Uendeshaji wa mgahawa wa chakula

Quartz360

Senior Member
Mar 27, 2023
124
302
Habari zenu wakubwa!!

POLENI na HONGERENI kwa shughuli za ujenzi wa taifa.

Nina mpango wa kufungua MGAHAWA wa chakula hivi karibuni hapa mtaani kwangu.
Kutokana na kuwa na inshu nyingine ninayofanya kwa sasa nataka nitengenezee mfereji mwingine wa kujipatia kipato.

Nimeplan nitafute mpishi mmoja ambaye atakuwa kama CHIEF COOK wa MGAHAWA atakayesaidiana na wasaidizi hata wawili hivi. Huyu mpishi nitaingia nae makubaliano ya namna ya kumlipa, na hao wasaidizi wake haitakuwa inshu sana kwani kuwapata ni rahisi na malipo Yao siyo makubwa Sana.

Kinachoniumiza kichwa ni huyu mpishi mkuu ambaye atashughulikia maswala yote ya upishi, ubora wa chakula na huduma. Kingine, ni kwa kiasi gani naweza kufanya management nzuri ya huo MGAHAWA bila kuathiri ukuaji wake na wafanyakazi pia.

Na je huyu mpishi nitaingia nae mkataba gani ili aweze kufanya kazi vizuri.


NB; MTAJI
LOCATION
COMPETITION

Karibuni kwa wenye uzoefu na mradi huu.
Maoni, mapendekezo na ukosoaji wenye kujenga ni muhimu sana.
Asanteni.
 
Nianzie hapo kwenye mtaji, location, competition. Kiufupi hivi ni vitu ambavyo wewe ndio unatakiwa uvipatie majibu. 1.Mtaji
ni wewe ndio unajua unataka ku-invest kiasi gani au mfuko wako unasomaje kwa kuzingatia ni mgahawa wa aina gani unataka kuanzisha, je ni wa hali ya chini kama Mjanja M1 , Hali ya kati kama mimi au wakula VIP kama akina Joannah (utani). Hivi vyote vitategemea capital ambayo unaweza afford. Kwahiyo fanya mahesabu yako ujue unauwezo wa kufungua mgawaha wa hadhi gani, ukiona mgahawa unaotaka kufungua unahitaji kiasi ambacho huna kwa sasa keep saving until you make it. Kumbuka aina ya mgahawa unaoutaka ndio utadefine unaenda kuajiri wapishi wa aina gani hapo sasa na mshahara wao, vyakula vitakavyokuwepo na gharama zake, aina ya pango na gharama zake, vitendea kazio, nk.
2.Location
ni wewe ndio unajua wapi ulipo na nisehemu gani unaona kutakuwa na uhitaji wa mgahawa. My advice here nenda fanya reserach on your local area ili ujue ni wapi kuna mkusanyiko wa watu au kuna shughuli kama maduka, ujenzi , usafirishaji, nk. lakini hakuna migahawa au ipo lakini kwa uchache, hii itasaidia.
3.Competition
Hapa tumwite GENTAMYCINE atoe nondo
 
Nianzie hapo kwenye mtaji, location, competition. Kiufupi hivi ni vitu ambavyo wewe ndio unatakiwa uvipatie majibu. 1.Mtaji
ni wewe ndio unajua unataka ku-invest kiasi gani au mfuko wako unasomaje kwa kuzingatia ni mgahawa wa aina gani unataka kuanzisha, je ni wa hali ya chini kama Mjanja M1 , Hali ya kati kama mimi au wakula VIP kama akina Joannah (utani). Hivi vyote vitategemea capital ambayo unaweza afford. Kwahiyo fanya mahesabu yako ujue unauwezo wa kufungua mgawaha wa hadhi gani, ukiona mgahawa unaotaka kufungua unahitaji kiasi ambacho huna kwa sasa keep saving until you make it. Kumbuka aina ya mgahawa unaoutaka ndio utadefine unaenda kuajiri wapishi wa aina gani hapo sasa na mshahara wao, vyakula vitakavyokuwepo na gharama zake, aina ya pango na gharama zake, vitendea kazio, nk.
2.Location
ni wewe ndio unajua wapi ulipo na nisehemu gani unaona kutakuwa na uhitaji wa mgahawa. My advice here nenda fanya reserach on your local area ili ujue ni wapi kuna mkusanyiko wa watu au kuna shughuli kama maduka, ujenzi , usafirishaji, nk. lakini hakuna migahawa au ipo lakini kwa uchache, hii itasaidia.
3.Competition
Hapa tumwite GENTAMYCINE atoe nondo
Mi nakulaga kitonyama Kwa dada mzuri Esha Buheti.😜😜
 
Habari zenu wakubwa!!

POLENI na HONGERENI kwa shughuli za ujenzi wa taifa.

Nina mpango wa kufungua MGAHAWA wa chakula hivi karibuni hapa mtaani kwangu.
Kutokana na kuwa na inshu nyingine ninayofanya kwa sasa nataka nitengenezee mfereji mwingine wa kujipatia kipato.

