philantrhopist
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 376
- 622
Habari zenu...
Mimi ni kijana wa miaka 30 nina bachelor degree,
Ni muajiriwa Serikalini,
Pia mfanyabiashara,
Ni mweusi 5.7 feet tall,
Ni mweusi wa wastani.
Natafuta mke wa kuoa
Awe na umri wa kuanzia 22-30
Awe mchapa kazi
Awe mrefu
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na hofu ya Mungu.
Aje PM
Mimi ni kijana wa miaka 30 nina bachelor degree,
Ni muajiriwa Serikalini,
Pia mfanyabiashara,
Ni mweusi 5.7 feet tall,
Ni mweusi wa wastani.
Natafuta mke wa kuoa
Awe na umri wa kuanzia 22-30
Awe mchapa kazi
Awe mrefu
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na hofu ya Mungu.
Aje PM