jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Ndugu zangu mimi ni kijana miaka 32+, sina mtoto,mkristo na mpambanaji.
Natafuta mwanamke wa kuoa
*Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango
*Awe mke mwema kwangu
*Mama bora kwa watoto Mungu atakao tujalia
*Awe na umri wa miaka 18-25
*Awe mvumilivu maana maisha ni kupanda na kushuka na asiwe na tamaa mbaya
* Asiwe na tatoo , asiwe katiboa masikio zaidi ya mara mbili, asiwe katoboa pua au kitovu, asiwe mfuasi wa nywele na kucha bandia
* Awe anajipenda yeye na kujikubali jinsi alivyo kwani napenda mwanamke natural
*Awe mkristo ila kama ni muislam akubali kufata upande wangu .
Nimeamua kutafuta na hapa maana naamini waliopo mtaani pia wapo hapa, hata wazazi , marafiki na ndugu zao wapo hapa kama mtaguswa msisite kutuunganisha
Karibuni ..
Asanteni
Natafuta mwanamke wa kuoa
*Asiwe na mtoto au kutoa mimba au kutumia dawa za uzazi wa mpango
*Awe mke mwema kwangu
*Mama bora kwa watoto Mungu atakao tujalia
*Awe na umri wa miaka 18-25
*Awe mvumilivu maana maisha ni kupanda na kushuka na asiwe na tamaa mbaya
* Asiwe na tatoo , asiwe katiboa masikio zaidi ya mara mbili, asiwe katoboa pua au kitovu, asiwe mfuasi wa nywele na kucha bandia
* Awe anajipenda yeye na kujikubali jinsi alivyo kwani napenda mwanamke natural
*Awe mkristo ila kama ni muislam akubali kufata upande wangu .
Nimeamua kutafuta na hapa maana naamini waliopo mtaani pia wapo hapa, hata wazazi , marafiki na ndugu zao wapo hapa kama mtaguswa msisite kutuunganisha
Karibuni ..
Asanteni