alianza na nguo akaja simu sasa yuko kwenye magari. Fedha zimemkubali. China anaenda mara mbili au tatu kwa mwezi. Anachukua vitu tofauti tofauti sana. Ana wateja wengi wa kila bidhaa.
Sasa naombeni ushauri wenu mtu ambaye watoto wetu ni marafiki, mimi na yeye na marafik, wake zetu ni marafiki nyumba zetu zimepakana na tuna miaka zaidi ya 6 kama majirani anaweza kunitapeli kweli? Au naombeni mnishauri risk ambazo zinaweza kunikuta ktk biashara hii. kwa wazoefu.Nimewahi kwenda nje ya bara la afrika lakini siyo kwa biashara. Asanteni kwa msaada wenu.