Natafuta mke

Natafuta mke

Huwezi kupata mke mtandaoni
Napingana nawe katika hili.

  • 1. Hapa JF kuna shuhuda kadhaa - za waliopata mke/mume
  • 2. Hapa JF kuna wengi wengine wanahitaji mke/mume
  • 3. Waliopo mtandaoni ndio hao hao waliopo mtaani

Faida ya kutumia mtandao kama media ya kufikisha ujumbe ni kuwa mtu anajitathimini kuwa na nia ya dhati, anamfuata mhusika inbox, wanapanga na kukuabliana, Hawa wote wamekutana wakiwa na nia moja kupata mwenza (mke/mume).

[Scenario] Kuna wale wenye imani kuwa mke/mume hutoka kwa Bwana ( Muumba), Sasa wewe unaishai Lindi (mfano) na mwenza wako uliye andaliwa na Muumba Yuko Mwanza (mfano). Je huoni kuwa mtandao ndio njia pekee ya nyinyi kuweza kukutana na kuwa mwili mmoja. Hii si ndharia, Haya yanatokea; Tumeshuhudia maa kadhaa mke/mume kutoka mbali zaidi, tena toka matifa tofauti.

Wewe waweza kuwa Mtanzania, na ukapata mke toka USA, UK vk

Zama zimebadilika sana.

Muhimu soma hapa: Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume
 
Yaani una miaka 50 unatafuta mke mwenye miaka 25 🤣🤣🤣
- Umri sio tatizo linapokuja swala la Mwanaume kuoa.
1786068356248.png
 
Hamjaona Jeff Bezos kaoa kigori au mmekariri tu kibongobongo nani anajua formula za maisha ya watu, wabongo bana kwa kujifanya waangalifuuuu na wapo makiniiiini na maisha lakini ndio waliofeli dunia nzima! Eti mafundi wa mahusiano ya watu hata discipline tu hawana! Acheni watu waishi maisha yao km hujapendezwa na uzi au mahitaji ya mtu aliyepost pita kushoto tu kwani kila uzi lazima uchangie? 🤮🤮🤮🤮🤮
 
Sitaki mie.nishastaafu mapenzi.kwanza wazee wa onyoo.wabovuuu,wachoyooo
Bora vijana Wana feelings. Hawa mwendo hakuna akae Tu mwendo wa kununua huduma kwa gen z.ila wanawake matured aaah mwanaune wa 50. Sio mambo yetu.
Ninavyokufahamu Upo sahihi na uyasemayo. Humuwezi! Atafute under 25
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom