Natafuta mke

Natafuta mke

Gigy money mum
Napingana nawe katika hili.

  • 1. Hapa JF kuna shuhuda kadhaa - za waliopata mke/mume
  • 2. Hapa JF kuna wengi wengine wanahitaji mke/mume
  • 3. Waliopo mtandaoni ndio hao hao waliopo mtaani

Faida ya kutumia mtandao kama media ya kufikisha ujumbe ni kuwa mtu anajitathimini kuwa na nia ya dhati, anamfuata mhusika inbox, wanapanga na kukuabliana, Hawa wote wamekutana wakiwa na nia moja kupata mwenza (mke/mume).

[Scenario] Kuna wale wenye imani kuwa mke/mume hutoka kwa Bwana ( Muumba), Sasa wewe unaishai Lindi (mfano) na mwenza wako uliye andaliwa na Muumba Yuko Mwanza (mfano). Je huoni kuwa mtandao ndio njia pekee ya nyinyi kuweza kukutana na kuwa mwili mmoja. Hii si ndharia, Haya yanatokea; Tumeshuhudia maa kadhaa mke/mume kutoka mbali zaidi, tena toka matifa tofauti.

Wewe waweza kuwa Mtanzania, na ukapata mke toka USA, UK vk

Zama zimebadilika sana.

Muhimu soma hapa: Tafadhali zingatia vigezo hivi unapoanzisha mada ya kutafuta Mke/Mume
e wake wamekutana insta
 
Hapana Leo dada, siku hizi ukisha kua na pesa hushindwi hata kama huna pesa mbona vijijini huko wazee wanakimbiza mwenge kama kawa na wana tomb balaa, demu kaolewa juzi tu Leo mimba mpaka unajiuliza hawa wazee wanatumia Nini? Kama ni kutombw miaka 50, bado sana labda pesa, ila wazee wa sasa wana nguvu

Nakwambia hivi,,,,

Siwezi kubishana na wewe!!!! lakini waulize vizuri hao wenye 50+ majibu wanayo mazuri tena mafupi sio kama vile paragraph uliyonijazia hapo.
sema nn nimegundua jinsia ya kike kote duniani inajua kuvumilia.
 
Nakwambia hivi,,,,

Siwezi kubishana na wewe!!!! lakini waulize vizuri hao wenye 50+ majibu wanayo mazuri tena mafupi sio kama vile paragraph uliyonijazia hapo.
sema nn nimegundua jinsia ya kike kote duniani inajua kuvumilia.
Ni kweli cha kuongeza yule babu wa TikTok, unamjua angalia watoto anao wachezea ni wajukuu zake alafu anajigamba kuwala na kuwa hezea na kuwabwaga, na bado wanamfata kila siku wapya
 
Ni kweli cha kuongeza yule baby wa TikTok, unamjua angalia watoto anao wachezea ni wajukuu zake alafu anajigamba kuwala na kuwa hezea na kuwabwaga, na bado wanamfata kila siku wapya

TikTok sina uhakika wa kufika,, lakini nimekwambia uhalisia uliopo.

Mwanamke ndie kiumbe pekee anaayeweza kufake kila kitu kama pesa ipo.
Hakikisha ukiwa na miaka hiyo uwe na pesa uweze kuwa na wa kukufekia dogo
 
Umesahau kama mengi alikuwa ni biĺlionea????
kwa akili yako kuna mwanamke hapa Tanzania ambae alikuwa na ubavu wa kuchomoa mtongozo wa mengi??
Lakini mi nimesema pia kijijini kwetu hayo mambo ni kawaida kabisa wazee wanao tena WA miaka 70 na wana tomb ka kawa na wanawazalisha kama kawa, mfano huyu ana miaka 60, niambie akitongoza katoto ka miaka 16 katamkataa
 
Umesahau kama mengi alikuwa ni biĺlionea????
kwa akili yako kuna mwanamke hapa Tanzania ambae alikuwa na ubavu wa kuchomoa mtongozo wa mengi??
Umesahau kama mengi alikuwa ni biĺlionea????
kwa akili yako kuna mwanamke hapa Tanzania ambae alikuwa na ubavu wa kuchomoa mtongozo wa mengi??
Huyu hapa chuando tan ana miaka 60 nambie ni demu gani ata mchomolea huyu mwamba akimtongoza? Huyu ana tongoza kitoto cha miaka kumi na sita na kinakubali bila hata mia, alafu jambo la kutomb halina umri Kuna watoto miaka 18 Hadi 27 mzigo hautibgi vizuri uliza wanaongoza kununua mkongo ni umri gani? Utasikia vijana ina mana hawajiwezi mpaka wategemee booster?
 