Nimeplan nitafute mpishi mmoja ambaye atakuwa kama CHIEF COOK wa MGAHAWA atakayesaidiana na wasaidizi hata wawili hivi. Huyu mpishi nitaingia nae makubaliano ya namna ya kumlipa, na hao wasaidizi wake haitakuwa inshu sana kwani kuwapata ni rahisi na malipo Yao siyo makubwa Sana.

Kinachoniumiza kichwa ni huyu mpishi mkuu ambaye atashughulikia maswala yote ya upishi, ubora wa chakula na huduma. Kingine, ni kwa kiasi gani naweza kufanya management nzuri ya huo MGAHAWA bila kuathiri ukuaji wake na wafanyakazi pia.

Na je huyu mpishi nitaingia nae mkataba gani ili aweze kufanya kazi vizuri.


NB; MTAJI
LOCATION
COMPETITION

Karibuni kwa wenye uzoefu na mradi huu.
Maoni, mapendekezo na ukosoaji wenye kujenga ni muhimu sana.
Asanteni.
Mkuu Quartz,
Nafurahi kusikia una wazo zuri kama hili.
Mimi kipindi nakua mama yangu alishawahi kuwa na Mhagawa na nilikuwa namsaidia kusambaza chakula.

Kitu sijaelewa kwako ni mgahawa wa aina gani unaotaka kufungua kwa maana ya level?
Ni ile ya kisasa zaidi? Ya kati? Au kawaida?

Mama ntilie wengi baada ya kazi jioni huwa wanapokea malipo ya shilingi elf3 mpaka elfu4.
Lakini kama utahitaji kufanya more advanced unapaswa kufahamu lazima CHEF MKUU uingie nae makubaliano ni namna gani utamlipa sababu anatumia ujuzi wake.
Pia zingatia location ni kitu muhimu.

Unaweza ukafungua sehemu advanced lakini watu wa pale wasiweze ku afford chakula chako.

Kingine mwanzoni lazima uhakikishe kila step unaofatilia kuanzia kwenda sokoni mpaka jikoni kuzuia Loopholes ambazo unaweza kuibiwa.

Kuna kijana yupo mikocheni anaitwa scott pizza kipindi anafungua alikuwa anafata ingredients zote yeye mwenyewe na yeye ndiyo alikuwa anatengeneza.

Best luck.
 
Nianzie hapo kwenye mtaji, location, competition. Kiufupi hivi ni vitu ambavyo wewe ndio unatakiwa uvipatie majibu. 1.Mtaji
ni wewe ndio unajua unataka ku-invest kiasi gani au mfuko wako unasomaje kwa kuzingatia ni mgahawa wa aina gani unataka kuanzisha, je ni wa hali ya chini kama Mjanja M1 , Hali ya kati kama mimi au wakula VIP kama akina Joannah (utani). Hivi vyote vitategemea capital ambayo unaweza afford. Kwahiyo fanya mahesabu yako ujue unauwezo wa kufungua mgawaha wa hadhi gani, ukiona mgahawa unaotaka kufungua unahitaji kiasi ambacho huna kwa sasa keep saving until you make it. Kumbuka aina ya mgahawa unaoutaka ndio utadefine unaenda kuajiri wapishi wa aina gani hapo sasa na mshahara wao, vyakula vitakavyokuwepo na gharama zake, aina ya pango na gharama zake, vitendea kazio, nk.
2.Location
ni wewe ndio unajua wapi ulipo na nisehemu gani unaona kutakuwa na uhitaji wa mgahawa. My advice here nenda fanya reserach on your local area ili ujue ni wapi kuna mkusanyiko wa watu au kuna shughuli kama maduka, ujenzi , usafirishaji, nk. lakini hakuna migahawa au ipo lakini kwa uchache, hii itasaidia.
3.Competition
Hapa tumwite GENTAMYCINE atoe nondo
Nimeweka alama ya kumaanisha kuwa tayari nimevifanyia kazi mkuu.
 
Mkuu Quartz,
Nafurahi kusikia una wazo zuri kama hili.
Mimi kipindi nakua mama yangu alishawahi kuwa na Mhagawa na nilikuwa namsaidia kusambaza chakula.

Kitu sijaelewa kwako ni mgahawa wa aina gani unaotaka kufungua kwa maana ya level?
Ni ile ya kisasa zaidi? Ya kati? Au kawaida?

Mama ntilie wengi baada ya kazi jioni huwa wanapokea malipo ya shilingi elf3 mpaka elfu4.
Lakini kama utahitaji kufanya more advanced unapaswa kufahamu lazima CHEF MKUU uingie nae makubaliano ni namna gani utamlipa sababu anatumia ujuzi wake.
Pia zingatia location ni kitu muhimu.

Unaweza ukafungua sehemu advanced lakini watu wa pale wasiweze ku afford chakula chako.

Kingine mwanzoni lazima uhakikishe kila step unaofatilia kuanzia kwenda sokoni mpaka jikoni kuzuia Loopholes ambazo unaweza kuibiwa.

Kuna kijana yupo mikocheni anaitwa scott pizza kipindi anafungua alikuwa anafata ingredients zote yeye mwenyewe na yeye ndiyo alikuwa anatengeneza.

Best luck.
Shukrani sana kwa mchango wako.
level ya MGAHAWA ni wa kawaida tu, ambapo hata ukiwa na 1000 unashiba.
 
Back
Top Bottom