mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,330
- 4,854
Wakuu mambo yasiwe mengi.
Kabla ya huu mwaka kwisha ninampango wa kununua helikopta niwe napigia misele hapa town kwa mfano nikitaka kwenda ofisini asubuh na kurudi nayo jioni nyumbani mana mambo ya kukaa foleni nimejiona nachelewa sana kazini.
Naombeni kujua ni chopa gani nzuri kwa kwenda nayo kazini, bajeti yangu ni kama bilioni 6 sijajua itakizi au niongeze ngapi ili ifiti hitaji langu.
Kabla ya huu mwaka kwisha ninampango wa kununua helikopta niwe napigia misele hapa town kwa mfano nikitaka kwenda ofisini asubuh na kurudi nayo jioni nyumbani mana mambo ya kukaa foleni nimejiona nachelewa sana kazini.
Naombeni kujua ni chopa gani nzuri kwa kwenda nayo kazini, bajeti yangu ni kama bilioni 6 sijajua itakizi au niongeze ngapi ili ifiti hitaji langu.