Milion 40 nifanye biashara gani Dar es salaam

letsshine

New Member
Dec 26, 2020
3
5
Habari wanajamvi,
Mimi ni mtoto wa kimaskini niliekulia kwenye umaskini, mwaka 2023 mwezi wa kwanza nilibahatika kufika Dar es salaam kwa mara ya kwanza mimi professional yangu ni SOFTWARE engineer natengeneza app za simu na website basi mwaka jana mwanzoni nilipata bahati ya kuja kumtembelea mjomba wangu aishiye jijini Dar es salaam, kwa uwezo na kudra za mwenyezi mungu nikabahatika kupata deal lililoniingizia Million 40 kwa sasa nimepanga chumba cha 50k lakini nawaza hii million 40 nifanye biashara gani hapa DSM ili na mimi niweze kufanikiwa, naombeni ushauri ndugu zangu
 
Habari wanajamvi,
Mimi ni mtoto wa kimaskini niliekulia kwenye umaskini, mwaka 2023 mwezi wa kwanza nilibahatika kufika Dar es salaam kwa mara ya kwanza mimi professional yangu ni SOFTWARE engineer natengeneza app za simu na website basi mwaka jana mwanzoni nilipata bahati ya kuja kumtembelea mjomba wangu aishiye jijini Dar es salaam, kwa uwezi na kudra za mwenyezi mungu nikabahatika kupata deal lililoniingizia Million 40 kwa sasa nimepanga chumba cha 50k lakini nawaza hii million 40 nifanye biashara gani hapa DSM ili na mimi niweze kufanikiwa, naombeni ushauri ndugu zangu
Ulipata Dili Gani lakupata 40 million ndani ya mwaka?
 
40m kwa pupa na kuzitazama kwa macho ni nyingi.
Ila usipokaa kwa kutulia ni upepo wa vipindi v2 vya mpira kwisha.

Kwa sababu zimekuja kama mvua ya dsm ya 19_21 January
1. Toa fungu la kumi au sadaka kwa kuwajengea wazazi aunkuwapa cash wazazi wako. Au peleka kwa muhitaji kutokana na imani yako. Kwani hakuna hela isiyokuwa na tawala na mamlaka
2. Iache ipoe kwenye utt liquid fund ambao wakati unaendelea kusaka wazo la kilifanyia nini mzigo unazidi kujichanga mdogo mdogo kuliko kukaa benk Bure.. itakupa uvivu wa kuifata kwa ajili ya kuwakopesha wale mwanangu Nina shida kinoma ndani ya siku mbili nakupa hela yako.

3. Wekeza kwenye industry yako ya programing chukua hela kidogo nunua PC nzuri very powerful Fanya nayo kazi. Anza kufanya kazi remotely uwe unapewa task unarwsolve

Usijaribu kufanya kitu bila kufanya utafiti.
 
Habari wanajamvi,
Mimi ni mtoto wa kimaskini niliekulia kwenye umaskini, mwaka 2023 mwezi wa kwanza nilibahatika kufika Dar es salaam kwa mara ya kwanza mimi professional yangu ni SOFTWARE engineer natengeneza app za simu na website basi mwaka jana mwanzoni nilipata bahati ya kuja kumtembelea mjomba wangu aishiye jijini Dar es salaam, kwa uwezo na kudra za mwenyezi mungu nikabahatika kupata deal lililoniingizia Million 40 kwa sasa nimepanga chumba cha 50k lakini nawaza hii million 40 nifanye biashara gani hapa DSM ili na mimi niweze kufanikiwa, naombeni ushauri ndugu zangu
Wewe mwenyewe una idea gani au uko empty kabisa? Tuanzie hapo.
 
Habari wanajamvi,
Mimi ni mtoto wa kimaskini niliekulia kwenye umaskini, mwaka 2023 mwezi wa kwanza nilibahatika kufika Dar es salaam kwa mara ya kwanza mimi professional yangu ni SOFTWARE engineer natengeneza app za simu na website basi mwaka jana mwanzoni nilipata bahati ya kuja kumtembelea mjomba wangu aishiye jijini Dar es salaam, kwa uwezo na kudra za mwenyezi mungu nikabahatika kupata deal lililoniingizia Million 40 kwa sasa nimepanga chumba cha 50k lakini nawaza hii million 40 nifanye biashara gani hapa DSM ili na mimi niweze kufanikiwa, naombeni ushauri ndugu zangu
Nenda nje kidogo ya mji kiwangwa au mlandiz au chalinze..ndan ndan..nunua eneo lenye rutuba ekar 5..pesa ndog tu huko unaweza pata ekar moja kwa lak5.(angalizo angalia wasikutapel..nunua kufuata utaratibu)

Kisha jenga mabanda kwa ufugal..fuga kuku wa kienyej na nguruwe..usifuge ngombe wala mbuz.kuna wamasai wez sana huko..wao hawaibi kingne zaid ya mbuz na ngombe.
Kisha jenga kajumba ka vyumba viwil ambalo hakazid mil5..ka kisasa kabisa mtindo wa L.
Kisha fanya kilimo cha mbogamboga hapo ..umaweza chimba kisima cha maj..haizid mil3...kisha jiweke hapo fanya mrad wa maana na unaweza chimba hata ka bwawa uchwara ka kufuga kambale ..
Panda migomba kuzunguka eneo lako
Shugul zote hiz unaweza tumia max 20m..hyo mil20 iliyobak ...kanunue kiwanja mjin ..kivule au kisarawe au kokote..kiwanja kimtindo unaweza pata kwa 4m...halaf hela iliyobak tumia kwa matumiz yako mengne na wekeza kwenye hyo biashara iliyokupa hyo hela

Utakuja nikumbuka sku1.
Kaka zako tulishashika zaid ya hyo na zaid ya mara 1...maeneo mengne tulijifunza na tukaamua kutulia baadya ya hela kuisha.*****
 
Unatupa changamoto wadau, kwanini usiendeleze kwa kuwekeza 50% ya hiyo pesa kwa kufanya kitu ambacho unaujuzi nacho tayari(software engineering) alafu hamsini iliyobaki ndio uangalie kitu ingine ya kufanya.
 
Sio mwaka tu hilo dili nilipata ndani ya mwezi mmoja mkuu, Mwenyezi Mungu akikuandikia muda hauna maana
Fanya mpango hizo dili ziwe ni za muendelezo, hutakuwa na haja ya kujiuliza nini cha kufanya, si dili zipo? Cha maana katika haya maisha ni kujikimu kifedha, kwa nini dili zisiendelee?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajamvi,
Mimi ni mtoto wa kimaskini niliekulia kwenye umaskini, mwaka 2023 mwezi wa kwanza nilibahatika kufika Dar es salaam kwa mara ya kwanza mimi professional yangu ni SOFTWARE engineer natengeneza app za simu na website basi mwaka jana mwanzoni nilipata bahati ya kuja kumtembelea mjomba wangu aishiye jijini Dar es salaam, kwa uwezo na kudra za mwenyezi mungu nikabahatika kupata deal lililoniingizia Million 40 kwa sasa nimepanga chumba cha 50k lakini nawaza hii million 40 nifanye biashara gani hapa DSM ili na mimi niweze kufanikiwa, naombeni ushauri ndugu zangu
Fanya biashara ya software
Mabilionea wengi wametokana na biashara hiyo
 
Back
Top Bottom