Attachments

  • Screenshot_20260804-235234.jpg
    Screenshot_20260804-235234.jpg
    76.4 KB · Views: 3
Si busara kuwakatisha watu tamaa, wakati mwingine experience binafsi isikufanye ukayaona mambo kwa ujumla wake,kwa maana kwamba ukaona kama kila mtu yupo hivyo

Kuna watu wenye umri mkubwa nimewashuhudia wakioa mabinti wa umri wa kati na ndoa zao zipo imara tu

Si kila mzee au mtu mzima hana nguvu za kiume,hapo kuna mambo mengi yana changia,life style ya maisha,mambo ya kuzingatia mlo kamili na mazoezi

Sasa mkiyaangalia mambo kigen Z, mtashindwa kuona uhalisia na ukweli wa mambo

Kama wewe huwezi kuolewa na mzee wa miaka 50 basi jizungumzie wewe binafsi lakini usiongee kiujumla kana kwamba unawajua watu na machaguo yao

Kuna wanawake wengine wanapenda watu ambao wana umri mkubwa kwasababu hakuna jipya wasilo lijua,hakuna kiuno au figure ambayo inawachanganya, katika ulimwengu wa mapenzi wamepitia mengi na sasa wapo tayar kutulia na kuinjoy maisha ya ndoa

Siku zote ongea kwa nafsi yako lakini usitake kuwaongelea watu wengine kana kwamba unajua machaguo yao.
 
Huyu hapa chuando tan ana miaka 60 nambie ni demu gani ata mchomolea huyu mwamba akimtongoza? Huyu ana tongoza kitoto cha miaka kumi na sita na kinakubali bila hata mia, alafu jambo la kutomb halina umri Kuna watoto miaka 18 Hadi 27 mzigo hautibgi vizuri uliza wanaongoza kununua mkongo ni umri gani? Utasikia vijana ina mana hawajiwezi mpaka wategemee booster?
Kama ulisoma comment ya leo dada ya kwanza ukaielewa usingekuja na huu mfano wako
 
Kama ulisoma comment ya leo dada ya kwanza ukaielewa usingekuja na huu mfano wako
Ye kazungumzia pesa nika mjibu huyu mwamba hana pesa, ni WA kawaida tu, akasema ukiwa 50 plus hutomb vizuri huna nguvu nika mwambia kijijini kwetu wazee hawana hela na wanao na kuwatomb tubint tudogo mpaka kuzaa, nikamtolea mfano kussuport hoja yangu kuwa inshu sio pesa Wala Nini mfano huyu babu ana miaka 60, je Kuna demu wakumchomolea kisa uzee
 
Ye kazungumzia pesa nika mjibu huyu mwamba hana pesa, ni WA kawaida tu, akasema ukiwa 50 plus hutomb vizuri huna nguvu nika mwambia kijijini kwetu wazee hawana hela na wanao na kuwatomb tubint tudogo mpaka kuzaa, nikamtolea mfano kussuport hoja yangu kuwa inshu sio pesa Wala Nini mfano huyu babu ana miaka 60, je Kuna demu wakumchomolea kisa uzee
Amesema mwanaume ambae hakuishi health life, ndio hayo yote aliyoorodhesha yatamhusu. Ni wazi huyu mtu wako aliishi healthy ndio maana yuko hivyo alivyo at 60
 
Amesema mwanaume ambae hakuishi health life, ndio hayo yote aliyoorodhesha yatamhusu. Ni wazi huyu mtu wako aliishi healthy ndio maana yuko hivyo alivyo at 60
Akanambia Mimi nitafute hela mbona wewe ndo hujamuelewa, kadai Mimi nitafute hela ili kufika huo umri niwe safe ebu soma vizuri comment zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom