Wewe ni mwanamke ? Je una mtaji kiasi gani ? Je una ujuzi upi nipe hayo majibu ila zaidi kama ni mwanamke pole sana na vidonda vya tumbo ,mimi ni daktari naaweza kukutibu kama hautajali uje kwanza mbeya nikutibu vidonda vya tumbo alafu ndiyo tuone utaenda mkoa gani badaye .Salaam wanajamvi,
Naombeni ushauri wa kina, nataka kuhama jiji la Dsm je niende mkoa gani?
Wenye maisha rahisi, vyakula vya kutosha, niweze kufanya biashara pia kwa maana ya mzunguko wa pesa upo,
Tafadhalini mnishauri kwa upendo, nina vidonda vya tumbo.
Njoo lindiSalaam wanajamvi,
Naombeni ushauri wa kina, nataka kuhama jiji la Dsm je niende mkoa gani?
Wenye maisha rahisi, vyakula vya kutosha, niweze kufanya biashara pia kwa maana ya mzunguko wa pesa upo,
Tafadhalini mnishauri kwa upendo, nina vidonda vya tumbo.
MaraMala
Nenda Lushoto elekea [Dochi]Nataka kubadili mazingira nimezaliwa na kukulia Dsm, ni muda sasa wa kutizama sehemu zingine
Ni mama wa nyumbani anayetaka kuanza maisha mkoa mwengine tofauti na Dsm, anayeweza kufanya biashara ndogo ndogo kujiingizia kipatoUtuambie kwanza unajishughulisha na nini/taaluma yako.
Mfano kama ni mkulima wa mazao ya kawaida au ya bustani mikoa ya nyanza za juu kusini itakufaa. Kama ni mvuvi nenda Mtwara, Tanga, Kagera, Kigoma, Katavi, Zanzibar n.k, kama ni fundi ujenzi,welding, selemala, plumbing n.k. mji unaojengeka kwa kasi hadi mafundi wanaringia kazi ni Dodoma, mmachinga nenda Mwanza, Mbeya, Arusha au baki tu Dar, kama wewe ni mjanja wa masoko, masuala ya Internet, kazi za mikono au utalii nenda Moshi/Arusha/Manyara/Morogoro.
Nyoosha maelezo ushauriwe. Kila raheli
Kweli mkuuWanasema kwa watafutaji hasa wafanya biashara, hakuna mahali kama dsm ! Mark my words! Huko mikoan unaenda kuhangaika tu na kulogana hakuna kingine