Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Wandugu baada ya miaka mingi ya kuzurula au niseme kuhama kambi moja kwenda nyingine, rasmi nimeamua kuoa. Nimeamua kuoa serious kabisa na sina utani hata kidogo!
Makabila yote nayajua ila nimeamua kuchagua Msukuma. Kwa sasa sioi kwa sababu ya ngono, ila naoa kwa sababu ya maisha.
Mwanamke yeyote, awe na watoto ama la akuje, na pili lazima awe na kazi. Mimi Nina miaka 39 ,nimuajiriwa na ni mfanyabiashara ,Nina watoto 2 ni mzaliwa wa mbeya ,kabila langu kama kawaida
Makabila yote nayajua ila nimeamua kuchagua Msukuma. Kwa sasa sioi kwa sababu ya ngono, ila naoa kwa sababu ya maisha.
Mwanamke yeyote, awe na watoto ama la akuje, na pili lazima awe na kazi. Mimi Nina miaka 39 ,nimuajiriwa na ni mfanyabiashara ,Nina watoto 2 ni mzaliwa wa mbeya ,kabila langu kama kawaida