Catherine
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,261
- 758
Mi nakushauri nenda nae ila inabidi kuwa mwangalifu,watu wanajali pesa siku izi sio utu.
Ondoa hofu kila kitu sa ivi ni kurisk,lasivyo utajikuta huna maendeleo kwa uoga.
Good luck
point. jamaa afanye utafiti wa kutosha na sio aende kisa ameona jirani yake kafanikiwa....... kila mtu ana siri yake ya mafanikio jamani tusifanye vitu kwa kufata mkumbo.